Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Kwa hyo wewe unaona ni sahihi tafsiri ya biblia inayosema ALIYEMPIGA MUNGU AKASHINDA?
Inatakiwa wewe unayeona tafsiri ni potofu, kwakuwa hilo neno ISRAEL lipo kwenye Quran,ni vema ukaleta maana halisi

Simple tu
 
Kwahiyo umekiri kwanza uliongopa ?

Ukikubali sasa nitakwambia ujue kwanini tuliuacha uislamu sababu ya UPOTOSHAJI kama huu

Kwanza unakubali Quran Ina maneno kama ISRAEL,ZABURI, N.K na haijui maana na misingi yake?
Yakobo alimpiga vipi Mungu?
 
Hapanaaaaa hakuna marefu Wala mapana.NI TAFSIRI SAHIHI KWAMBA YAKOBO ALIMPIGA MUNGU AKASHINDA NDO MAAANA YA ISRAEL?
Usikwepe,je unakubali Quran Ina maneno kama ISRAEL ila haijui maana yake na msingi wake ?

Ukielewa hapa sasa nitakuja kukuelekeza how ISRAEL maana yake
 
Yakobo alimpiga vipi Mungu?
Unakimbilia wapi, jibu unachoulizwa au unaona aibu Quran itaaibika?

Kwakuwa Quran mnasema imekamilika na uislamu ni dini ya haki

Naomba nipe maana ya maneno haya ndani ya Quran

Israel na Zaburi

Au Quran imeyaweka haijui maana yake?😂
 
YESU KASEMA WOKOVU UNATOKA KWA WAYAHUDI


WEWE UNASAMA SIO NENO SAHIHI


HIVI KWANINI MNAPENDA UPOTOSHAJI?

KWAHIYO WEWE UNAMZIDI AKILI YESU ALIYESEMA NENO "WAYAHUDI"?
Kwanini wayahudi siyo waisrael nijibu ...nijibu chimbuko la neno wayahudi ni Mungu au wao wenyewe, kumbuka biblia imeandikwa na kutiwa mikono, neno sahihi ni WOKOVU unatoka kwa WAISRAELI......Yesu mwenyewe aliwaonya watu na mafarisayo na wayahudi akisema wamesimama katika fundisho la Musa hivyo wasikieni ila msitende kama watendavyo wao ....Yesu siku zote alitoa mafundisho yenye kuwa shusha wayahudi kwa sababu walijitukuza kidini...na ndiyo maana hata hekima ya Mungu ili wayahudi wasome shitaka la Yesu iliandikwa MFALME WA WAYAHUDI na wayahudi walichukia sana ilo shitaka wakafuata pirato wakamwambia usiandike hivyo ...unajua kwa nini ? sababu ni wayahudi ndiyo walimchukia yesu kuliko waisrael wasio wayahudi ....Pia nimekuambia siyo shida yesu hata angesema wokovu unatoka wa wayahudi akuwa na maana kuwa uyahudi ni jambo jema bali wokovu...ni sawa na Mungu aseme Mtume atazaliwa na kahaba aitakasi ukahaba au waarabu wanamuita muhamadi ni nuru nao wanasema nuru ilitoka kwa waarabu aina maana waarabu walikuwa wapo sahihi kwenye mambo ya dini .....SASA WEWE NI JIBU HUO WOKOVU UNAOTOKA KWA WAYAHUDI NI KITU GANI ?ili tujue logic ni nini ?
 
Kwanini wayahudi siyo waisrael nijibu ...nijibu chimbuko la neno wayahudi ni Mungu au wao wenyewe kumbuka biblia imeandikwa na kutiwa mikono neno sahihi ni WOKOVU unatoka kwa WAISRAELI......Yesu mwenyewe aliwaonya watu na mafarisayo na wayahudi akisema wamesimama katika fundisho la Musa hivyo wasikieni ila msitende kama watendavyo wao ....Yesu siku zote alitoa mafundisho yenye kuwashusha wayahudi kwa sababu walijitukuza kidini...na ndiyo maana hata hekima ya Mungu ili wayahudi wasome shitaka la Yesu iliandikwa MFALME WA WAYAHUDI na wayahudi walichukia sana ilo shitaka wakamata herode wakamwambia usiandike hivyo ...unajua nini ? Sababu sababu no wayahudi ndiyo walimchukia yesu kuliko waisrael wasio wayahudi ....Pia nimekuambia siyo shida yesu hata angesema wokovu unatoka wa wayahudi akuwa na maana kuwa uyahudi ni jambo jema bali wokovu...ni sawa na Mungu aseme Mtume atazaliwa na kahaba aitakasi ukahaba au waarabu wanamuita muhamadi ni nuru nao wanasema nuru ilitoka kwa waarabu aina maana waarabu walikuwa wapo sahihi kwenye mambo ya dini .....SASA WEWE NI JIBU HUO WOKOVU UNAOTOKA KWA WAYAHUDI NI KITU GANI ?ili tujue logic ni nini ?
Sitaki porojo ,

YESU KASEMA WOKOVU UNATOKA KWA WAYAHUDI


WEWE UNASAMA SIO NENO SAHIHI


HIVI KWANINI MNAPENDA UPOTOSHAJI?

KWAHIYO WEWE UNAMZIDI AKILI YESU ALIYESEMA NENO "WAYAHUDI"?
 
Unakimbilia wapi, jibu unachoulizwa au unaona aibu Quran itaaibika?

Kwakuwa Quran mnasema imekamilika na uislamu ni dini ya haki

Naomba nipe maana ya maneno haya ndani ya Quran

Israel na Zaburi

Au Quran imeyaweka haijui maana yake?😂
Bado haujajibu swali nimekupa tafsiri ya kiislam wametafsri kuwa Israel ni MJA wa Mungu wewe unakataa.unasema tafsiri ya biblia ndo sahihi NDO NAKUULIZA YAKOBO ALIMPIGA VP MUNGU?
 
Bado haujajibu swali nimekupa tafsiri ya kiislam wametafsri kuwa Israel ni MJA wa Mungu wewe unakataa.unasema tafsiri ya biblia ndo sahihi NDO NAKUULIZA YAKOBO ALIMPIGA VP MUNGU?
Wametafsiri kina nani kwa msingi upi ?

Israel ni muunganiko wa maneno mawili

ISRA na EL

Ni maneno ya kihebrania na yana maana yake

Sasa unaposema wametafsiri wanazuoni ,kwa misingi ya lugha ipi nje ya kihebrania
 
Sawa tumeiba.niambie sasa yakobo alimpiga vipi Mungu?
Safi kwahiyo unakubali Quran imeiba maneno na haijui maana yake

Sasa hizo ni moja ya sababu Uislamu unakosa Sifa za kumshawishi Mtu kumjua Mungu wa kweli
 
Haujui yakobo alimpiga vipi Mungu?
Kwakuwa umekiri mwenyewe kuwa QURAN imeiba na HAIFAI kuwa REJEA kwa mwanadamu maana imeiba maneno ya kiyahudi na haijui maana zake ,basi sasa unafanya nini kwenye hiyo dini ?
 
Hizi mambo ni ngumu sana.
Bila shetani hamna Mungu na bila Mungu shetani hakuna.
Hii ni pair. Kama ilivyo mashariki na magharibi. Mke na Mume. Usiku na mchana. Kusini na kaskazini. Kushoto na kulia.


Jumapili njema
 
Nani kanishika pabaya ....HUYAHUDI NI ITIKADI KALI ZA KIDINI AMBAZO MSINGI WAKE NI POTOVU ...Siyo Mungu alio uamlisha bali ulianzishwa na OUVU WA KIBURI CHA KIDINI...ndiyo maana wayahudi ndiyo walio mpinga sana Yesu na kumuua na kuipinga INJILI
Umeandika lugha gani ? Hicho si kiswahili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom