Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Jibu ...injili uijui ....Yesu alikuwa ameketi na walevi na watoza ushuru je jibu lake lilikuwaje ? Wokovu unatoka kwa wayahudi waliopotea kwanza kisha kwa mataifa yaliyo potea ....Yesu akuja kuleta wokovu kwa kisicho potea bali kilicho potea ...Wayahudi walipotea kwa kijit7kuza na kujikuza ....
Unajibu ambacho sijakuuliza kabisa ,unaleta story nyingine kabisa 😂

HILI SWALI HUTAKI KUJIBU


Je, Yesu Kristo angekiri wokovu utatoka kwa Wayahudi kama alivyosema Yohana 4:22, ikiwa jina lingekuwa WAYAHUDI ni ovu?

Kifupi unataka kusema YESU ALISEMA WOKOVU UTATOKA KWA WAOVU ?

TENA YESU KATUMIA KABISA NENO "WAYAHUDI" au hakujua kuwa ni jina OVU😂
 
Jibu ...injili uijui ....Yesu alikuwa ameketi na walevi na watoza ushuru je jibu lake lilikuwaje ? Wokovu unatoka kwa wayahudi waliopotea kwanza kisha kwa mataifa yaliyo potea ....Yesu akuja kuleta wokovu kwa kisicho potea bali kilicho potea ...Wayahudi walipotea kwa kijitukuza na kujikuza ....
Yaani wewe unaulizwa hivi, unajibu vile ,unanikumbusha jamaa mmoja mtihani ukimshinda ANAJITUNGIA swali jepesi anajibu ,ndio wewe


Swali hili hapa nalijenga kwa maandiko ,kama huwezi KUJIBU kaa pembeni

Yesu amesema WOKOVU WATOKA KWA WAYAHUDI


swali ,YESU HAKUJUA JINA WAYAHUDI NI MONAGO OVU??

NIKUSIKILIZE WEWE AU YESU ANAYESEMA WAZIWAZI ,WOKOVU WATOKA KWA WAYAHUDI
 
Mbishani ni wewe usiyeleta hata andiko moja na unadanganya watu kweupe pee

HILI SWALI HUTAKI KUJIBU


Je, Yesu Kristo angekiri wokovu utatoka kwa Wayahudi kama alivyosema Yohana 4:22, ikiwa jina lingekuwa WAYAHUDI ni ovu?

Kifupi unataka kusema YESU ALISEMA WOKOVU UTATOKA KWA WAOVU ?

TENA YESU KATUMIA KABISA NENO "WAYAHUDI" au hakujua kuwa ni jina OVU😂😂

Yaani wewe unaulizwa hivi, unajibu vile ,unanikumbusha jamaa mmoja mtihani ukimshinda ANAJITUNGIA swali jepesi anajibu ,ndio wewe


Swali hili hapa nalijenga kwa maandiko ,kama huwezi KUJIBU kaa pembeni

Yesu amesema WOKOVU WATOKA KWA WAYAHUDI


swali ,YESU HAKUJUA JINA WAYAHUDI NI MONAGO OVU??

NIKUSIKILIZE WEWE AU YESU ANAYESEMA WAZIWAZI ,WOKOVU WATOKA KWA WAYAHUDI
Swali kwa hiyo hapo maana yake mtu kuwa myahudi ni mtakatifu moja kwa moja ? Yesu anawaambia wayahudi kuwa "mnanichukia kwa kuwa nimewashuhudia kuwa kazi zenu ni mbovu" ...wewe jamaa kumbe ni mbumbumbu haswa
 
Swali kwa hiyo hapo maana yake mtu kuwa myahudi ni mtakatifu moja kwa moja ? Yesu anawaambia wayahudi kuwa "mnanichukia kwa kuwa nimewashuhudia kuwa kazizenu ni mbovu" ...wewe jamaa kumbe ni mbumbumbu haswa
Hebu jibu unachoulizwa kwanza ,

Halafu uone UPOTOSHAJI wako ulivyo

Hata Yesu alikosoa Wayahudi wengi kwa ubinafsi na matendo yao mabaya (Mathayo 23:27–28; Yohana 8:44).

Hata hivyo, Biblia inathibitisha wazi kuwa mpango wa wokovu ulipitia Wayahudi, na Kristo mwenyewe alizaliwa Myahudi (Mathayo 1:1–3; Luka 2:4–5).

Kwa hivyo, tatizo si jina “Myahudi” kwa ujumla, kama UNAVYODAI NA KUPOTOSHA WATU, bali ni matendo ya baadhi yao yaliyokinzana na mapenzi ya Mungu.

Yesu alikusudia kurekebisha moyo wa watu, si kubatilisha utambulisho wa Wayahudi.


SASA SWALI LINARUDI PALE PALE

Je, Yesu Kristo angekiri wokovu utatoka kwa Wayahudi kama alivyosema Yohana 4:22, ikiwa jina lingekuwa WAYAHUDI ni ovu?

Kifupi unataka kusema YESU ALISEMA WOKOVU UTATOKA KWA WAOVU ?

TENA YESU KATUMIA KABISA NENO "WAYAHUDI" au hakujua kuwa ni jina OVU😂😂


JE YESU HAKUJUA NENO WAYAHUDI NI UOVU ?😂😂😂
 
Hebu jibu unachoulizwa kwanza ,

Halafu uone UPOTOSHAJI wako ulivyo
Wewe ujaelewa maana ya hayo maneno "WOKOVU UNATOKA KWA WAYAHUDI (WAISRAELI) KWANZA haya maneno yamekupiga chenga ...hao wayahudi na waisrael wote walikuwa wamemwasi mungu ndiyo kuja Kristo kuleta wokovu kati ya uhasi... ila jina YAHUDI siyo jina takatifu kutoka kwa Mungu jina takatifu ni ISRAEL..sasa twende kisimani tunamsikia yule mwanamke msamalia akimwambia yesu imekuwaje wewe myahudi kutaka maji kwangu mimi mwanamke msamalia " sasa tazama hapo utagundua kitu muhimu sana kuhusu UYAHUDI...Yesu alifundisha kuwa aliye mkubwa kati yenu na awe mdogo kuliko wote sasa vipi wayahudi wanajiinua dhidi ya waisrael wenzao wa samalia ? Wewe huoni kulikuwa na mtafaruku kitambo baina ya uyahudi na uisrael usio wa kiyahudi je mungu ndiye aliye amrisha iwe hivyo .....NENO UYAHUDI NI KAMA NENO UKATOLIKI AU USABATO AU ULOKOLE KWA SASA NI MANENO YASIYO KUBALIKA MBELE ZA MUNGU WALA MUNGU AKUYAWEKA KUWA SEHEMU YA MAJINA MATAKATIFU
 
Unajua mimi ninaujua uislamu kuliko mtu yoyote sijawai kukuonyesheni ujuzi niliona haya ninayo wacharenji hapa ni cha mtoto na naujua ukristo kupita kiasi ndiyo maana nawaona wakristo wanao acha ukristo na kuwa waislamu kuwa ni wapumbavu na waislamu wanao acha uislamu na kuwa Wakristo pia ni wapumbavu...hakuna heri yoyote ndani ya uislamu wala ukristo wa sasa ni upotovu na upumbavu...
Ninao uwezo wakukuelezea kuwa Muhammad alikutana na shetani ibilisi pangoni siyo malaika...tatizo lenu waislamu huwa amjibugi maswali yangu ivyo naishia chini katika kuwafunulieni mambo makuu ndani ya uislamu ambayo nyinyi amyajui wala amjawai kujiuliza
Acha maelezo mengi toa majibu ya nilichokuuliza
 
Muhammad hadi anaondoka pangoni alikokuwa kwa ajili ya ibada akutambua kuwa ni kitu kisicho chema ndiyo alisema ni jini au shetani ...malaika akitumwa na Mungu uja kwa unyoofu na kuwasilisha ujumbe ulionyooka kabisa ...pia mtu mchamungu mtukufu wa daraja awezi kutishwa na shetani wala jini wala mchawi ...muhammad katoka pangoni kama kichaa kwa hofu ...muhammad nanapewa taarifa ya kiumbe kilicho mtokea na mtu mpuuzi na mkewe kuwa wewe ni mtume na huyo kiumbe ni jibili .
Bado unazunguka tu hebu niambie nani kakuambia alikuwa ni jini
 
Wewe ujaelewa maana ya hayo maneno "WOKOVU UNATOKA KWA WAYAHUDI (WAISRAELI) KWANZA haya maneno yamekupiga chenga ...hao wayahudi na waisrael wote walikuwa wamemwasi mungu ndiyo kuja kristo kuleta wokovu kati ya uhasi ila jina YAHUDI siyo jina takatifu kutoka kwa Mungu jina takatifu ni ISRAEL..sasa twende kisimani tunamsikia yule mwanamke msamalia akimwambia yesu imekuwaje wewe myahudi kutaka maji kwangu mimi mwanamke msamalia " sasa tazama hapo utagundua kitu muhimu sana kuhusu UYAHUDI...Yesu alifundisha kuwa aliye mkubwa kati yenu na awe mdogo kuliko wote sasa vipi wayahudi wanajiinua dhidi ya waisrael wenzao wa samalia ? Wewe huoni kulikuwa na mtafaruku kitambo baina ya uyahudi na uisrael usio wa kiyahudi je mungu ndiye aliye amrisha iwe hivyo .....NENO UYAHUDI NI KAMA NENO UKATOLIKI AU USABATO AU ULOKOLE KWA SASA NI MANENO YASIYO KUBALIKA MBELE ZA MUNGU WALA MUNGU AKUYAWEKA KUWA SEHEMU YA MAJINA MATAKATIFU
Kama jina Wayahudi lingekuwa “ovu” mbele za Mungu, kwa nini Yesu mwenyewe alithibitisha kwamba wokovu unatoka kwa Wayahudi na akatumia mifano kuonyesha thamani ya moyo wa kweli bila kuondoa utambulisho wao?



JE HAKUJUA NI JINA BAYA,OVU LISILO NA THAMANI KAMA UNAVYOPOTOSHA?


ACHA NGONJERA NYINGI ,NENDA KWENYE POINT ,YESU HAKUJUA HILO NENO(JEWS) NI BAYA ?

ILA WEWE NDIO TUKUAMINI
 
Sio Mimi ninayewajimlisha ni manabii

Ushahidi nakupa maandiko

Ezra 4:12
"Na liwe wazi kwa mfalme, ya kwamba Wayahudi waliokwea kwetu, kutoka kwako, wamefika Yerusalemu; wanajenga tena mji huu wa uasi, tena mbaya, na wanakamilisha kuta zake, na kuondoa misingi yake."

Hapa Ezra anawaita wote Wayahudi, hata kama walikuwa wa makabila tofauti, kwa sababu waliokuwa wakirudi walihesabiwa kama taifa moja.

Ezra 5:1
"Ndipo manabii Hagai nabii, na Zekaria mwana wa Ido, wakatabiri kwa Wayahudi waliokuwako katika Yuda na Yerusalemu, kwa jina la Mungu wa Israeli aliyekuwa juu yao."
Hivi ndo inavyotakiwa uwe unatoa maandiko sio ukiambiwa toa maandiko eti unajifanya nakupuuza badala ya kukubali tu kushindwa
 
Bado unazunguka tu hebu niambie nani kakuambia alikuwa ni jini
Swali? Kwanini mnakataa kuwa siyo jini ?wakati mmesema kuna majini wachamungu ? Kumbe mnajua kuwa Mungu wake ni Malaika na Shetani wake ni majini.....sasa mbona Muhammad anadai kuwa yeye anaye jini anaye mwongoza yeye Muhammad kwenye kutenda mema je huyo jini wa Muhammadi katumwa na nani kufanya hivyo ni Mungu ? Au la ? Kama ni mungu kwanini yule wa pangoni mnaoinga kuwa siyo jini aliye tumwa na allah bali mnasema lazima ni malaika
 
Swali? Kwanini mnakataa kuwa siyo jini ?wakati mmesema kuna majini wachamungu
Sasa tukisema kuna majini wacha Mungu ndo yule na yeye awe jini?
Aya sasa kuna wanadamu wacha Mungu je na yule alikuwa mwanadamu?
 
Kama jina Wayahudi lingekuwa “ovu” mbele za Mungu, kwa nini Yesu mwenyewe alithibitisha kwamba wokovu unatoka kwa Wayahudi na akatumia mifano kuonyesha thamani ya moyo wa kweli bila kuondoa utambulisho wao?



JE HAKUJUA NI JINA BAYA,OVU LISILO NA THAMANI KAMA UNAVYOPOTOSHA?


ACHA NGONJERA NYINGI ,NENDA KWENYE POINT ,YESU HAKUJUA HILO NENO(JEWS) NI BAYA ?

ILA WEWE NDIO TUKUAMINI
Mbona nakujobu au akili zako ni ndogo ? Yesu alisema makahaba watawatangulieni kuingia kwenye ufalme wa Mungu" je ukahaba ni kitendo chema? Ndiyo kama ilo swali lako UYAHUDI NI KITU KIBAYA ILA WOKOVU UMELETWA KWA WAYAHUDI NA WAISRAEL KWANZA WATUBIE NJIA ZAO OVU .....Siyo kwamba uyahudi ni mwema ...Ushahidi wa haya ninayo yasema ni kwa wanafunzi wa yesu wale walio mkubali yesu waliziacha mila za kiyahudi habari za kutofautisha msamalia na watu wa mataifa nk waliacha huo upuuzi
 
Mbona nakujobu au akili zako ni ndogo ? Yesu alisema makahaba watawatangulieni kuingia kwenye ufalme wa Mungu" je ukahaba ni kitendo chema? Ndiyo kama ilo swali lako UYAHUDI NI KITU KIBAYA ILA WOKOVU UMELETWA KWA WAYAHUDI NA WAISRAEL KWANZA WATUBIE NJIA ZAO OVU .....Siyo kwamba uyahudi ni mwema ...Ushahidi wa haya ninayo yasema ni kwa wanafunzi wa yesu wale walio mkubali yesu waliziacha mila za kiyahudi habari za kutofautisha msamalia na watu wa mataifa nk waliacha huo upuuzi
Usijitoe akili hapa toka mwanzo tunazungumzia JINA WAYAHUDI sio watu ,hakuna jamii watu wote ni wema


NARUDIA hapa tunazungumzia JINA WAYAHUDI,

Hivo mifano yako ni batili hivo swali lipo pale pale

Kama jina Wayahudi lingekuwa “ovu” mbele za Mungu, kwa nini Yesu mwenyewe alithibitisha kwamba wokovu unatoka kwa Wayahudi na akatumia mifano kuonyesha thamani ya moyo wa kweli bila kuondoa utambulisho wao?



JE HAKUJUA NI JINA BAYA,OVU LISILO NA THAMANI KAMA UNAVYOPOTOSHA?


ACHA NGONJERA NYINGI ,NENDA KWENYE POINT ,YESU HAKUJUA HILO NENO(JEWS) NI BAYA ?

ILA WEWE NDIO TUKUAMINI
 
Sasa tukisema kuna majini wacha Mungu ndo yule na yeye awe jini?
Aya sasa kuna wanadamu wacha Mungu je na yule alikuwa mwanadamu?
Umetoka nje ya logic ...mungu utuma wachamungu wanadamu kuwafikishia watu ujumbe na utuma malaika kuwafikishia watu ujumbe wake swala lilikuwa kwanini mungu ajawai kuwatuma majini wachamungu popote toka nyakati na nyakati
 
Umetoka nje ya logic ...mungu utuma wachamungu wanadamu kuwafikishia watu ujumbe na utuma malaika kuwafikishia watu ujumbe wake swala lilikuwa kwanini mungu ajawai kuwatuma majini wachamungu popote toka nyakati na nyakati
Kwa sababu mwanadamu ndiye kiongozi ulimwenguni
 
Usijitoe akili hapa toka mwanzo tunazungumzia JINA WAYAHUDI sio watu ,hakuna jamii watu wote ni wema


NARUDIA hapa tunazungumzia JINA WAYAHUDI,

Hivo mifano yako ni batili hivo swali lipo pale pale

Kama jina Wayahudi lingekuwa “ovu” mbele za Mungu, kwa nini Yesu mwenyewe alithibitisha kwamba wokovu unatoka kwa Wayahudi na akatumia mifano kuonyesha thamani ya moyo wa kweli bila kuondoa utambulisho wao?



JE HAKUJUA NI JINA BAYA,OVU LISILO NA THAMANI KAMA UNAVYOPOTOSHA?


ACHA NGONJERA NYINGI ,NENDA KWENYE POINT ,YESU HAKUJUA HILO NENO(JEWS) NI BAYA ?

ILA WEWE NDIO TUKUAMINI
KAHABA = YAHUDI
Yesu anasema makahaba wataingia mbele yenu uzimani ...yaani watapata wokovu aina maana kuwa ukahaba ni mwema bali wakitubia watapata wokovu ...maana yake makahaba watawatangulia kutubia ndivyo ilivyo kuwa kwa Wayahudi na waisrael wakovu ulitoka kwao kwa wao kutubia na kumfuata kristo kwanza kabla ya mataifa
 
Kwa sababu mwanadamu ndiye kiongozi ulimwenguni
Kama ni hivyo mbona muhammad ana sema yeye anaye jini linamuongoza nikakuuliza ni nani aliye lipa jini amri ya kumuongoza muhammad kwenye kutenda mema ni mungu au la ?tumia akili.kujibu maswali yangu ni logic ...sasa hivi umesema mungu awezi kutuma jini...hivyo jini aliwezi kuwa kiongozi wa kumwongoza mwanadamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom