Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Tatizo lako wewe unabishana badala ya kutafuta elimu ninachokuambia mimi uwezi kukipata kanisa lolote ....sasa rudi hatua chache nimemuelewezmsha mtu mchanfanuo wake UYAHUDI NI KAMA UGAIDI WA KIDINI
Mimi nakupa reference unasema nabishana , wewe usiyeweka reference yoyote unasema upo sahihi 😂😂😂

Hapa Ezra anawaita wote Wayahudi, hata kama walikuwa wa makabila tofauti, kwa sababu waliokuwa wakirudi walihesabiwa kama taifa moja.

Ezra 5:1
"Ndipo manabii Hagai nabii, na Zekaria mwana wa Ido, wakatabiri kwa Wayahudi waliokuwako katika Yuda na Yerusalemu, kwa jina la Mungu wa Israeli aliyekuwa juu yao."

Unaona ninavyofanya mjadala kwa ushahidi wa maandiko ?

Wewe unaleta maneno matupu na unataka uaminiwe😂😂😂😂
 
Ni kweli awali si makabila yote yaliitwa Wayahudi, bali Yuda, Benyamini na Lawii.

Lakini baada ya uhamisho, jina Wayahudi liliwajumuisha wote waliobaki watiifu Yerusalemu.

Mbele ya Injili, jina Uyahudi likawa bure ikiwa halina imani ya Kristo
NA HATA HAO YUDA NA LAWI NA BENJAMIN SIYO WOTE WALIKUWA NI WAYAHUDI .....WAPO WALAWI NA WAYUDA NA WA BENJAMIN AMBAO WAO AWAKUINGIA KWENYE HIYO ITIKADI KALI NA OVU YA UYAHUDI
 
UYAHUDI NI KAMA UGAIDI WA KIDINI ....NI KIBURI CHA DINI NA ITIKADI KAKI ZA DINI
Huna reference Mzee, unafanya porojo

Kusema kwamba Uyahudi ni ugaidi wa kidini si kweli na ni upotoshaji.

Uyahudi siyo ugaidi, bali ni taifa na pia imani ya watu walioteuliwa na Mungu tangu Agano la Kale.

Ndiyo maana hata Yesu mwenyewe alisema wazi katika Yohana 4:22 kwamba

“wokovu watoka kwa Wayahudi.”

Sasa swali linabaki, kama Uyahudi ungekuwa kiburi au ugaidi wa dini,

kwa nini Yesu Kristo ambaye ndiye Mwokozi wa ulimwengu aonekane kuwasifu na kuthibitisha kwamba wokovu unatoka kwao?

Je, inawezekanaje wokovu utoke kwa watu wa “ugaidi wa kidini”?

Hapa panaonyesha kuwa mtazamo wako si sahihi, bali ni tafsiri yenye upotoshaji.
 
NA HATA HAO YUDA NA LAWI NA BENJAMIN SIYO WOTE WALIKUWA NI WAYAHUDI .....WAPO WALAWI NA WAYUDA NA WA BENJAMIN AMBAO WAO AWAKUINGIA KWENYE HIYO ITIKADI KALI NA OVU YA UYAHUDI
Kwanza tengua UPOTOSHAJI wako ,ni wazi huna dalili wala reference ya unayosema


Kusema kwamba Uyahudi ni ugaidi wa kidini si kweli na ni upotoshaji. Uyahudi siyo ugaidi, bali ni taifa na pia imani ya watu walioteuliwa na Mungu tangu Agano la Kale.

Ndiyo maana hata Yesu mwenyewe alisema wazi katika Yohana 4:22 kwamba

wokovu watoka kwa Wayahudi.”

Sasa swali linabaki, kama Uyahudi ungekuwa kiburi au ugaidi wa dini, kwa nini Yesu Kristo ambaye ndiye Mwokozi wa ulimwengu aonekane kuwasifu na kuthibitisha kwamba wokovu unatoka kwao?

Je, inawezekanaje wokovu utoke kwa watu wa “ugaidi wa kidini”? Hapa panaonyesha kuwa mtazamo wako si sahihi, bali ni tafsiri yenye upotoshaji.
 
Mimi nakupa reference unasema nabishana , wewe usiyeweka reference yoyote unasema upo sahihi 😂😂😂

Hapa Ezra anawaita wote Wayahudi, hata kama walikuwa wa makabila tofauti, kwa sababu waliokuwa wakirudi walihesabiwa kama taifa moja.

Ezra 5:1
"Ndipo manabii Hagai nabii, na Zekaria mwana wa Ido, wakatabiri kwa Wayahudi waliokuwako katika Yuda na Yerusalemu, kwa jina la Mungu wa Israeli aliyekuwa juu yao."

Unaona ninavyofanya mjadala kwa ushahidi wa maandiko ?

Wewe unaleta maneno matupu na unataka uaminiwe😂😂😂😂
Tatizo lako wewe unashindwa kutambua kitu kuhusu neno YAHUDI ..swali kwanini waisrael walitumia neno wayahudi kama ulivyo sema hapo badala ya WAISRAELI
 
Huna reference Mzee, unafanya porojo

Kusema kwamba Uyahudi ni ugaidi wa kidini si kweli na ni upotoshaji.

Uyahudi siyo ugaidi, bali ni taifa na pia imani ya watu walioteuliwa na Mungu tangu Agano la Kale.

Ndiyo maana hata Yesu mwenyewe alisema wazi katika Yohana 4:22 kwamba

“wokovu watoka kwa Wayahudi.”

Sasa swali linabaki, kama Uyahudi ungekuwa kiburi au ugaidi wa dini,

kwa nini Yesu Kristo ambaye ndiye Mwokozi wa ulimwengu aonekane kuwasifu na kuthibitisha kwamba wokovu unatoka kwao?

Je, inawezekanaje wokovu utoke kwa watu wa “ugaidi wa kidini”?

Hapa panaonyesha kuwa mtazamo wako si sahihi, bali ni tafsiri yenye upotoshaji.
Daudi musa yakobo(Israeli) nk ni wayahudi?
 
Tatizo lako wewe unashindwa kutambua kitu kuhusu neno YAHUDI ..swali kwanini waisrael walitumia neno wayahudi kama ulivyo sema hapo badala ya WAISRAELI
Tatizo lako unaleta maneno matupu na unataka uaminiwe , 😂 😂

Weka reference Mzee ,

Kwanza, ni muhimu kuelewa kwamba “Wayahudi” ni jina lililoibuka kihistoria kutoka kwa kabila la Yuda baada ya kugawanyika kwa Ufalme wa Israeli.

Makabila ya kaskazini (makabila 10) yaliendelea kuitwa Waisraeli, lakini wale waliobaki katika Ufalme wa Kusini (Yuda, Benjamini, na Lawi waliokaa Yerusalemu) waliitwa Wayahudi (2 Wafalme 16:6).

Hii si ishara ya kiburi au ubaguzi kama unavyodanganywa na huna reference wala maandiko,

Kuitwa Wayahudi ni muktadha wa kihistoria na kiutawala.

Maandiko yanathibitisha hili, kwani Ezra anasema👇👇👇👇👇

“Na liwe wazi kwa mfalme, ya kwamba Wayahudi waliokwea kwetu, kutoka kwako, wamefika Yerusalemu; wanajenga tena mji huu wa uasi, tena mbaya, na wanakamilisha kuta zake, na kuondoa misingi yake” (Ezra 4:12).
 
Daudi musa isreal nk ni wayahudi
Daudi ni Kabila la Yuda, Musa Kabila la Lawi

Musa na Daudi walikuwa Waisraeli na kisha jina Wayahudi lilitumika kihistoria kuwakilisha uzao wa Yuda na wale waliobaki, lakini si kwa maana ya kiburi au ugaidi wa kidin kama Unavyopotosha watu.

Yesu Kristo mwenyewe anasema

Wokovu watoka kwa Wayahudi” (Yohana 4:22),

akithibitisha umuhimu wa Wayahudi kama taifa la Mungu, si kuwa ovu au gaidi,Ningekubali Ulete ushahidi nikugonge maswali


Kama Musa na Daudi ni Waisraeli, kwa nini tuseme Wayahudi ni jina ovu mbele za Mungu wakati Yesu mwenyewe anasema wokovu utatoka kwao(TENA YESU HAKWEPESHI ANASWMA KABISA WOKOVU WATOKA KWA WAYAHUDI?


Kwa tafsiri zako za UPOTOSHAJI,ni kana kwamba tuseme WOKOVU UNATOKA KWA WAOVU


Hebu vitu kama hamna elimu navyo viacheni jamani
 
Kama
Tatizo lako unaleta maneno matupu na unataka uaminiwe , 😂 😂

Weka reference Mzee ,

Kwanza, ni muhimu kuelewa kwamba “Wayahudi” ni jina lililoibuka kihistoria kutoka kwa kabila la Yuda baada ya kugawanyika kwa Ufalme wa Israeli.

Makabila ya kaskazini (makabila 10) yaliendelea kuitwa Waisraeli, lakini wale waliobaki katika Ufalme wa Kusini (Yuda, Benjamini, na Lawi waliokaa Yerusalemu) waliitwa Wayahudi (2 Wafalme 16:6).

Hii si ishara ya kiburi au ubaguzi kama unavyodanganywa na huna reference wala maandiko,

Kuitwa Wayahudi ni muktadha wa kihistoria na kiutawala.

Maandiko yanathibitisha hili, kwani Ezra anasema👇👇👇👇👇

“Na liwe wazi kwa mfalme, ya kwamba Wayahudi waliokwea kwetu, kutoka kwako, wamefika Yerusalemu; wanajenga tena mji huu wa uasi, tena mbaya, na wanakamilisha kuta zake, na kuondoa misingi yake” (Ezra 4:12).
Kama ni hivyo kwanini waisrael wote wasiwe wayahudi nijibu maana umesema wewe mwenyewe kuwa Waisraeli wote siyo wayahudi...nataka sasa nianze kukuelewesha na kukujibu hayo maswali yako yote
 
Kama

Kama ni hivyo kwanini waisrael wote wasiwe wayahudi nijibu maana umesema wewe mwenyewe kuwa Waisraeli wote siyo wayahudi...nataka sasa nianze kukuelewesha na kukujibu hayo maswali yako yote
Shida huna reference,huna dalili ,huna maandiko, ndio maana maswali ninayokuuliza hujibu ,umekuwa kama waislamu,maswali hawajibu kabisa


Sikia sio kila Mwisraeli aliitwa Myahudi kihistoria. Jina Wayahudi lilitokana na wale waliobaki Ufalme wa Kusini (Yuda, Benyamini, na Lawi waliokaa Yerusalemu) baada ya kugawanyika kwa Ufalme wa Israel.

Wale waliokalia makabila ya kaskazini waliendelea kuitwa Waisraeli.

Hii si ishara ya ubaguzi au kiburi, au ovu kama UNAVYOTAKA KUPOTOSHA WATU ,bali ni muktadha wa kihistoria na kiutawala.

Kama unadhani Wayahudi ni jina OVU na ugaidi kwa nini Mungu mwenyewe aliwaita waliorejea Yerusalemu Wayahudi (Ezra 4:12)?

HILI SWALI HUTAKI KUJIBU


Je, Yesu Kristo angekiri wokovu utatoka kwa Wayahudi kama alivyosema Yohana 4:22, ikiwa jina lingekuwa WAYAHUDI ni ovu?

Kifupi unataka kusema YESU ALISEMA WOKOVU UTATOKA KWA WAOVU ?

TENA YESU KATUMIA KABISA NENO "WAYAHUDI" au hakujua kuwa ni jina OVU😂😂
 
Daudi ni Kabila la Yuda, Musa Kabila la Lawi

Musa na Daudi walikuwa Waisraeli na kisha jina Wayahudi lilitumika kihistoria kuwakilisha uzao wa Yuda na wale waliobaki, lakini si kwa maana ya kiburi au ugaidi wa kidin kama Unavyopotosha watu.

Yesu Kristo mwenyewe anasema

Wokovu watoka kwa Wayahudi” (Yohana 4:22),

akithibitisha umuhimu wa Wayahudi kama taifa la Mungu, si kuwa ovu au gaidi,Ningekubali Ulete ushahidi nikugonge maswali


Kama Musa na Daudi ni Waisraeli, kwa nini tuseme Wayahudi ni jina ovu mbele za Mungu wakati Yesu mwenyewe anasema wokovu utatoka kwao(TENA YESU HAKWEPESHI ANASWMA KABISA WOKOVU WATOKA KWA WAYAHUDI?


Kwa tafsiri zako za UPOTOSHAJI,ni kana kwamba tuseme WOKOVU UNATOKA KWA WAOVU


Hebu vitu kama hamna elimu navyo viacheni jamani
Tumia akili nini kilicho sababisha jina lenye mpasuko kutumika ...kulikuwa na haja gani kubagua jamii kuwa hawa ni Waisraeli wayahudi na hawa siyo ? Nitakuja kukujibu kwa kupitia Yesu mwenyewe kwanini alipo kuwa anafundisha mbele ya wayahudi alipenda kutoa mifano ya wasamalia dhidi ya wayahudi ..pia nitakupeleka kisimani nikufundishe like tukio la Yesu na Mwanamke msamalia linamaana gani kwa haya ninayo kuambia kuwa HUYAHUDI NI SAWA NA UOVU ...hao watu wa Ezra ulio watoleo mfano sijui unajua kuwa yote yaliwapata katika uovu yaana hayo hayo ya kujitukuza na kumchukiza mungu na kuwatia mikononi mwa mataifa ...mimi sijakataa wayahudi kuwapo ila nimekuambia UYAHUDI NI ITIKADI ZA KIBURI AMBACHO MUNGU ALIKICHUKIA , NI JINA LINALO WAKILISHA WAISRAELI WENYE VIBURI NA KUMUASI MUNGU HUKU WAKIJIDAI WANA DINI
 
mjingamimi umepata upenyo umelala mbele au sio ?


KWA HOJA HIYO TU INATOSHA KUKUONESHA UISLAMU NI DINI YA KUOKOTEZA,

ONA HAMJUI MAANA YA NENO ZABURI, ISRAEL ,INJILI ,N.K

HAMJUI MSINGI WA HAYO MANENO
 
Shida huna reference,huna dalili ,huna maandiko, ndio maana maswali ninayokuuliza hujibu ,umekuwa kama waislamu,maswali hawajibu kabisa


Sikia sio kila Mwisraeli aliitwa Myahudi kihistoria. Jina Wayahudi lilitokana na wale waliobaki Ufalme wa Kusini (Yuda, Benyamini, na Lawi waliokaa Yerusalemu) baada ya kugawanyika kwa Ufalme wa Israel.

Wale waliokalia makabila ya kaskazini waliendelea kuitwa Waisraeli.

Hii si ishara ya ubaguzi au kiburi, au ovu kama UNAVYOTAKA KUPOTOSHA WATU ,bali ni muktadha wa kihistoria na kiutawala.

Kama unadhani Wayahudi ni jina OVU na ugaidi kwa nini Mungu mwenyewe aliwaita waliorejea Yerusalemu Wayahudi (Ezra 4:12)?

HILI SWALI HUTAKI KUJIBU


Je, Yesu Kristo angekiri wokovu utatoka kwa Wayahudi kama alivyosema Yohana 4:22, ikiwa jina lingekuwa WAYAHUDI ni ovu?

Kifupi unataka kusema YESU ALISEMA WOKOVU UTATOKA KWA WAOVU ?

TENA YESU KATUMIA KABISA NENO "WAYAHUDI" au hakujua kuwa ni jina OVU😂😂
Unauliza maswali mengi kwa pamoja ilo jina umesema lilitokana na migawanyiko swali je hiyo migawanyiko chanzo chake ni Waisraeli kumpendeza mungu au kumwasi mungu ? Tumia akili ufalme uliofarakana hauta simama ...nimekuambia uyahudi chanzo chake siyo kumpendeza mungu bali ni ukengeufu wa kidini
 
Tumia akili nini kilicho sababisha jina lenye mpasuko kutumika ...kulikuwa na haja gani kubagua jamii kuwa hawa ni Waisraeli wayahudi na hawa siyo ? Nitakuja kukujibu kwa kupitia Yesu mwenyewe kwanini alipo kuwa anafundisha mbele ya wayahudi alipenda kutoa mifano ya wasamalia dhidi ya wayahudi ..pia nitakupeleka kisimani nikufundishe like tukio la Yesu na Mwanamke msamalia linamaana gani kwa haya ninayo kuambia kuwa HUYAHUDI NI SAWA NA UOVU ...hao watu wa Ezra ulio watoleo mfano sijui unajua kuwa yote yaliwapata katika uovu yaana hayo hayo ya kujitukuza na kumchukiza mungu na kuwatia mikononi mwa mataifa ...mimi sijakataa wayahudi kuwapo ila nimekuambia UYAHUDI NI ITIKADI ZA KIBURI AMBACHO MUNGU ALIKICHUKIA NI JINA LINALO WAKILISHA WAISRAELI WENYE VIBURI NA KUMUASI MUNGU HUKU WAKIJIDAI WANA DINI
Wewe huna elimu nishajua ,ndio maana maswali yangu haujibu,

Sasa hivi unataka kukimbilia kwa wasamalia ,unataka kubadili mada kijanja 😂😂

Wayahudi waliokuwa wakijitukuza, kumchukiza Mungu, na kudai dini bila moyo safi, walipokea adhabu na kupigwa na historia (kama unavyoelezea). Hivyo basi, hoja yako kwamba “Uyahudi ni itikadi ya kiburi” inaeleweka kama matokeo ya matendo yao, si kwa jina lenyewe. Jina Wayahudi linawakilisha wauzaji wa Agano la Mungu waliokosea, na si jamii nzima bila upendo.


Kwahiyo wewe ndio nakutaka utumie akili, na ujibu ninachokuuliza
 
Wewe huna elimu nishajua ,ndio maana maswali yangu haujibu,

Sasa hivi unataka kukimbilia kwa wasamalia ,unataka kubadili mada kijanja 😂😂

Wayahudi waliokuwa wakijitukuza, kumchukiza Mungu, na kudai dini bila moyo safi, walipokea adhabu na kupigwa na historia (kama unavyoelezea). Hivyo basi, hoja yako kwamba “Uyahudi ni itikadi ya kiburi” inaeleweka kama matokeo ya matendo yao, si kwa jina lenyewe. Jina Wayahudi linawakilisha wauzaji wa Agano la Mungu waliokosea, na si jamii nzima bila upendo.


Kwahiyo wewe ndio nakutaka utumie akili, na ujibu ninachokuuliza
Ungenisikiliza vizuri kuhusu fafanuzi zangu usinge bisha tatizo wewe umekuja kubishana kishabiki jina YAHUDI SIYO MPANGO WA MUNGU NI SHETANI
 
Unauliza maswali mengi kwa pamoja ilo jina umesema lilitokana na migawanyiko swali je hiyo migawany9ko chanzo chake ni Waisraeli kumpendeza mungu au kumwasi mungu ? Tumia akili ufalme uliofarakana hauta simama ...nimekuambia uyahudi chanzo chake siyo kumpendeza mungu bali ni ukengeufu wa kidini
Swali ni moja tu, au mawili, nayarudia sababu huyajibu, Bali unatafuta upenyo kutojibu

Yesu alithibitisha wazi kwamba

👇👇
“wokovu watoka kwa Wayahudi” (Yohana 4:22)

SWALI LANGU ,YESU HAKUJUA JINA WAYAHUDI NI OVU,GAIDI ,MPANGO MBAYA KAMA UNAVYOPOTOSHA???

kwa sababu mpango wa Mungu ulipitia Wayahudi,

Hii inaonyesha wazi kuwa jina Wayahudi si “ovu” au la kukataliwa mbele za Mungu, bali ni chombo cha mpango wa wokovu.

Tatizo si Wayahudi kwa ujumla, bali mitazamo mibaya na ubinafsi wa baadhi yao, ambayo Yesu alikusudia kufundisha na kurekebisha kupitia mafundisho yake.
 
Ungenisikiliza vizuri kuhusu fafanuzi zangu usinge bisha tatizo wewe umekuja kubishana kishabiki jina YAHUDI SIYO MPANGO WA MUNGU NI SHETANI
Nikusikilize bila kuleta ushahidi, reference yoyote?

Mimi na wewe nani anabishana ?

Yesu amesema WOKOVU WATOKA KWA WAYAHUDI


swali ,YESU HAKUJUA JINA WAYAHUDI NI MONAGO OVU??

NIKUSIKILIZE WEWE AU YESU ANAYESEMA WAZIWAZI ,WOKOVU WATOKA KWA WAYAHUDI
 
Ungenisikiliza vizuri kuhusu fafanuzi zangu usinge bisha tatizo wewe umekuja kubishana kishabiki jina YAHUDI SIYO MPANGO WA MUNGU NI SHETANI
Mbishani ni wewe usiyeleta hata andiko moja na unadanganya watu kweupe pee

HILI SWALI HUTAKI KUJIBU


Je, Yesu Kristo angekiri wokovu utatoka kwa Wayahudi kama alivyosema Yohana 4:22, ikiwa jina lingekuwa WAYAHUDI ni ovu?

Kifupi unataka kusema YESU ALISEMA WOKOVU UTATOKA KWA WAOVU ?

TENA YESU KATUMIA KABISA NENO "WAYAHUDI" au hakujua kuwa ni jina OVU😂😂
 
Mbishani ni wewe usiyeleta hata andiko moja na unadanganya watu kweupe pee

HILI SWALI HUTAKI KUJIBU


Je, Yesu Kristo angekiri wokovu utatoka kwa Wayahudi kama alivyosema Yohana 4:22, ikiwa jina lingekuwa WAYAHUDI ni ovu?

Kifupi unataka kusema YESU ALISEMA WOKOVU UTATOKA KWA WAOVU ?

TENA YESU KATUMIA KABISA NENO "WAYAHUDI" au hakujua kuwa ni jina OVU😂😂
Jibu ...injili uijui ....Yesu alikuwa ameketi na walevi na watoza ushuru je jibu lake lilikuwaje ? Wokovu unatoka kwa wayahudi waliopotea kwanza kisha kwa mataifa yaliyo potea ....Yesu akuja kuleta wokovu kwa kisicho potea bali kilicho potea ...Wayahudi walipotea kwa kijitukuza na kujikuza ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom