Sio Msimamo wa Waislam wote labda wewe na wapenda pilau la Magamba, Mimi kwanza siitambui Bakwata nikiwa kama Musilam. Bakwata inaendeshwa kama vile ni Tawi dogo la Magamba. Kwa hiyo sinaimani nao hao Mashekhe Pilau wanaoweka Njaa zao mbele kuliko Dini.
I never trust Bakwata and i will never Trust Bakwata. Tunataka Baraza letu la Balukta lirudishwe lile ndio liliokuwa linapigania Haki za waislam sio hili Tawi la Magamba Bakwata my us NOT Asssssssssssss.
Hao wakina Muft Simba wakishwa lishwa Pilau na CCM wanasahau mpaka dini, wanalishwa na kuja kuropoka na kutudharaulisha waislam wote nchi kwa Njaa zao
Kwanza kamwite Askofu wenu Laizer na Askofu mkuu wa katoliki watueleze kwanini walikuwa wanatuambia tuwachague Chadema mwaka jana?
Acha kutuletea hoja za kimasaburi hapa. Nchi nzima imepoteza dira. Huyo DC ni muislamu as long as akiwa hajabadili dini yake kwa kuritadi (kutamka amejitoa katika uislamu). Hivyo basi inamlazimu avae hijabu au mtandio kusitiri nywele zake. Kaulize wajuzi wote wa dini watakuambia. Ama kuhusu kuolewa na mkristo hilo swala jengine ila kiislamu hapo hakuna ndoa bali wanazini ila yule mwanamke ataendelea kuwa muislamu kama kawa!!!! Acheni udini wenu nyie watu mnaipeleka nchi pabaya na ubaguzi wenu wa kijinga. Tuliachie jambo lijadiliwe mahakamani kwanza ndio tuseme lolote.
Ni msimamo wa waislamu wote, wewe unasema aje? Mufti ni kiongozi wetu akisema wote tunaunga mkono.
CCM wakakimbilia kwenye madhehebu ya dini ila kujali kuihatarisha amani ya nchi na kuomba wasaidiwe kuilaani chadema....
Tulimwona na kumsikia mufti bin simba akiwaonya CHADEMA kuhusu tukio la DC fatma kimario (mkristo safi) kwani ameolewa na mkristo. alivaa ushungi wala si hijabu. hata mimi hua na vaa kanzu lakini si muislam.
Halafu yakaibuka makundi mengine ndani ya uislam ikiwemo BAKWATA WOTE KWA PAMOJA WAKASEMA WAISLAMU WASIPIGIE KURA CHADEMA IGUNGA IMEDHALILISHA UISLAM. JE HUU MSIMAMO NI WAISLAM WOTE AU NI WALE WAFUASI WA CCM PEKEE.
Tunasubiri kusikia mufti simba atuambie kama huu ulikuwa msimamo wa waislamu.
WAISLAMU mimi mbona nimechanganyikiwa? Mara tuambiwe kuwa CHADEMA hawawapendi Waislamu! Halafu hapo hapo Katibu wa CCM tena anaitwa WILLSON Mkama anasema CHADEMA imeleta makomandoo 'magaidi' toka nchi za Kiislamu, Afghanstan, Pakistan na Libya Palestina! Du!
Siwezi kugombana na rafiki zangu Waislamu kwa sababu za wachumia tumbo wachache wanaoutumia Uislamu kama daraja la dharura! Tena hao CCM wanajifanya kutetea suala la mkuu wa Wilaya wengi wao ni Wakristo! kweli wanawaonea huruma Waislam au njaa zinawasumbua?
Cha kustaajabisha huyo DC sio muislamu safi kwani ameolewa na mkristo na wanatarajia kufunga ndoa kanisani na watoto wanao. Pia hakuvaa hijabu ni mtandio tu.
Kuruani inasema mwanamke wakiislam ni yule aliyeolewa na muislam na anafuata maadili ya kislam. Ndugu zangu waislamu kwanini mnakubali kueendeshwa kama gari bovu, au na nyie mmepoteza dira kama chama fulani.
CCM wakakimbilia kwenye madhehebu ya dini ila kujali kuihatarisha amani ya nchi na kuomba wasaidiwe kuilaani chadema....
Tulimwona na kumsikia mufti bin simba akiwaonya CHADEMA kuhusu tukio la DC fatma kimario (mkristo safi) kwani ameolewa na mkristo. alivaa ushungi wala si hijabu. hata mimi hua na vaa kanzu lakini si muislam.
Halafu yakaibuka makundi mengine ndani ya uislam ikiwemo BAKWATA WOTE KWA PAMOJA WAKASEMA WAISLAMU WASIPIGIE KURA CHADEMA IGUNGA IMEDHALILISHA UISLAM. JE HUU MSIMAMO NI WAISLAM WOTE AU NI WALE WAFUASI WA CCM PEKEE.
Tunasubiri kusikia mufti simba atuambie kama huu ulikuwa msimamo wa waislamu.
WAISLAMU mimi mbona nimechanganyikiwa? Mara tuambiwe kuwa CHADEMA hawawapendi Waislamu! Halafu hapo hapo Katibu wa CCM tena anaitwa WILLSON Mkama anasema CHADEMA imeleta makomandoo 'magaidi' toka nchi za Kiislamu, Afghanstan, Pakistan na Libya Palestina! Du!
Siwezi kugombana na rafiki zangu Waislamu kwa sababu za wachumia tumbo wachache wanaoutumia Uislamu kama daraja la dharura! Tena hao CCM wanajifanya kutetea suala la mkuu wa Wilaya wengi wao ni Wakristo! kweli wanawaonea huruma Waislam au njaa zinawasumbua?
Cha kustaajabisha huyo DC sio muislamu safi kwani ameolewa na mkristo na wanatarajia kufunga ndoa kanisani na watoto wanao. Pia hakuvaa hijabu ni mtandio tu.
Kuruani inasema mwanamke wakiislam ni yule aliyeolewa na muislam na anafuata maadili ya kislam. Ndugu zangu waislamu kwanini mnakubali kueendeshwa kama gari bovu, au na nyie mmepoteza dira kama chama fulani.
punguani ni wewe na familia yako huwezi kujumuisha waislamu wote bloodyfoooool!!!!!!
Haya tumeyasikia , sasa ongelea na upande mwingine wa shillingi wa CHADEMA KUTUMIWA NA KANISA