Kura za Waislamu zimeweza kuifanya Chadema ishindwe ktk uchaguzi wa Igunga. Sasa ni wakati wa Chadema kubadilika ktk uongozi wao- ambao hauna demographic ya TZ.
Chadema lazima mjue hamwezi kushinda bila ya Waislamu. Kwa hiyo badilikeni.
Kura za Waislamu zimeweza kuifanya Chadema ishindwe ktk uchaguzi wa Igunga. Sasa ni wakati wa Chadema kubadilika ktk uongozi wao- ambao hauna demographic ya TZ.
Chadema lazima mjue hamwezi kushinda bila ya Waislamu. Kwa hiyo badilikeni.
Ilitakiwa isomeke hivi: Waislamu Mmeiona Nguvu ya Chadema Igunga; Sasa BadilikeniChadema Mmeiona Nguvu ya Waislamu Igunga; Sasa Badilikeni
Kura za Waislamu zimeweza kuifanya Chadema ishindwe ktk uchaguzi wa Igunga. Sasa ni wakati wa Chadema kubadilika ktk uongozi wao- ambao hauna demographic ya TZ.
Chadema lazima mjue hamwezi kushinda bila ya Waislamu. Kwa hiyo badilikeni.
Kura za Waislamu zimeweza kuifanya Chadema ishindwe ktk uchaguzi wa Igunga. Sasa ni wakati wa Chadema kubadilika ktk uongozi wao- ambao hauna demographic ya TZ.
Chadema lazima mjue hamwezi kushinda bila ya Waislamu. Kwa hiyo badilikeni.
Samahani kaka, sio waislam wote waliikata chadema...Kura za Waislamu zimeweza kuifanya Chadema ishindwe ktk uchaguzi wa Igunga. Sasa ni wakati wa Chadema kubadilika ktk uongozi wao- ambao hauna demographic ya TZ.
Chadema lazima mjue hamwezi kushinda bila ya Waislamu. Kwa hiyo badilikeni.
Umesema mwenyewe kila Jamii ina viongozi wake. Huyu Mufti sii kiongozi wa DC wala jamii inayomhusu Bi. Fatma isipokuwa serikali ndiyo yenye mamlaka ya juu ktk swala zima. Na sheria ilichukua mkondo wake, washtakiwa walifikishwa ktk vyombo vya sheria na mashtaka yapo mahakamani. Wee sheikh unatafuta nini zaidi ktk kesi usiyoifahamu wala huna ushahidi wa kutosha. Na ni makosa makubwa kutoa Fatwa ktk swala ambalo huna ushahidi wake kwa sababu zipo kanuni na taratibu za kiislaam hupitiwa kabla ya kutoa fatwa.. Na unapokiuka kanuni hizi unaondoka ktk Uislaam na ndicho alichokifanya Mufti yaani katoka ktk Uislaam na kuingia ktk siasa.Mkuu,
Unajua kila jamii ina kiongozi wake na muongozo wake na ndio maana wenzetu wakristo wana maaskofu na sisi waislamu tuna masheikh. Mufti alichokosea kujiingiza katika siasa ila kuhusu kuvuliwa mwanamke staha yake ni jukumu lake lazima alikemee kwani asipolikemea kiti chake kitakuwa cha moto. Kosa alilolifanya Mufti ni kusema wasipigiwe chama fulani kura kwani pengine amewagusa wapenzi wa chama fulani ila kulikemea na kulitoea fatwa suala la kumvua mwanamke wa kiislamu hijabu ni sehemu ya kazi yake. Hata wewe ungelikuwa Mufti hilo jambo linakulazimu ulitolee muongozo.
Kwa ufupi niliwahi kusema huko zamani kwa maaskofu wetu na masheikh wetu wakitaka kuingia katika siasa wavue majoho yao waingie katika siasa ama sivyo wakae mbali nayo. Mufti ni kiongozi wa waislamu hivyo lazima akitoa tamko lina uzito wake hata kama baadhi hatukubaliani na taasisi anayoisimamia ya Bakwata ni wajibu wa kila muislamu. Ndio maana Sheikh Hassan bin Ameir (R.A) aliogopewa na Nyerere akamuhamisha kwenda zanzibar amtoe katika kiti chake kwani angelitoa tamko lolote kipindi kile Tanzania ingelichafuka.
Binafsi nimeiona nguvu ya waislamu...
kwanza wamemchagua mkristu
pili wamekubali "kama kawaida" kwamba lazima watumike hata kwa ubwabwa
tatu wameonyesha nguvu halisi ya kutumika kisiasa kirahisi sana kama kwenye issue ya mtandio
nne nguvu yao kubwa ya kusapoti vibastola na pombe za usiku kucha bila kutoa matamko
tano wameonyesha nguvu kubwa sana kwenye kusapoti kura za jumla yaani wholesale
sita - nguvu yao kubwa zaidi imeonekana pale waliposapoti mzinzi tena aliyefumaniwa na mke wa ustaadh wao na kukomalia mtandio wa mkatoliki
kwa hili, nawapa big up sana na mods naomba msiitoe kwani uzito wa jibu unaendana na mleta hoja na kama hamkutaka huu ushenzi, basi msingeruhusu hii itoke kis**** hivi