General Stalin
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 652
- 501
Hata Mimi ninapenda kumchangia diallo hebu atupe utaratibu tuendelee kuburudika!!Nimewalipia buku mbili
4GP7SDI1YD Confirmed. Tsh2,000.00 sent to business TRA for account 16788756 on 25/7/17 at 01:47 PM. New M-Pesa balance is Tsh 200.
ITV sijui kithungu kinawapiga chenga[Color= blue]kuna Goodmorning africa yaani nikiamka ile alfajiri ilkuwa lazima nifungulie rfa[/color]
[Color= red]StarTv kwnye newz za kimataifa sio kama itv za burundi na Congo pekee[/color]
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana umeumia sana.Hii radio ilitusaidia sana kwenye kampeni na tena ni ya kanda yetu na mmiliki wake ni kada wetu hivyo tumemsamehe. Kwa sasa tunashughulika na makada wa upinzani na watu wa kaskazini pamoja na wahindi hao Kama wanadaiwa lazima walipe.
Nyooo, alipe kwanza mishahara.Wamelipa cash.
Mama Ni matangazo ya kawaida ni sawa maana walivyofungiwa ilisika bbc english tu na swahili ktk vpnd vyao vya asbh na jionkatika pita pita zangu kusearch radio nkaskia kama radio free baada ya kuskiliza kwa makin nkaon n kwel
sasa sijui wamelipa hilo den ama wamesamehewa ili waanze upya ama wamepunguza den hlo
mwenye details kuhusu hili suala atupee tafadhal
ila n funzo kwa medioa zngine kama wanadaiwa nadhan watakuwa wameshakimbia kwenda kulipa maden yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajitolea kama Nyumbu wa Chagademus & Pliers.Nyooo, alipe kwanza mishahara.
TBC2?...TBC2,hawawezi kuuzwa,mmiliki alikuwa kwenye mgomo baridi tu ili kushinikiza malipo yake ya mkwanja wa kampeni,itauwa wameshayamaliza,maana kama Shigongo tu alilalama na magazeti yakeje Dualo?
Wewe unatakaje? Si mlikuwa mnasema humu kuwa akeshwe? Kurudi hewani mmeumia sana eh?Naona wale jamaa wako hewani jee fedha zinazodaiwa na TRA Zimeshalipwa? Mbona TRA wako kimya na shughuli ndio hiyo imeanza? Au ulikuwa mkakati was aina Fulani?