sina uhakika na rfa lkn star wapo hewaniRfa nayo imerud au bado
Triple A
pengine kuna kamsamaha flani kamepitaKuna vituo vidogo vya Redio vilikuwa vimefungiwa pia.
1.Jembe Fm
2.Lake Fm
3.140.1 (Kilikuwa kipya)
Jembe nimeisikia leo ipo hewani.
Unataka ukawalipie?nawaona star tv live hapa licha ya kuwepo taarifa za kufungiwa kwa kosa la kutolipa deni kwa serikali,je watakuwa wamelipa?
kama taarfa za kudaiwa tulizipata,si vibaya na taarfa za kulipa tukizipta
Yap, inawezekana Mkuu. Au wameonyesha nia ya kulipa.pengine kuna kamsamaha flani kamepita
Una haki ya kufuatilia TRA mkuukama taarfa za kudaiwa tulizipata,si vibaya na taarfa za kulipa tukizipta
Uthibitisho...?Wamelipa tayari ndio maana wako hewani
hakuna swali hata moja la namna hiyo,hata ukitaka kuijua siku yako ya kufa uliza kuna watu humu watakujibuEbu jitahidi kuuliza maswali ambayo majibu yake mamejificha.
wamerudi sasa
[Color= blue]Hata kama kwingine wana boronga but kwa rfa waliweza kupangilia vipindi[/color]Rfa nayo imerud au bado
[Color= yellow]Triple A[/color]
Mimi nimemmiss Braza K, naye ni msema kweli kama MkuluDa nimemis tamthilia ya the promise ila dialo wacha uisome no
ngoja niulizehakuna swali hata moja la namna hiyo,hata ukitaka kuijua siku yako ya kufa uliza kuna watu humu watakujibu