Naona udini unakusumbua mpaka umekuwa kipovu wa akili.Tusubiri siasa za kidini kutawala Misri na kujilipua kwa sana tu.
Hawa fundamentalist walikuwa wanatafuta mahali pa kupumzikia baada ya kutimuliwa Afghanistan. Sasa wamepata Misri.
kama kawaida yao kimbilio ni Saudia...hili dege litatua lini hapa linasubiriwa kwa hamu!!
Kuna hatari kubwa endapo Misri kuangukia mikononi mwa Muslim Brotherhood. Chama ambacho kitailetea maafa Misri kuliko maendeleo.Tusubiri siasa za kidini kutawala Misri na kujilipua kwa sana tu.
Hawa fundamentalist walikuwa wanatafuta mahali pa kupumzikia baada ya kutimuliwa Afghanistan. Sasa wamepata Misri.
Kuna hatari kubwa endapo Misri kuangukia mikononi mwa Muslim Brotherhood. Chama ambacho kitailetea maafa Misri kuliko maendeleo.
Maana hawa Muslim Brotherhood hawana tofauti na Hamas au Al-Qaeda, wanachojua ni kujilipua tu na kuwa na ''illusion'' kuwa ipo siku wataipiga Israeli na kuiangamiza.
kama kawaida yao kimbilio ni Saudia...hili dege litatua lini hapa linasubiriwa kwa hamu!!