Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,331
Huyo Mohamedi Mtoi hajitambui karibu ataimba injili!
Na uislamu wako hauwezi kukamilika kama huitambui Injili. Injili haimbwi bali kuna miziki ya injili.
Huyo Mohamedi Mtoi hajitambui karibu ataimba injili!
hayyattullah usimlinganishe na Fisadi mtei,Kiongozi wa juu wa Iran ni Mwadilifu kuliko unavyofikiria,lkn viongozi wa chadema ni Mafisadi wanaotumia rasilimali kujiimarisha na kujineemesha wao na familia zao. Ndio mana hakuna anaestahili kutawala chadema zaidi ya mkwe wa Mzee Mtei, ukithubutu tu utaitwa umetumwa na hivyo wewe utakiwa msaliti. Chadema hawapaswi kuaminiwa hata nusu dakika maana wakishika nchi,activity ya kwanza ni kubadili katiba na kuondoa kikomo cha kutawala ktk urais,Slaa na Mbowe watatumia vyombo vya dola kubaki madarakani na Watanzania tutajuta na naamini yatatokea machafuko.
Mbowe na Slaa watatumia hii propaganda kung`ang`ania madaraka. Na kila atakae jaribu kutaka urais ataambiwa katumwa na Kagame au wamagharibi.
Mabadiliko ni lazima,mbowe must step down.
Mkuu THE BIG SHOW,
Sisi Wananchi wenzio wenye kujitambua na wenye macho yenye kuona,na wenye masikio yenye kusikia na wenye mioyo yenye shauku ya kuitaka na kuitafuta kweli...tumekufahamu na kukuelewa kwa undani mno.
Najua hapo umetumia ustaarabu na uungwana mwingi dhidi ya Chama chako ukipendacho,lakini kisichokupenda wala kukuthamini aka Chadema...ndo maana nakhis umeamua kumung'unya maneno,lakini mangi hayatoki,au ndo umeamua "kuwahifadhi"/kuwastiri wenzio!? Teh! Teh!
Mkuu,waambie "ukweli mchungu" hao jamaa zako...sasa ukiendelea kuwafichaficha hivi mtafikia vipi malengo ya chama chenu ili kiwe cha kitaifa na kuweza kukubalika nchini koote na kwa watu wenye imani/itikadi tafauti na huyo "Muasisi" aka Nabii wa Tengeru atakavyo!?
Huyo mpuuzi Mtei...unafiki,uzandiki,ufisadi na usaliti wake kwa Taifa letu hilo tunaujua kwa undani mno tangia early 1960's...labda ataendelea kuwandangaya hao misukule wake tu.
Nafikiri Mkuu Zemarcoplo,tayari anafanza shughuli njema ya kumnyambua na kutoa Ilm ya bure kuhusu huyo Nabii wa Tengeru;ili misukule wachache wanaoendela kudangayika na wasiojua historia na insights za Nchi hiyo waweze angalau kujielewa japo kiduchu!?...badala ya kushashadidia majambo bila ya maono khalisia/reality/...sidhani kama pia labda wana japo kiduchu ya historical evidences,facts guidance, and/or support!?...poor misukule! Teh! Teh!
Edwin Mtei has always known for his weird combination of wanting power and to be liked,while at the same time lacking moral integrity,transparency,responsibility and shared vision!...basically,he's a total disaster!
Hiyo level yabayana yako,amma kwa hakika ni wa hali ya juu mno kwa hao misukule wa Chadema kuweza fumbua hilo fumbolo!?
Labda waje tu na yale matusi na kashfa zao tulozoea kama wanavyotukana wale kondoo wa Bwana....Nyakageni na Nara! Teh! Teh!
Tuko pamoja Mkuu!
Ahsanta.
Cc;CHAMVIGA,Boko Haram,Kahtaan,Mzito Kabwela,Ritz
With all of my due respect,baada ya salamu mimi sipo hapa kufanya propaganda wala kumchafua mtu yoyote,
Sijataumwa na yoyote,na nasimama kwa msimamo wangu binafsi katika kuelezea kile kilichopo fikran mwangu,
Kama Mtanzania mzalendo,mchukia mafisadi na muumin wa siasa bora na uongoz imara lazima nisimame kuelezea kitu nachokiona,
Hatuna shida na Mzee Mtei kama miongoni mwa waasisi wa chama hiki,na hatuna shida na wenngine wowote wale ambao kwa namna moja ama nyinine wamekuwa ni wanafamilia wa mwasisi huyo wa chama hiki,
Sisi kama Watanzania linapokuja suala la kuathirika kwa utawala m'bovu huwa tunapata athari hizo sote bila kujali umri,jinisia,kabila,kanda,dini na kadhalika,so as long as wewe na mimi tumekuwa ni wananchi na raia wataifa hili tunaathiriwa moja kwa moja kwa mamuzi ya wanasiasa either wawe wa chama tawala au chama cha upinzani,
Ni jukumu letu sisi wananchi kuhakikisha tunakuwa mabalozi wa siasa safi ili serikali itayokuwa madarakani iwe ni imara itayotuhakikishia maamuz sahihi na usalama wa taifa dhidi ya maadui wa ndan na nje ya nchi,
Ili tufikie hali kama hiyo tunahitaji chama ambacho hakiwez kuegemea kwenye maamuz ya kutoka upande mmoja ambao unajinasibisha kuwa na MORAL AUTHORITY YA KUTOA KAULI ZINAZOHIATJI KUSIKIKA KWA KUWA TUH ETI UPANDE HUO NDIO HASA ULIOPELEKEA KUASISIWA KWA CHAMA HIKO,HILI LAZIMA TULIWEKE WAZI MAPEMA SANA.
Katiba ya chadema hakuna kipengele hata kimoja kinachosema kwamba watu wapewe kipaombele kutokana na ukanda,udini na ukabila hata sehemu moja,yani kwa ufupi katiba ya chadema inapinga kwa nguvu zote mambo ya ukanda,ukabila na udini katika kulijenga taifa hili kwa kizazi cha sasa na cha baadae,hilo liko wazi na sote tunaunga mkono katiba ya namna hiyo...
Katika mukatadha huo basi yatupasa kuwaambia chadema wasimame katika misingi hiyo na kuionesha wazi wazi kwa vitedno na kila mtu aone na sio kuishia kuhubiri mambo hayo majukwaani huku upande wa pili ukionekana kuwa na malalamiko yasiyo kwisha,REJEA YA MAREHEMU CHACHA WANGWE NA HAYA MASAHIBU YANAYO WAKUTA KITILA MKUMBO,MWIGAMBA NA ZITTO KABWE KAMA MIFANO HURU KATIKA MJADALA HUU,
Chadema lazima itambue kwamba watanzania walio wengi pamoja na kuchoshwa na CCM wanahitaji m'badala thabiti na unaoijipambanua wazi wazi kiutawala,kikatiba na kitaifa.
Hoja ya AYATOLLAH ALKHAMENEI,YULE SUPRME LEADER WA IRAN NA JINSI WANAVYOENDESHA DEMOKRASIA YAO NAIFANANISHA MAJA KWA MOJA NA CHADEMA,NASEMA HIVYO KWA SABABU,
1.AYATOLLAH ALKHEMENEI.,yeye yupo juu,rais,mwnyekiti wa chama,bunge na mahakama vyote vinaripoti kwake,
Chama na bunge hawawez kupitisha jina la mgombea urais wa nchi ile bila baraka wala idhin ya YATOLLAH ALKHEMENEI KWA KUOGOPA KUWEKWA KWA MAMLUKI AU VIBARAKA WA MAREKANI KWENYE UTAWALA WA SERIKALI YA IRAN HASA KWENYE KIPINDI KAMA HIKI AMBACHO WANAPAAMBANA NA SIASA KALI ZA ISRAEL NA MAREKANI,HUSUSANI SUALA ZIMA LA NYUKLIA NA UONGOZ KWA UJUMLA,,Utakuja kuona kwamba MAHMOUD AHMEDNIJAD RASI ALIEMALIZA UTAWLA WAKE ALIKUWA MTIIFU KWA SYSTEM YA AYATOLLAH,WATU WAKADHANI KWAMBA KUJA KWA HASSAN ROUHANI RASI WA SASA WA IRAN BASI HATOKUWA MTIIFU KWA MFUMO ULE,HALI HAIKUWA HIVYO KWANI ROUHANI ALIPOINIA ALIONEKAN KUWA MODERATE TOFAUTI NA NIJADI LAKIN WOTE NI WALE WALE,WOTE WANAPOKEA AMRI KUTOKA KWA SUPREME LEADER KWA KILA HATUA..
Utaratibu ule ni mzuri kwa wairan na unawafaa kuogopa kuingizwa kwa mamluki wa kimarekani ndan yataifa lile,
Sasa nauliza swali,je utaratibu huo unafaa??na je unaweza kusaidia taifa kwa ujumla??mimi naona utaratibu huo kwa chadema kama chama una wafaa,tatizo ni kwamba je wakipewa madaraka ya nchi utaratibu huu utakuwa healthy kwa manufaa ya nchi??
Kwa maana mimi sion TOFAUTI BAINA YA MZEE MTEI NA JINS ANAVOKIENDESHA CHADEMA NA AYATOLLAH ALKHEMEI NA JINS ANAVOIENDESHA IRAN KAMA NCHI,SEMA TOFAUTI NI KWAMBA AYATOLLAH ANA SAUTI KITAIFA HUKU MZEE MTEI ANA SAUTI KICHAMA.
TUSEME WAZI NA KUMWAMBIA MZEE MTEI KWAMBA CHAMA HIKI KAMA KWELI ANATAKA KIPEWE IMAN NA WANANCHI,AKIACHIE KWA WANANCHI MOJA KWA MOJA,NA AONDOE FIKRA ZA U-YATOLLAH ALKHEMENEI,ATALIGAWA NA KULIGHARIM TAIFA.
#TEAM ZITTO...
Awali nikiri kuwa kipindi watu walipokuwa wakisema kuwa CDM ni chama cha ukanda particularly Northern TZ, jambo hilo halikuniingia kabisa akilini kwangu. Ila baada ya kufanya kazi na watu kadhaa wa ukanda huo (Northern TZ) na nikunganisha na haya yanayowatokea ZZK na Dr. Kitila sasa naanza kupata mwanga kuwa chama hiki waasisi wake walitarget kiwe ni kwa masilahi ya watu wa Northern TZ. Hii inaweza kuwa justified na sura ya uongozi wa CDM katika ngazi ya juu 1) Mbowe 2) Slaa 3) Anthony Komu 4) John Mrema. 5)...................Ni dhahiri uwepo wa ZZK katika nafasi ya Naibu katibu Mkuu ilikuwa haiwafurahishi hata kidogo hawa Northern TZ people. Yaani hawa watu hawana tofauti hata kidogo na Wakikuyu wa Kenya kwa mnaowajua Wakikuyu. Sasa njia pekee ya kuleta demokrasia ya kweli ktk hiki chama ni kupambana kwanza kuundoa hizi elements za Kinorthorn TZ. Mapambano haya ni ya muhimu kuliko hata kupigania kuchukua dola hapo 2015 Coz hata kama hiki chama kitafanikiwa kuchukua Dola 2015 definitely 75% ya viongozi wake watatoka ukanda huo kwa sababu watu hawa hawana aibu wala haya yanapokuja maslahi yao binafsi. Kwa kuusoma waraka wa Dr. Kitila na wenzake nimekuwa convinced lengo halikuwa baya kwa sababu mkakati huu pamoja na kutaka kumwondoa mwenyekiti amabaye kutokana na upeo wake na elimu ndogo hawezi kuleta changamoto zinazotakiwa kupambana na CCM tunapokaribia uchaguzi mkuu 2015. Lakini pia mkalati huo ulilenga kukipa chama hiki sura zaidi ya kitaifa kuliko kilivyo sasa. Mm nimesifu uamuzi wa ZZK aliposema hatahama Chadema...Mimi nafikiri it is a right decision at the right time. Bila kupigania kukipa chama hiki sura ya kitaifa itakuwa ni kazi ngumu kupamabana na CCM lazima tupiganie CDM kufanya uchaguzi huru na wala hatutaki Mtei atuchagulie kiongozi aache demokrasia iamue. Nawasilisha.
Shukran sana Mkuu,
Ni kweli haya yote yamenza kufumuka baada ya hili seke seke la zito na bado yataendelea kufunguka mengine mengi sana,
Zitto ni kama mwendelezo tuh,tunajua wapo waliojaribu hapo mwanzo kuuchallange mfumo kama marehem chacha wangwe lakini mwsho wa siku mungu hakupenda aendelee kubakia ulimwenguni akamchukua,
Mtei haishii tuh kuambiwa akae mbali na chama,mtei kama muasisi alimsimika mtu kama mbowe awe mwenyekiti wa chama ambae kifamilia ni mkwe wake,kwahiyo utaona jins graph inavyokwenda,
Kama hiyo haitoshi.wanapotokea watu kutangaza nia ya kutaka kumvaa huyo mwenyekiti yeye huwa kikwazo na huwa mbele mbele kuwakatisha tamaa watu hao kwa sababu mbali mbali ambazo hazina msingi jambo ambalo hutafsiriwa kama ni muendlezo wa UYATOLLAH NDAN YA CHAMA HIKI
Maalim Gomgesugu
Asalaam aleykum,
Wallahi nimekusoma kwa dhati ya kina mno...!!
Mimi tena sifai humu ndani,,kwani sasa naitwa gaidi,mdini na mjahidina kisa naongea ukweli na ninaonekana nina iman ya kiislam kwa baadhi ya wanacjadema,japo sio wote nimeonekana kama ni INTRUDER NA SINA QUALIFICATION YA KUJIFANYA CHADEMA WALA KUZUNGMZA MAMBO YA CHADEMA,
LAKIN WALLAHI NAFANZA HIVI KWA MASLAHI YA TAIFA LETU SOTE,
SHUKRAN,NAOMBA USIBANDUKE HAPA TUWE PAMOJA KWENYE HUU MNAKASHA
Iran utaratibu ule unawasaidia kama nchi kuepuka kuingiza nchi kwenye umamluki wa marekani,ndio kwa maana ayatollah amepewa nafasi na sauti ya kusema,
Pia CHADEMA UTARATIBU HUU UNAWASAIDIA SANA,KWA MZEE MTEI KUWA NA USHAWISH NA NGUVU NDAN YA CHAMA SIO MBYA,INAWASAIDIA KUEPUKA CHAMA HIKO KUINGIZA MAMLUKI WA MAFISADI WA CCM,
JE,TUKIJAALIA HII NCHI WAKAICHUKUA CHADEMA,HATUONI KAMA TUTAKUWA TUMEWEKA REHANI KUWA MAAMUZI YATAKUWA YANATOKEA UPANDE FLANI,NA SIO MAAMUZ YA KITAIFA??
MZEE MTEI AKAE KANDO KABISA NA SIASA ZA CHADEMA ILI WATANZANIA WAKIPE IMAN YA UHAKIKA CHAMA HIKO
Na uislamu wako hauwezi kukamilika kama huitambui Injili. Injili haimbwi bali kuna miziki ya injili.
Lakini still Huyo Mzee Mtei ana nafasi yake kimawazo Chadema nani kakwambia kwamba ndiyo anatoa amri? Mbona Nyerere alisema kabisa kwamba watu kama Lowassa na Malecela hawafai nchi hii na ndiyo inasemekana yeye ndiyo aliyempendekeza Mkapa sasa unaweza kusema bado alikuwa ana command CCM?
Kwa muktadha huu hata mwanachama/kiongozi akifanya kosa aonewe aibu tu ili 'kina THE BIG SHOW'' wakipende chama na kukipigia makofi kwamba hakifuati ya akina Ayatolla?
Kwahiyo Mkuu THE BIG SHOW cdm hakutakuwa na DEMOKRAISIA hd ZITO awe kiongozi KWELI? wanasema kupenda ni UPOFU unataka kunambia Yote anayotuhumiwa ZITO hayana ukweli hata 1! Ndg elewa jambo1 Ili m2 akuzushie lazima kutakuwa na kaUKWELI flan so kwenye hili! Naomba km kushauri tushauri kwa lengo lakujenga sio kuPAYUKA2! mara 2najiingiza kwenye mambo cjui ya DINI hv tangu hawa jamaa watuletee hz DINI zimetusaidia nini?
Mtei na KHOMEIN wanatofauti kama Mwinuko na Mlima.KHOMEIN analinda Taifa lake,Mtei anatetea Wizi katika lichama lake