lengo chadema kuwa na mfumo kama huo ni kujiengea utaratibu wa kula hela na kutawala milele watu wa kutoka upande mmoja kitu ambacho ni sumu kubwa kwa ustawi wa demokrasia.
"Kiongozi Mkuu yuko too local" -
waraka
Uko biased mkuu, so huwezi ukawa muamuzi mzuri, more or less unataka wazo lako ndo lifuatwe mtu akienda kinyume unaishia kumwambia hana hoja, very bad
LMAO.....umenichekesha sana it seems so mkuu watu wanaweza wakawa wana focus katika mtazamo wa taifa kumbe mzee mtei aliweka malengo ya saccoss yake!!Hivi mnajua siku ya kwanza kabisa mtu na mkwewe wanapanga kuanzisha chama walikuwa na vision gani? Mkijua hilo ndio mtajua mko sahihi ama lah. Ukute aidia ilianzia sebuleni, tena nyumbani kabisa wakiwa wanapata kahawa, wakapanga na mission ya kusaidia kufanikisha vision yao. Leo vyasaka mnataka nini??? Kiruuuu
Labda nyie hii inahusu mapinduzi ya kuing'oa shishiemu, wakati wenzenu labda ni family matter, tena yenye sentimemtal values za hali ya juu, na labda warithi ni wajukuu. Haka kama sio na uhusiano vile, lazima awe anayeweza kushikiwa rimoti bila chenga. Wao watashika rimoti, yeye ni actons tu hii haaa puuf puuf, dishwaa dishwaaa.
Raha ya mdumangu uuanzie mwanzo, ukikubeba juu kwa juu unapotea wewe.
naunga hoja mkono 100% atakayekuja hapa kupinga anakaribishwa na sio kwa matusi aje na critical facts kupinga hii kitu!!
JITAMBUE KWANINI WATU WALIHITAJI MTONYO WA ZZK warekebishe mahesabu?
Hivi mnajua siku ya kwanza kabisa mtu na mkwewe wanapanga kuanzisha chama walikuwa na vision gani? Mkijua hilo ndio mtajua mko sahihi ama lah. Ukute aidia ilianzia sebuleni, tena nyumbani kabisa wakiwa wanapata kahawa, wakapanga na mission ya kusaidia kufanikisha vision yao. Leo vyasaka mnataka nini??? Kiruuuu
Labda nyie hii inahusu mapinduzi ya kuing'oa shishiemu, wakati wenzenu labda ni family matter, tena yenye sentimemtal values za hali ya juu, na labda warithi ni wajukuu. Haka kama sio na uhusiano vile, lazima awe anayeweza kushikiwa rimoti bila chenga. Wao watashika rimoti, yeye ni actons tu hii haaa puuf puuf, dishwaa dishwaaa.
Raha ya mdumangu uuanzie mwanzo, ukikubeba juu kwa juu unapotea wewe.
lengo chadema kuwa na mfumo kama huo ni kujiengea utaratibu wa kula hela na kutawala milele watu wa kutoka upande mmoja kitu ambacho ni sumu kubwa kwa ustawi wa demokrasia.
Hatutaki AYATOLLAH HAPA BONGO! WAKAFIE MBELE!
CCM ina viongozi waisalamu wa miaka kumi sas hilo tunasmaje
lengo chadema kuwa na mfumo kama huo ni kujiengea utaratibu wa kula hela na kutawala milele watu wa kutoka upande mmoja kitu ambacho ni sumu kubwa kwa ustawi wa demokrasia.
CCM ina viongozi waisalamu wa miaka kumi sas hilo tunasmaje
Acha mawazo ya kibavicha,hakuna haja ya matusi,twende kwa hoja iliyopo hapo juuu
Hoja ya AYATOLLAH ALKHAMENEI,YULE SUPRME LEADER WA IRAN NA JINSI WANAVYOENDESHA DEMOKRASIA YAO NAIFANANISHA MAJA KWA MOJA NA CHADEMA,NASEMA HIVYO KWA SABABU,
1.AYATOLLAH ALKHEMENEI.,yeye yupo juu,rais,mwnyekiti wa chama,bunge na mahakama vyote vinaripoti kwake,
Chama na bunge hawawez kupitisha jina la mgombea urais wa nchi ile bila baraka wala idhin ya YATOLLAH ALKHEMENEI KWA KUOGOPA KUWEKWA KWA MAMLUKI AU VIBARAKA WA MAREKANI KWENYE UTAWALA WA SERIKALI YA IRAN HASA KWENYE KIPINDI KAMA HIKI AMBACHO WANAPAAMBANA NA SIASA KALI ZA ISRAEL NA MAREKANI,HUSUSANI SUALA ZIMA LA NYUKLIA NA UONGOZ KWA UJUMLA,,Utakuja kuona kwamba MAHMOUD AHMEDNIJAD RASI ALIEMALIZA UTAWLA WAKE ALIKUWA MTIIFU KWA SYSTEM YA AYATOLLAH,WATU WAKADHANI KWAMBA KUJA KWA HASSAN ROUHANI RASI WA SASA WA IRAN BASI HATOKUWA MTIIFU KWA MFUMO ULE,HALI HAIKUWA HIVYO KWANI ROUHANI ALIPOINIA ALIONEKAN KUWA MODERATE TOFAUTI NA NIJADI LAKIN WOTE NI WALE WALE,WOTE WANAPOKEA AMRI KUTOKA KWA SUPREME LEADER KWA KILA HATUA..
Utaratibu ule ni mzuri kwa wairan na unawafaa kuogopa kuingizwa kwa mamluki wa kimarekani ndan yataifa lile,
#TEAM ZITTO...
![]()
muda mwingine hizi ni changamoto za kuimarisha chama na sio matusi ya wapinzani