Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,789
- 1,732
Wanasema mzaha mzaha hutumbua usaa!
Concern ya CCM muda huu:
1. Wameshatiliana sahihi makubaliano na wawekezaji
2. Wanapenda kura za watu wa Kusini: wakipoteza Mtwara wanapoteza kusini yote.
Hapo busara ya kisiasa inahitajika!
Concern ya CCM muda huu:
1. Wameshatiliana sahihi makubaliano na wawekezaji
2. Wanapenda kura za watu wa Kusini: wakipoteza Mtwara wanapoteza kusini yote.
Hapo busara ya kisiasa inahitajika!