Mtwara kimenuka: Mabomu ya machozi yarindima!

Mtwara kimenuka: Mabomu ya machozi yarindima!

JK kaamua kuwapiga mabomu shemeji zake, Membe kama unataka Urais ingilia kati mzozo huu na uumalize kidiplomasia
 
Wanamtwara mukiyafanya mabomu perfume basi mutakuwa mumemaliza kazi musiogope nchi hii si ya vigogo na watoto wao yetu wote
 
Katanga ilifanya secession 1960-1963 ili wafaidike na madini yao ila baadaye mambo yakaenda ndivyo sivyo na majority wakabaki maskini. Mtwara inabidi wa-demand kujengewa barabara, shule, hospital pamoja na huduma zingine za muhimu ila sio kusema eti gesi isitoke Mtwara. Approach yao ni ya hovyo kabisa!
 
Jaji Mkuu Barnabas Samatta aliwahi kunukuliwa akisema - mahali ambapo haki haitendeki, mitutu na risasi hurindima - . Sasa ndio tusaidiane kushangaa, inakuwaje serikali sikivu kama ya Mh Kikwete inarindimisha risasi na mitutu kulazimisha maridhiano, ama usikivu wa serikali hii ya Mh. Kikwete sio usikivu wa maana halisi ya neno hili?

Halafu, mbona wanaojiita wapigania demokrasia akina Shonza, Tuntemeke, Benazir, Taswira, Habibu Mchange na wenzao hawatii neno hapa? Ama demokrasia wanayoipigania ni demokrasia ya namna gani? Ama demokrasia wanayopigania inarandana na usikivu wa serikali hii inayorindimisha risasi kushurutisha maridhiano?

btw, ile singo ya ati ni vyama/chama pinzani kinachochea vurugu za WanaMtwara mbona haisikiki? ama ndio kawaida ya CCM kukurupuka bila kutathmini matatizo ya Msingi?

Poleni Wanamtwara, serikali hii sikivu kwa kushirikiana na wapigania demokrasia itawasikiiza na kila kitu kitakuwa Mswano.
 
Wanamtwara mukiyafanya mabomu perfume basi mutakuwa mumemaliza kazi musiogope nchi hii si ya vigogo na watoto wao yetu wote

Baadhi ya wenzenu watagongwa na "flying objects" . Hapo ndipo vuguvugu la ukombozi litakuwa limekaribia.
 
Katanga ilifanya secession 1960-1963 ili wafaidike na madini yao ila baadaye mambo yakaenda ndivyo sivyo na majority wakabaki maskini. Mtwara inabidi wa-demand kujengewa barabara, shule, hospital pamoja na huduma zingine za muhimu ila sio kusema eti gesi isitoke Mtwara. Approach yao ni ya hovyo kabisa!

walishadai siku nyingi
 
wewe au ni gamba! au unafaidika na ufisadi! au hujasoma! au ulisoma enzi zile za ukoloni ukafunzwa woga au kichwani hamnazo! sio kawaida yangu kumshambulia mtu huwa nashambulia mada ila kwa tendo lako na kuhimiza FFU wapige watu nimeshindwa pa kuanzia ikabidi nivunje mwiko wangu nikushambulie wewe binafsi!

Tanesco mnafata? nini ina maana nyie nimaskini hamna hata generator? mpigwe ili mpate akili ya kufanya vitu vya maana
 
Dingswayo, Unafuraaaaahi,kama vila unangojea picha za Van Dame na Rambo sio? Hizo ni picha za watanzania wakijeruhiwa na pengine nao kujeruhi au kuua na kuuana sio sinema! huo ushabiki wenu unaponza wananchi. Na usifikiri wanaokaa kusini wote ni wamakonde usisahau hilo watakapowaona watu wasio wa Kusini ni kikwazo watawashambulia nini kitafuatia?
kwahiyo unataka gas ianze kuchimbwa na kusafirishwa kwa hiyo mikataba ya siri na ya kifisadi,huku wenzetu wa Mtwara wakiendelea kuishi maisha ya KIMASIKINI?Shame on you!
 
Last edited by a moderator:

Halafu, mbona wanaojiita wapigania demokrasia akina Shonza, Tuntemeke, Benazir, Taswira, Habibu Mchange na wenzao hawatii neno hapa? Ama demokrasia wanayoipigania ni demokrasia ya namna gani?

Poleni Wanamtwara, serikali hii sikivu kwa kushirikiana na wapigania demokrasia itawasikiiza na kila kitu kitakuwa Mswano.
Hao ni wabaguzi, hawawezi kutia neno kwasababu gesi si ya kaskazini.

Ni wakati wa kuwasapoti wanamtwara kwa nguvu zote kwasababu gesi ni yao.Serikali inatakiwa iwasikilize na kunegotiate nao badala ya kujaribu kuwanyamazisha.

Taratibu wanamtwara watagundua kuwa pilao na kanga si malikitu.
 


.....Mkutano unaendelea everything iz perfect... Pipo kutoka kilakona wamejongea,hawajali mvua wala nini..those above who thinks "ni upepo tu" they should think again..its a movement, peoples movement! Wameitwa wabunge wote wa mtwara wa vyama vyote,waje wapokee maoni ya wananchi na wawe wawakilishi kwa mujibu wa kazi yao...
asiyefika si mbunge wa mtwara kuanzia leo hii!


...ajiwakilishe bungeni yeye na familia yake...

Nimeipenda hii na waendelee hivyo hivyo,inanikumbusha asubuhi ya leo kuna jamaa Mmoja alikuwa kwenye kipindi cha Tuongee asubuhi,pale satr tv alikuwa na tisheti nyeupe,alisisitiza wanamtwara wakaze uzi wasiachie kwa sababu harufu waliyoinusa iimekaribia,au walimsikia?
 
Wasikate tamaa hata mkoroni aliondolewa hivi hivi
 
Katanga ilifanya secession 1960-1963 ili wafaidike na madini yao ila baadaye mambo yakaenda ndivyo sivyo na majority wakabaki maskini. Mtwara inabidi wa-demand kujengewa barabara, shule, hospital pamoja na huduma zingine za muhimu ila sio kusema eti gesi isitoke Mtwara. Approach yao ni ya hovyo kabisa!

Unachotaka wewe wafanye ndicho wanachofanya na madai yao yamejikita huko,lakini serekali haitaki kusema hayo wala kuahidi kuwa itafanya hayo.
Hilo la aproch ni wazo lako na wanasiasa wengine wa vivu wengi wakiwa Ma CCM na inaonyesha jinsi ulivyo wa Ovyo wewe mwenyewe!
 
Hiyo ndo ccm, wakati wa kuomba kura wapole na wapo busy kugawa kanga na wali. Wana mtwara bila kukomaa, umasikini utaingia mpaka chumbani!
 
Back
Top Bottom