Mtwara kimenuka: Mabomu ya machozi yarindima!

Mtwara kimenuka: Mabomu ya machozi yarindima!

Nguvu hizi zinazotumika ni kiashirio cha ukomo wa kufikiri.Mjadala wa Gesi au Rslimali za taifa kwa ujumla hauwezi kuzimwa kwa nguvu.Dikteta Dhalimu Wa Nigeria General Sani abacha alitumia Nguvu nyingi kuwanyamazisha Akina Ken Saro Wiwa kule Niger Delta akishirikiana na makampuni ya kibepari ya Shelly,CHEVRON,BP n.k katika kuhujumu raslimali ya Mafuta dhidi ya watu wa Ogun lakini mwisho wake haki ilishinda na yeye alikufa vibaya.

Hapa Tanzania watawala wanatuelekeza kufuata njia ya Ken,Daima tutashinda!

Wananchi wamechoka mpaka basi, ila kwa kuwa watawala wetu wanasubiri taarifa za hao wanaotaka kuwasifia tu, mwisho wake watakuja kuuona siku ikulu ikiwa imezungukwa na watu. Wakiwa wanataka nyumba yao wamweke wanayemtaka. Sipendi umaskini ila hawa wanaonisababishia ipo siku watajutia haya wanayoyafanya.
 
ndio wanahusika kwa kuwapa
wananchi elimu ya uraia na kujua haki zao.acha kufuga nywele
kichwani...............

Yeah! CHADEMA inahusika kuwapa elimu ya uraia kama ile elimu walokuwa wakipewa ma terrorists na wale maalim wa madrasa wa Alqaida!
 
Jamani tuko hapa tunakimbizana tunashindwa kuleta taarifa simu yangu
tayari imepasuka kioo, hali si nzuri. Laptop inakaribia kuisha chaji.
 
Ralphryder,
sifurahii hata kidogo watu wakiumia na kuteseka, ndio maana niko mstari
wa mbele kuona kuwa Mtwara na sehemu za kusini wanapata maendeleo
yanayostahili. Maana ya kutaka picha si kuziangalia tu, pale kuweza
kuzisambaza ikiwezekana duniani kote kuonyesha jinsi harakati za wana
Mtwara zinavyozuiwa kwa kutumia nguvu za dola.

Na kwa taarifa yako nimeshawahi kuishi na kufanya kazi mkoa wa Mtwara
miaka ya 1978 mpaka 1980, nimezunguka sehemu nyingi za mikoa ya Mtwara
na Lindi na kutembelea vijiji vingi. Ni kutokana na hilo ndio maana
nawaelewa watu wa kusini wanachokitaka.

Dingswayo, mimi niko huku mtwara na ninabiashara zangu huku na mi si mzaliwa wa huku, ki ukweli hili si jambo la kufurahia! Tangu mtiti wa gesi uanze biashara zangu haziendi! watu wameshajaa mashaka na kutoaminiana! Je nini kitafuata? Ngoja kwanza nifunge ofisi ntarudi baadae!
 
Last edited by a moderator:
ila fujo nyingine watanzania tunajitakia wenyewe sasa kama umene umekatwa si mtumie generator kuna ulazima gani wakwenda tanesco??? FFU Piga hao tena kwa nguvu zote mi nahisi kuna vijisababu kama hivi ndivo vinafanya hata serikali inaoeleka gesi Dar sa kama mnashindwa kufikiria vitu vidogo kwa kutumia generator pale umeme ulipokatika mtafikiria kutunza gesi kweli? haya sasa hizo fujo mtakuwa mmesaidia nini? mtapigwa sana na huenda hata huo mkutano usifanyike mwisho wa siku inakuwa imekula kwenu. Angalia msiheambiwa nyie ni kikindi kidogo tu cha wahuni maana ndo matamko ambayo serikali hutoaga siku zote. Punguzeni jazba gesi ni yetu sote basi kama ni hivo muanze kuandamana kuelekea angani kupinga mvua kunyesha maana inaeza kua chanzo cha umeme besides Tanzania umeme unasumbua sasa kama hadi uwanja wa taifa unakatikaga hapo utashindwa nini kukatika?

Musiwe wavivu wa kufikiri mtaishiwa kupigwa ba serikali mwisho hamna sehemu mtaishtak mtabak mnapiga kelele tu bora kuwa wapole afu mkafanya wonders 2015 maana serikali yetu sio mtanzania anaitawala ni mmarekani sasa kama unaeza mshitaki mshitakiwa wakati yeye ndo hakimu endeleeni
 
Tatizo la mtwara lisipo tafutiwa ufumbuzi litaleta maafa! hivi kina mwigulu nchemba wanafanya kazi gani?
 
Kitu chenye ncha kali hichoooooooo kinaandaliwa
 
tanzania ni yetu sote chai ililimwa iringa ikainufaisha mpaka mtwara kahawa illimwa kagera na klm ikainufaisha mpaka lindi na ruvuma lazima tujenge umoja wa kitaifa acha

Nenda kaulize mfindi au mafinga kama yale majani(chai) tunatumia sisi watanzania. Nimefanya kazi pale majani(chai) ambayo tunatumia sisi ni yale ya daraja la 3,4 . Daraja la 1,2 yote yana shafirishwa kwenda nje. Kwa hiyo sisi tunabaki na mabaki ya chai
 
ila fujo nyingine watanzania tunajitakia wenyewe sasa kama umene umekatwa si mtumie generator kuna ulazima gani wakwenda tanesco??? FFU Piga hao tena kwa nguvu zote mi nahisi kuna vijisababu kama hivi ndivo vinafanya hata serikali inaoeleka gesi Dar sa kama mnashindwa kufikiria vitu vidogo kwa kutumia generator pale umeme ulipokatika mtafikiria kutunza gesi kweli? haya sasa hizo fujo mtakuwa mmesaidia nini? mtapigwa sana na huenda hata huo mkutano usifanyike mwisho wa siku inakuwa imekula kwenu. Angalia msiheambiwa nyie ni kikindi kidogo tu cha wahuni maana ndo matamko ambayo serikali hutoaga siku zote. Punguzeni jazba gesi ni yetu sote basi kama ni hivo muanze kuandamana kuelekea angani kupinga mvua kunyesha maana inaeza kua chanzo cha umeme besides Tanzania umeme unasumbua sasa kama hadi uwanja wa taifa unakatikaga hapo utashindwa nini kukatika?

Musiwe wavivu wa kufikiri mtaishiwa kupigwa ba serikali mwisho hamna sehemu mtaishtak mtabak mnapiga kelele tu bora kuwa wapole afu mkafanya wonders 2015 maana serikali yetu sio mtanzania anaitawala ni mmarekani sasa kama unaeza mshitaki mshitakiwa wakati yeye ndo hakimu endeleeni

Unatumia MASABURI katika kufikiria na hata kuandika kwako, pole sana kada wa magamba!

 
ila fujo nyingine
watanzania tunajitakia wenyewe sasa kama umene umekatwa si mtumie
generator kuna ulazima gani wakwenda tanesco??? FFU Piga hao tena kwa
nguvu zote mi nahisi kuna vijisababu kama hivi ndivo vinafanya hata
serikali inaoeleka gesi Dar sa kama mnashindwa kufikiria vitu vidogo kwa
kutumia generator pale umeme ulipokatika mtafikiria kutunza gesi kweli?
haya sasa hizo fujo mtakuwa mmesaidia nini? mtapigwa sana na huenda
hata huo mkutano usifanyike mwisho wa siku inakuwa imekula kwenu.
Angalia msiheambiwa nyie ni kikindi kidogo tu cha wahuni maana ndo
matamko ambayo serikali hutoaga siku zote. Punguzeni jazba gesi ni yetu
sote basi kama ni hivo muanze kuandamana kuelekea angani kupinga mvua
kunyesha maana inaeza kua chanzo cha umeme besides Tanzania umeme
unasumbua sasa kama hadi uwanja wa taifa unakatikaga hapo utashindwa
nini kukatika?

Musiwe wavivu wa kufikiri mtaishiwa kupigwa ba serikali mwisho hamna
sehemu mtaishtak mtabak mnapiga kelele tu bora kuwa wapole afu mkafanya
wonders 2015 maana serikali yetu sio mtanzania anaitawala ni mmarekani
sasa kama unaeza mshitaki mshitakiwa wakati yeye ndo hakimu
endeleeni

Dreson3, well said mkuu! Sikio la kufa.......
 
Last edited by a moderator:
ila fujo nyingine watanzania tunajitakia wenyewe sasa kama umene umekatwa si mtumie generator kuna ulazima gani wakwenda tanesco??? FFU Piga hao tena kwa nguvu zote mi nahisi kuna vijisababu kama hivi ndivo vinafanya hata serikali inaoeleka gesi Dar sa kama mnashindwa kufikiria vitu vidogo kwa kutumia generator pale umeme ulipokatika mtafikiria kutunza gesi kweli? haya sasa hizo fujo mtakuwa mmesaidia nini? mtapigwa sana na huenda hata huo mkutano usifanyike mwisho wa siku inakuwa imekula kwenu. Angalia msiheambiwa nyie ni kikindi kidogo tu cha wahuni maana ndo matamko ambayo serikali hutoaga siku zote. Punguzeni jazba gesi ni yetu sote basi kama ni hivo muanze kuandamana kuelekea angani kupinga mvua kunyesha maana inaeza kua chanzo cha umeme besides Tanzania umeme unasumbua sasa kama hadi uwanja wa taifa unakatikaga hapo utashindwa nini kukatika?

Musiwe wavivu wa kufikiri mtaishiwa kupigwa ba serikali mwisho hamna sehemu mtaishtak mtabak mnapiga kelele tu bora kuwa wapole afu mkafanya wonders 2015 maana serikali yetu sio mtanzania anaitawala ni mmarekani sasa kama unaeza mshitaki mshitakiwa wakati yeye ndo hakimu endeleeni

Sio kisa lao mkuu, serikali ndiyo yenye tatizo, imezoea kufanya ulaghai kwenye mambo mengi sana hadi sasa wananchi wamepoteza imani kwenye kila kitu.

Kukatika umeme inaweza kuwa ni bahat mbaya lakin inaweza kuwa fitina pia! Nani anayejua?!

Tunakoenda mabadiliko ni suala la lazima, sio ombi tena!

Binafsi nawaunga mkono.
 
Unatumia MASABURI katika kufikiria na hata kuandika kwako, pole sana kada wa magamba!


natumia simu ila message sent.... si umeelewa. kwani kuna nini ambacho hakiko sawa kwenye fikira zangu hii ni GT forum sasa kama ulishindwa elewa kuwa kupigwa kwingine tunajitakia wenyewe sijui mm na wewe nani mwenye akili ndogo hapo. umeme umekatika si mtumue generator Tanesco mnafata nini au kila mgao wa umeme au hitirafu.mtakuwa mnaandamana? haa mkipigwa ohh serikali ya magamba sawa lakini hapo mchokozi nani... hata hivo hutonielewa wenye akili watanielewa
 
Sio kisa lao mkuu, serikali ndiyo yenye tatizo, imezoea kufanya ulaghai kwenye mambo mengi sana hadi sasa wananchi wamepoteza imani kwenye kila kitu.

Kukatika umeme inaweza kuwa ni bahat mbaya lakin inaweza kuwa fitina pia! Nani anayejua?!

Tunakoenda mabadiliko ni suala la lazima, sio ombi tena!

Binafsi nawaunga mkono.

mimi mwenyewe nawaunga tena kwa asilimia zote ila sometimes tuwetunaangalia kama fujo zimetokea serikali itapiga ban maandamano yote na mikutano yote sasa hapo watatumia njia gani.kufikisha ujumbe wao? si ndo huo muda serikali itatumia kujenga bomba? mimi nawasapoti lakini watumie aman na wafate procedures
 
Nguvu hizi zinazotumika ni kiashirio cha ukomo wa kufikiri.Mjadala wa Gesi au Rslimali za taifa kwa ujumla hauwezi kuzimwa kwa nguvu.Dikteta Dhalimu Wa Nigeria General Sani abacha alitumia Nguvu nyingi kuwanyamazisha Akina Ken Saro Wiwa kule Niger Delta akishirikiana na makampuni ya kibepari ya Shelly,CHEVRON,BP n.k katika kuhujumu raslimali ya Mafuta dhidi ya watu wa Ogun lakini mwisho wake haki ilishinda na yeye alikufa vibaya.

Hapa Tanzania watawala wanatuelekeza kufuata njia ya Ken,Daima tutashinda!
Mkuu ninakukubali kwa point hizi,ulizoweka hapo juu! Ni kweli kwa watu km,William Malecela,na Wajinga kama Mzinzi(Mwigulu) na Nape wasiomjua General San Abacha,wanaweza wasikuelewe kua what do you mean! Kwani kina Abacha wa Nigeria,ndio Viongozi wa Tanzania tulionao sasa.Kumbuka yaliyowapata waandishi wa Nigeria, km Ken Sarowiwa,na wengine wengi kwa kupingana na uliokua utawala wa Gen San Abacha!! Walinyongwa na wachache wenye bahati,waliishia kufungwa jela maisha.Je kuna tofauti gani kwa Gen San Abacha,wa Nigeria (wakati ule)na Watawala wa Tanzania sasa! Kumbuka yaliyomkuta,Dk Ulimboka, usisahau pia yaliyomkuta Mhariri wa Gazeti la ukweli na Uwazi,la Mwanahalisi SAED KUBENEA,na wengine wengi ambao mnawaju,.wameteswa wamedhalilishwa na hata kuumizwa,kwa kua tu wamekua mstari wa mbele kupingana na Utawala Mbovu wa Serikali ya Ccm,dhidi ya Wanyonge wa nchi hii....!Hakika kila lenye mwanzo,lina mwisho pia.!wakowapi leo kina Adollf Hitler,Saddam Hussein,Gen San Abacha,Kanal Muhamad Gaddafi nk? Hata hapa Tanzania mwisho,wa kina Mwigulu,Lemutuz,Nape, Riz1 na Baba zao utafika tu!!!!!!,Kwa kuwa Mungu aliye jibu Maombi ya Wanaigeria,dhidi ya Utawala wa Kinyonyaji na Ubabe chini ya Gen San Abacha ndie atakaye jibu Maombi ya Watanzania chini ya Utawala Mbovu,na Wa Kifamilia wa Serikali ya Ccm.
 
Nna imani wanamtwara watafanya hivihivi kwenye ballot box 2015

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom