Matondo ya haki kwa raia ndiyo msingi wa amani
Serikali imegeuka kuwa ya wachache pale juu, na kuwalisha propaganda waliowengi maskini
Sasa waliowengi maskini wanadai haki yao
Mjinga akielevuka mjanja huwa mashakani, ccm ikomashakani.
Kwanza kwanini mikataba iwekwe jambo la siri hapa ndiyo chanzo cha matatizo yote.
Watanzania ndiyo wamiliki, ccm wanageuka kumiliki kila kitu mpaka viwanja vya kuchezea watoto wetu na kufanya mikataba ya
kufirisi mali zetu siri yao. HII haikubaliki kwanini watuzunguuke na kuuza mali zetu kwa kutuficha mikataba?
Serikali imegeuka kuwa ya wachache pale juu, na kuwalisha propaganda waliowengi maskini
Sasa waliowengi maskini wanadai haki yao
Mjinga akielevuka mjanja huwa mashakani, ccm ikomashakani.
Kwanza kwanini mikataba iwekwe jambo la siri hapa ndiyo chanzo cha matatizo yote.
Watanzania ndiyo wamiliki, ccm wanageuka kumiliki kila kitu mpaka viwanja vya kuchezea watoto wetu na kufanya mikataba ya
kufirisi mali zetu siri yao. HII haikubaliki kwanini watuzunguuke na kuuza mali zetu kwa kutuficha mikataba?