Mtwara kimenuka: Mabomu ya machozi yarindima!

Mtwara kimenuka: Mabomu ya machozi yarindima!

Hao ni wabaguzi, hawawezi kutia neno kwasababu gesi si ya kaskazini.

Ni wakati wa kuwasapoti wanamtwara kwa nguvu zote kwasababu gesi ni yao.Serikali inatakiwa iwasikilize na kunegotiate nao badala ya kujaribu kuwanyamazisha.

Taratibu wanamtwara watagundua kuwa pilao na kanga si malikitu.

Mkuu nahisi kama unakose kuwaita wabaguzi,hiyo gesi iko kwao miak yote na wao ndio walinzi ake,so ni haki yao kudai sehemu yake kwa ajili ya faida yao na vizazi vijavyo,kwa sababu kutoka itatoka,ila kwanza ijulikane kwamba wao watakuwa na asilimia ngapi?!!,mkuu angali watu wa Serengeti kwa sasa hawali hata nyama wale wa porini,ila wazungu wanakula hadi huko marekni tena mbichi,angalia Geita hakuna faida wanayopata kutokana na dhahbu inayosafirishwa kila wiki yenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 45,angalia watu wa Nyamongo dhahbu yao,hawana faida nayo,angaliwa wale wa Biharamulo kwenye mgodi wa Tulawaka kuna mashimo marefu lakini hakuna faida,angalia Buhemba yamebaki mashimo tupu,wananchi ako hoi,jamani jamani wanamtwara hapo mliposhika ndipo penyewe waseme kwanza ninyi mtapata asilimia ngapi??!!!!!!!!!
 
Hawa wananchi walioamua kuandamana kwenda TANESCO wame over react na hawakujipanga.

Kwani ni nani asiyejua mataizo ya umeme TZ? Wangekodi jenereta.
 
Matondo ya haki kwa raia ndiyo msingi wa amani

Serikali imegeuka kuwa ya wachache pale juu, na kuwalisha propaganda waliowengi maskini

Sasa waliowengi maskini wanadai haki yao

Mjinga akielevuka mjanja huwa mashakani, ccm ikomashakani.

Kwanza kwanini mikataba iwekwe jambo la siri hapa ndiyo chanzo cha matatizo yote.

Watanzania ndiyo wamiliki, ccm wanageuka kumiliki kila kitu mpaka viwanja vya kuchezea watoto wetu na kufanya mikataba ya

kufirisi mali zetu siri yao. HII haikubaliki kwanini watuzunguuke na kuuza mali zetu kwa kutuficha mikataba?

hee balali!
 
Angalieni tu msije mkawa kama Mwangosi(R.I.P).Manake polisi hawatumii akili zao za kuzaliwa!zaidi ya ganja na viroba!
Polisi wanafanya kazi kwa kupokea amri kutoka kwa bosi, kama roboti. Wao hawahoji hata kidogo. Ukishakuwa polisi basi umeshawaaga wananchi.
 


.....Mkutano unaendelea everything iz perfect... Pipo kutoka kilakona wamejongea,hawajali mvua wala nini..those above who thinks "ni upepo tu" they should think again..its a movement, peoples movement! Wameitwa wabunge wote wa mtwara wa vyama vyote,waje wapokee maoni ya wananchi na wawe wawakilishi kwa mujibu wa kazi yao...
asiyefika si mbunge wa mtwara kuanzia leo hii!


...ajiwakilishe bungeni yeye na familia yake...

Kile ki2 cha nchakali bado hakija rushwa?
 


.....Mkutano unaendelea everything iz perfect... Pipo kutoka kilakona wamejongea,hawajali mvua wala nini..those above who thinks "ni upepo tu" they should think again..its a movement, peoples movement! Wameitwa wabunge wote wa mtwara wa vyama vyote,waje wapokee maoni ya wananchi na wawe wawakilishi kwa mujibu wa kazi yao...
asiyefika si mbunge wa mtwara kuanzia leo hii!


...ajiwakilishe bungeni yeye na familia yake...

good to go
 
Unachotaka wewe wafanye ndicho wanachofanya na madai yao yamejikita huko,lakini serekali haitaki kusema hayo wala kuahidi kuwa itafanya hayo.
Hilo la aproch ni wazo lako na wanasiasa wengine wa vivu wengi wakiwa Ma CCM na inaonyesha jinsi ulivyo wa Ovyo wewe mwenyewe!
Rasilimali za taifa ni kwa ajili ya manufaa ya taifa zima. Kusema GESI HAITOKI MTWARA ni ubinafsi uliopitiliza. Hakuna justification yoyote inayoweza kuhalalisha hilo.
 
Ccm wapanda mbegu wenyewe wa kujiondoa kwenye utawala hata wakoloni walikuwa na ndoto ya kuondoka lakini waliondoka wenyewe sasa zamu ya ccm
 
uelekeo wa haki siku zote nikali na ni"Vigorous" kama "storm_front" hata kama mkizuia kwa vifaru. Kama wana mtwara wanaongea ukweli , serikali acheni kicwa ngumu
 
Nafurahi kuwa Mtwara wameanza kujitambua. Saa ya ukombozi hii hapa

nashukuru mfumo wa vyama vingi kuwepo tanzania,wananchi wengi sasa wamepata elimu ya uraia kwa kutambua haki na wajib u wao.
 
Mkuu nahisi kama unakose kuwaita wabaguzi,hiyo gesi iko kwao miak yote na wao ndio walinzi ake,so ni haki yao kudai sehemu yake kwa ajili ya faida yao na vizazi vijavyo,kwa sababu kutoka itatoka,ila kwanza ijulikane kwamba wao watakuwa na asilimia ngapi?!!,mkuu angali watu wa Serengeti kwa sasa hawali hata nyama wale wa porini,ila wazungu wanakula hadi huko marekni tena mbichi,angalia Geita hakuna faida wanayopata kutokana na dhahbu inayosafirishwa kila wiki yenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 45,angalia watu wa Nyamongo dhahbu yao,hawana faida nayo,angaliwa wale wa Biharamulo kwenye mgodi wa Tulawaka kuna mashimo marefu lakini hakuna faida,angalia Buhemba yamebaki mashimo tupu,wananchi ako hoi,jamani jamani wanamtwara hapo mliposhika ndipo penyewe waseme kwanza ninyi mtapata asilimia ngapi??!!!!!!!!!

... Mkuu umenena... "wanaMTWARA No retreat no surrender"
 
Mkuu nahisi kama unakose kuwaita wabaguzi,hiyo gesi iko kwao miak yote na wao ndio walinzi ake,so ni haki yao kudai sehemu yake kwa ajili ya faida yao na vizazi vijavyo,kwa sababu kutoka itatoka,ila kwanza ijulikane kwamba wao watakuwa na asilimia ngapi?!!,mkuu angali watu wa Serengeti kwa sasa hawali hata nyama wale wa porini,ila wazungu wanakula hadi huko marekni tena mbichi,angalia Geita hakuna faida wanayopata kutokana na dhahbu inayosafirishwa kila wiki yenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 45,angalia watu wa Nyamongo dhahbu yao,hawana faida nayo,angaliwa wale wa Biharamulo kwenye mgodi wa Tulawaka kuna mashimo marefu lakini hakuna faida,angalia Buhemba yamebaki mashimo tupu,wananchi ako hoi,jamani jamani wanamtwara hapo mliposhika ndipo penyewe waseme kwanza ninyi mtapata asilimia ngapi??!!!!!!!!!
Umesoma vyema bandiko langu na kunielewa?Ulisoma nilichokuwa nakijibu?
 
The reaching point, for where we are now. In here Stone Age Time.
is a very mean for the President who sworn to explicative is population
and turn to be a Dictator, (Regime.)
for using is competence to defend the plan to plunder, our country wealth
material. And understand that the force which you are always using against
the population is unlawfully. At end will be worst to you due process against
human rights, the right and good Government is always hark for what the
population needy. Remember you are there to serve the nation and not
individual.
 
Ifike wakati serikali isikilize kilio cha watu wa kusini. Tatizo siyo gesi bali ni kwamba serikali imewasahau kabisa watu wa kusini. Mikoa ya kusini ina hali mbaya sana kiuchumi. Miundombinu bora ijengwe na kuboreshwa, sidhani kama watu wa kusini wataendelea tena kuililia serikali.
 
tanzania ni yetu sote chai ililimwa iringa ikainufaisha mpaka mtwara kahawa illimwa kagera na klm ikainufaisha mpaka lindi na ruvuma lazima tujenge umoja wa kitaifa acha

Kweli wewe unataka uendelee kutukanyaga kama jina lako lilivo
 
hee balali!

How are you John?

Vita yetu ni dhidi ya ccm na mikataba ya siri

Tunapolia umasikini waliosaini mikataba ya siri wakilundikiwa vijisenti vya nguvu kuko ughaibun

Kilichobakia nikutoana roho tu basi, aliechukuwa za bomba la gesi mtwara azirudishe, tumechoka kuibiwa John.
 
Rasilimali za taifa ni kwa ajili ya manufaa ya taifa zima. Kusema GESI HAITOKI MTWARA ni ubinafsi uliopitiliza. Hakuna justification yoyote inayoweza kuhalalisha hilo.

... Enzi za Analojia hizo! Sasa hivi ni Dijitali kwa kwenda mbele "WanaMTWARA No Retreat No Surrender"
 
Tanzania! tanzania! tanzania! Naililia nchi yangu!watoto wanagombania chakula nyumbani, baba anaelekea safarini,hakika hii ni laana na aibu ka mwenye nyumba/mr. dhaifu
 
Back
Top Bottom