Mtwara kimenuka: Mabomu ya machozi yarindima!

Mtwara kimenuka: Mabomu ya machozi yarindima!

Wana Mtwara msirudi nyuma songeni mbele hayo mambo kitu gani ukilinganisha na maisha yenu na vizazi vyenu komaaeni..
 
Tunaomba mtuwekee picha.

Dingswayo, Unafuraaaaahi,kama vila unangojea picha za Van Dame na Rambo sio? Hizo ni picha za watanzania wakijeruhiwa na pengine nao kujeruhi au kuua na kuuana sio sinema! huo ushabiki wenu unaponza wananchi. Na usifikiri wanaokaa kusini wote ni wamakonde usisahau hilo watakapowaona watu wasio wa Kusini ni kikwazo watawashambulia nini kitafuatia?
 
Last edited by a moderator:
maskini akipata hata kile kidogo hunyang'anywa,huu msemo ndo nimeushuhudia mtwara,komaeni mpaka kieleweke dont giv up!!!
 
Nguvu hizi zinazotumika ni kiashirio cha ukomo wa kufikiri.Mjadala wa Gesi au Rslimali za taifa kwa ujumla hauwezi kuzimwa kwa nguvu.Dikteta Dhalimu Wa Nigeria General Sani abacha alitumia Nguvu nyingi kuwanyamazisha Akina Ken Saro Wiwa kule Niger Delta akishirikiana na makampuni ya kibepari ya Shelly,CHEVRON,BP n.k katika kuhujumu raslimali ya Mafuta dhidi ya watu wa Ogun lakini mwisho wake haki ilishinda na yeye alikufa vibaya.

Hapa Tanzania watawala wanatuelekeza kufuata njia ya Ken,Daima tutashinda!

Ben,
Hao ndio aina ya viongozi tulio nao. Kwasabu ya utendaji mbovu wamefikia hatua ya kukimbia hata vivuli vyao, kwani wanaogopa watu kujua ukweli. Tabia kama hii ni ya watu wasiojiamini ambao wana tabia ya kuzuia watu wasifanye mijadala kwa lengo la kuendelea kuwa gizani (kukosa uelewa wa mambo ya msingi ikiwemo haki zao). Na hii imekuwa silaha kubwa sana ya CCM miaka yote.
 
Nguvu hizi zinazotumika ni kiashirio cha ukomo wa kufikiri.Mjadala wa Gesi au Rslimali za taifa kwa ujumla hauwezi kuzimwa kwa nguvu.Dikteta Dhalimu Wa Nigeria General Sani abacha alitumia Nguvu nyingi kuwanyamazisha Akina Ken Saro Wiwa kule Niger Delta akishirikiana na makampuni ya kibepari ya Shelly,CHEVRON,BP n.k katika kuhujumu raslimali ya Mafuta dhidi ya watu wa Ogun lakini mwisho wake haki ilishinda na yeye alikufa vibaya.

Hapa Tanzania watawala wanatuelekeza kufuata njia ya Ken,Daima tutashinda!

Umeenda mbali mno, angalia hapa hapa nyumbani wale waliokuwa njia ya mkato kutumiwa na watawala kukandamiza demokrasia nchini mapigo ya Mungu yameanza kazi yake. Ingawa sifurahii, ukweli nasikitikia kwa yanayowapata, lakini kuchapwa bakora kwa wakati mmoja nafikiria na kufananisha na mapigo kumi ya kumwadhibu Farao na watu wa Misri kwa kuwashinikiza Waisraeli wasirudie nchi yao ya ahadi bali waendelee kuwepo Misri kumjengea mapiramid.
 
Yes!! una gharama inawezekana kukatokea vifo pia, kwa mambo kama haya sidhani kama ni Serikali ya kutupiwa lawama kwani inawezekana ni coincedence tu, kuna hali ya hewa ya mvua tu kwa vile kama serikali isingetaka mkutano ufanyike ina njia na uwezo mkubwa wa kuzuia si kukata umeme.
 
Eti 'Tanzania ni nchi ya amani na demokrasia' eti 'iwapo itatoka CCM nchi haitakuwa na amani' (*Bonge la tusi*) kwa mshua,serikali na washirika wake wooote!
 
Kila kukicha tutaona mambo mengi huko Mtwara ila ni bora kuliko kuwa hivi hivyo serikali wasijue kuwa wao pia watakuwa salama kama hawa wanafanya hivi
 
Mr.Dhaifu kama kawaida yake kwenye matukio kama haya kashaondoka na Firstlady kwenda kula Bata Paris(France).Kamwachia msala Pinda.Atakuja kutusalimia mambo yakipoa.
 
Wanamtwara msichoke!
Mkuu THE BIG SHOW tupe kinacho jili huko!

Gas kwanza wanamtwara!
 
Last edited by a moderator:
"uvumilivu sasa basi".Ni agizo la Mr.Rubani ambaye yuko visiwani Ufaransa akila raha na wale wamama wawili
 
Komaeni wanamtwara.Nasi huku Mbeya tuko nyuma yenu mpaka heshima na maendeleo ya kweli kwa watu wa kusini na WaTz wote yapatikane
 
Kama mambo haya yanatokea kweli,huu ndio mwisho wa masikilizano Mtwara. Naiona hatari yaifunika Mtwara
 
Back
Top Bottom