Mtwara kimenuka: Mabomu ya machozi yarindima!

Mtwara kimenuka: Mabomu ya machozi yarindima!

Wakiua mmoja recod inanasa ughaibuni,msiongope hiyo ndio ccm ilikua ikijificha imeamua kujitokeza hongera policeccm tuuweni mtawale magofu twishafunguka sasa time will tell
 
Hata Gadafi alitapatapa lakini mwisho wa siku libya ilikombolewa,
 
tozi yupo njian kuelekea ufaransa, nasikia kuna show ya koffi olomide kule paris, anaiwahi na my wife wake....
 
unajua maandamano yanahitaji werevu huwezi kuweka mkutano au tuseme mhadhara wa gesi halafu ghafla bin vuu umeme ukatike halafu uamue kubadili agenda na kuamua kuandamana kuelekea Tanesco huu ni ukosefu wa weledi na dalili ya uhuni wa wana Mtwara na ukiangalia vizuri watu wa Usalama wamefanya hivyo ili kupata upenyo wa kuwasambaza kwenye makundi ili wawashughulikie vizuri!
 
Wakishaifanya dhambi hii ya ubaguzi haitaishia hapo, baadaye wataanza kusema mimi ni Muislam na yule ni Mkristo. Wataanza tena kubaguana kwa misingi ya kabila na rangi. Hii dhambi haitawaacha salama kamwe. Historia ni shahidi mzuri wa hili.

Mkuu mawazo yako yame chacha
 
Mpaka sasa kinaendelea nini hapo? Mbona kimya? tujuzeni jamani
 
Kinachowaponza watanzania ni kuishabikia ccm na kuiweka madarakani kila kunapofanyika uchaguzi!!! Hizo ndizo faida za rushwa ya chumvi, kanga na vikofia vya kijani!!! Endeleeni kuteseka!!!
 
Je unajua chanzo cha mgogoro ni nani? TPDC- Mkurugenzi kilagane anasema mafunikio makubwa waliyoyapata TPDC ni kuishawishi serikali kufuta mpango wake wa kuchakata gesi na kujenga power plant ya kufua umeme Mtwara kama ilivyoainisha katika ilani ya uchanguzi ya CCM ya 2010 pamoja na makubaliano yaliyofanywa na wajasiriamali wa kampuni ya ARTUMAS, HAYO YALISEMWA na mwasilishaji wa TPDC katika warsha iliyofanyika 20/07/2012 katika ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Mtwara kwa kamati ya ushauri ya mkuu wa mkoa. Tafuta kitini hicho cha warsha, ni noma. kwa hili wanakusini hatukubali. Gesi ni lazima ichakatwe Mtwara halfu ikauzwe kokote inakotakiwa.
 
Back
Top Bottom