Bouncer
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 344
- 249
nahis watu wa kanda ya ziwa kuna kosa walilifanya na wanapaswa kujisahihisha kupitia wana mtwara,na kusin kwa ujumla
kila jambo baya lina mwisho wake, i can see the light at the end of the tunnel!
nahis watu wa kanda ya ziwa kuna kosa walilifanya na wanapaswa kujisahihisha kupitia wana mtwara,na kusin kwa ujumla
Nenda kaulize mfindi au mafinga kama yale majani(chai) tunatumia sisi watanzania. Nimefanya kazi pale majani(chai) ambayo tunatumia sisi ni yale ya daraja la 3,4 . Daraja la 1,2 yote yana shafirishwa kwenda nje. Kwa hiyo sisi tunabaki na mabaki ya chai
Tunaomba mtuwekee picha.
Hizi ni salamu tosha kabisa kwa Serikali ya CCM kuwa wananchi sasa wanajua kujitetea hata kama SERIKALI imeshindwa kuwatetea, wananchi sasa wanajua chema na kibaya na wanajua nini wanataka.........chukulia hali hii na 2015 wakati CCM watakapoiba kura nini kitatokea.
Hizi ni salamu tosha kabisa kwa Serikali ya CCM kuwa wananchi sasa wanajua kujitetea hata kama SERIKALI imeshindwa kuwatetea, wananchi sasa wanajua chema na kibaya na wanajua nini wanataka.........chukulia hali hii na 2015 wakati CCM watakapoiba kura nini kitatokea.
Dingswayo, Unafuraaaaahi,kama vila unangojea picha za Van Dame na Rambo sio? Hizo ni picha za watanzania wakijeruhiwa na pengine nao kujeruhi au kuua na kuuana sio sinema! huo ushabiki wenu unaponza wananchi. Na usifikiri wanaokaa kusini wote ni wamakonde usisahau hilo watakapowaona watu wasio wa Kusini ni kikwazo watawashambulia nini kitafuatia?
Acha woga wewe...unadhani vita vya wenyewe kwa wenyewe vilianzia wap?? chukulia mfano nigeria, angola walianzia scenario kama za mtwara
hivi tutashabikia mambo haya hata lini?
unadhani vita vya wenyewe kwa wenyewe vilianzia wap?? chukulia mfano nigeria, angola walianzia scenario kama za mtwara
hivi tutashabikia mambo haya hata lini?
Tanesco mnafata? nini ina maana nyie nimaskini hamna hata generator? mpigwe ili mpate akili ya kufanya vitu vya maana
Kwani Dar kuna Mzaliwa wa Asili Mjanja? Si ndio maana Nyerere alikuja na Kaptula kutoka Mara na kuwa Rais wao! Na pamoja na hayo,Kuzaliwa Dar,na Kuzeekea bila kufaidi Mapato ya Bandari ni Ujinga wao..Mikoa yote tunakusanya pesa na kuzileta Dar,,,! kwa kuwa ndiko Mafisadi walikoweka Ofisi KUU zote za Serikali! Kwa maana hiyo basi,Hatuendi kulipia Pesa zinazohusiana moja kwa moja na mambo ya Bandari,Mtwara au Lindi..! bali tunalipia hapohapo Dar...! "Wanakusini" nao wanadai kwamba kwa vile GESI inapatikana kwao,basi Uzalishaji wote Ufanyike ilipo Gesi, na Malipo ya Ununuzi yafanyikie hukohuko na sio Dar.na Mapato yanayopatikana ktk mauzo,ndio yaingizwe kwenye Hazina Kuu! na kugawanya kwa nchi nzima! So point yako ya kudai kuna mtu kazaliwa na kuzeekea,Dar bila kufaidi mapato ya Bandari,hayana Mshiko.ni Negative Idea:!!!Crashwise, mbona kuna watu wamezaliwa Dar wanazeekea Dar na hawajawahi kufaidi mapato ya Bandari? nao waandamane?