makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,219
Kwanini haya makosa yanajirudia kila siku???
Huyu Mwandishi wa JPM Bwana Gerson Msigwa anashindwaje kumsaidia JPM ku-construct some few sentences in English na ku-Tweet kwenye account ya JPM???
Rais tena Doctor na kwa sasa anasifika dunia nzima kwa kufanya wonders in Tanzania just in a year, but he can't make even a single sentence in English!!! Bado inaendelea kuthibitika kuwa JPM kwa ung'eng'e ni mtupu na ndiyo maana ziara nje ya nchi anazikwepa kwa kisingizio cha kubana matumizi kumbe ni urongo mtupu.
Very shameful.
Huyu Mwandishi wa JPM Bwana Gerson Msigwa anashindwaje kumsaidia JPM ku-construct some few sentences in English na ku-Tweet kwenye account ya JPM???
Rais tena Doctor na kwa sasa anasifika dunia nzima kwa kufanya wonders in Tanzania just in a year, but he can't make even a single sentence in English!!! Bado inaendelea kuthibitika kuwa JPM kwa ung'eng'e ni mtupu na ndiyo maana ziara nje ya nchi anazikwepa kwa kisingizio cha kubana matumizi kumbe ni urongo mtupu.
Very shameful.