Ni KWELI Wachina "hawajui" Kiingereza. Lakini wakikitumia HAWAKIHARIBU....Hiv kiingereza ndo maendeleo? Hapo angeandika kiswahili tu ingetosha mbona wachina hawajui kiingereza na wanasonga? Wabongo kwa utumwa.
Hiv kiingereza ndo maendeleo? Hapo angeandika kiswahili tu ingetosha mbona wachina hawajui kiingereza na wanasonga? Wabongo kwa utumwa.
Wao Wanajua kiswahili hata broken?Jibu ni hapana,tatizo sisi tunahangaika na lugha ndio maana wakenya wanajidai wamesoma kwa kujua kiingereza tu hata kama hawana taaluma yoyote.Me sikusoma lakini naomba waliosoma kama kuna mtu anaorodha ya maraisi ambao hawajui hata neno moja la kiingereza awaorodheshe hapa.Wale ambao huwa wanaongea kikwao wanatraslentiwa!Wakati nipo form three nilikuwa nauwezo wa kumkosoa mwalimu wangu wa Geography,alikuwa hajui tenses na muda wa kuzitumia,lakini kitu muhimu alikuwa anatufundisha ili tuelewe Geograhy sio English.Na alikuwa trained teacher.
President Nyerere used same words at White House in 1963, All you were not born yet I remember it.
Alianza kwa trump akaharibu!! Kaja kwa castro kaboronga!! Kama hajui hii lugha ni lazima aitumie??? Sasa naanza elewa kwanini watu wanasema alikopi research yake ya degree ya tatu!me nnahamini haya yote ni matunda ya uongozi wa awam ya 4 kwani urais uligeuzwa km ujumbe wa nyumba 10 ndio maana leo watu mnadiliki kumkejeli rais ila wewe uliyepost jua vitu vichache,,ukitoa kuwa rais wako bal pia na mzazi wako,,je babaako hakosei na akikosea unamkosoa mbele za watu?kuwa na heshima kwa viongozi na wakubwa,,hata ajue kiingereza au hasijue,,tulimchagua na tutamchagua kwani anatoa suluhu ya matatizo yetu tena kwa wkt,,,huyo mtu wenu anayejua kiingereza yupo wapi???hacheni watu wafanye kazi!!!
Aliwaita wale watoto vila.za je na yeye ni kilaza? Wakati wanakulipa buku saba mshauri awe anaomba hata msaada afundishwe sio anatuletea aibu sawa??Mkuu, niliwaji kuanzisha mjadala humumkuwa ikiwa Rais Magufuli ataamua kuwa bubu sijui hawa CHADEMA watakiwa na ajenda gani. Utafikiri hapa tunapimana uwezo wa kuandika kiingereza fasaha
Mimi nimesoma sayansi na nimeona amekosea!! Kama hajui lugha akae kimya sio kuleta aibuKwa tuliosoma science tunaona yupo sawa kwa sababu lugha zetu ni let x=tanzania
Assume jpm =tanzania
So tumwache afanye kazi
Alivyo-mbishi atatumia hata Nokia ya tochiHivi jamani si wamnyang'anye tu hiyo Smartphone?!!!
Basi na wewe hujui Kiingereza.Nimejaribu kusoma michango yote humu JF. Lakini sijaona kosa lolote kwenye hiyo "comment" ya Magufuli zaidi ya kejeli za kila siku. Naomba nianze na wewe kosa liko wapi hapo?
Hata kiswahili tunafundishwa shuleni darasa la kwanza mpaka form six na wengine wanakisomea mpaka chuo kikuu. Chakujiuliza hicho kiswahili cha shule na chuoni ndio
Hiki tunakitumia JF?
Ukipata jibu pigia mstari na ujipime tena. Inawezekana hauko sawa.
NB: Chuki ikizidi sana huwa ni ugonjwa.