Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,930
- 100,198
Lugha gongana. Hivi mtu huyohuyo yupo hapo na ndiye anayetoa salamu, sasa yawezekana vipi aseme kwa niaba? Kwa niaba maana yake nini?"Kwa niaba ya Mimi Mwenyewe"
Lugha gongana. Hivi mtu huyohuyo yupo hapo na ndiye anayetoa salamu, sasa yawezekana vipi aseme kwa niaba? Kwa niaba maana yake nini?"Kwa niaba ya Mimi Mwenyewe"
Tatizo sio kiingereza tatizo ni elimu aliyokuwa nayo aliipataje wakati inatolewa kiingereza au kukariri?Hiv kiingereza ndo maendeleo? Hapo angeandika kiswahili tu ingetosha mbona wachina hawajui kiingereza na wanasonga? Wabongo kwa utumwa.
Pengine mitaala yao ya elim inatolewa kwa lugha zao je?kama sisi elimu inatolewa kwa kiingereza inawezekana vp msomi wa phd kingereza kiwe hajui kuna jitu hapoMaraisi wote wanajua Kiingereza?
Kumbe mnasoma, rais atasoma tuKatika mazingira ya sasa mila na desturi bado vina nafasi? Baba ni msukuma na mama ni mchaga wanazaa mtoto anaenda kuoa binti ambaye baba yake ni mmakonde na mama yake mbondei, mtoto atakayezaliwa anachukua mila za kabila gani?
Sent using Jamii Forums mobile app