Mtukufu Rais bora tu angeandika R.I.P

Mtukufu Rais bora tu angeandika R.I.P

Magufuli hajui Kiingereza na hilo halina ubishi ila nina wasiwasi kama hii akaunti ya Twitter huwa yeye ndiye mwandishi. Hii itakuwa inaandikwa na Msigwa au mtu mwingine sababu simuoni Magufuli akikaa na kuanza kutupia mambo humo kwa sababu ya wingi wa hekaheka za kazi yake.

Lakini vyovyote vile iwavyo ni kweli kuna ushamba mwingi sana
kwa hiyo unataka kuniambia hata simu clouds huwa anapiga na kuongea msigwa????
 
Kuwa Upinzani si kupinga pinga kila kitu. Hata kama tunatumwa tujiulize ujira huo una akisi utu wetu. Huyu hapa chini kazaliwa huko huko ilikoanzia hiyo lugha. Haya na yeye Muanzishieni Thread.

Kweli naanza kuamini baadhi ya wafuasi wa Chadema wanahitaji kupimwa akili

beckham-jpg.440234
Jitunzie heshima yako kijana, mtu mwenye PHD unamfananisha na huyu sababu kazaliwa Uiengereza. Kweli nchi ina wapuuzi wengi sana
 
Hivi mbona watanzania tunapenda vitu petty? Kiswahili chenyewe pia ni majanga. Tazama matumizi ya kawaida ya maneno kama haya, kidhibiti/kithibiti, athirika/asirika, mubashara n.k. Tuzungumzie mambo yenye tija jamani. He who wears the shoes knows where the pinch is!
 
Jitunzie heshima yako kijana, mtu mwenye PHD unamfananisha na huyu sababu kazaliwa Uiengereza. Kweli nchi ina wapuuzi wengi sana

Kumbe english anayoongea mtu mwenye PHD na mtu wa kawaida ni tofauti.

Kwahiyo na Kiswahili anachoongea mtu Mwenye PHD na mtu wa kawaida ni tofauti.

Kweli kuwa uyaone. Acha nijitunzie heshma yangu maana humu unaweza kuta na reply quotes za vichaa.

Dah hehehehe kwahiyo kwakuwa mimi Darasa la saba kiswahili ninachoandika humu na wachangiaji wote JF ni kile kile tuu. Kwa maantiki hiyo Wote humu JF ni Darasa la saba.
 
Kumbe english anayoongea mtu mwenye PHD na mtu wa kawaida ni tofauti.

Kwahiyo na Kiswahili anachoongea mtu Mwenye PHD na mtu wa kawaida ni tofauti.

Kweli kuwa uyaone. Acha nijitunzie heshma yangu maana humu unaweza kuta na reply quotes za vichaa.

Dah hehehehe kwahiyo kwakuwa mimi Darasa la saba kiswahili ninachoandika humu na wachangiaji wote JF ni kile kile tuu. Kwa maantiki hiyo Wote humu JF ni Darasa la saba.

BADO UNA MENGI YA KUJIFUNZA MZALENDO. WAINGEREZA WENYEWE WANAKWENDA MPAKA CHUO KIKUU KUSOMEA KINGEREZA.

KINGEREZA WANACHOONGEA MTAANI NI TOFAUTI NA CHA WALIOSOMA. MATAMSHI NA MWANDIKO WA MSOMI NI TOFAUTI KABISA YA MTU KAMA DAVID BECKHAM HATA A-LEVEL HANA.
 
BADO UNA MENGI YA KUJIFUNZA MZALENDO. WAINGEREZA WENYEWE WANAKWENDA MPAKA CHUO KIKUU KUSOMEA KINGEREZA.

KINGEREZA WANACHOONGEA MTAANI NI TOFAUTI NA CHA WALIOSOMA. MATAMSHI MSOMI NI TOFAUTI KABISA YA MTU KAMA DAVID BECKHAM HATA A-LEVEL HANA.
Hata kiswahili tunafundishwa shuleni darasa la kwanza mpaka form six na wengine wanakisomea mpaka chuo kikuu. Chakujiuliza hicho kiswahili cha shule na chuoni ndio
Hiki tunakitumia JF?

Ukipata jibu pigia mstari na ujipime tena. Inawezekana hauko sawa.

NB: Chuki ikizidi sana huwa ni ugonjwa.
 
Ndo wasomi wa UD hao wanaojiona bora kla cku, je kwa structure hyo alipitaje hapo,...acheni kukujeli baadh ya vyuo akat hcho nacho kimebak kusema bora labda kwa ukongwe ndo ubora!!..Nmeshangaa sana kuona baadhi ya graduates wa UD hata fb wakiandka pumba kwa kiingereza kibovu.
 
Sikiliza mama yangu yule ni PhD holder wa udsm, sawa lugha hajaziwa nayo angeandika aliyozaliwa nayo basi kuliko kutia aibu namna hii kwani lazima aandike kikristo???
Hatujamuomba rais aandike tunavyotaka kapost kwenye social network broken english na tumeona halafu tupige makofi
Haya we endelea kuunga mkono hoja sisi ngoja tunyooke

Unaandika gazeti la kiswahili, nawe andika kimombo basi wajuao wakusome.
 
Great minds discuss ideas,
Small minds discuss issues,
Poor minds discuss people.
Great minds discuss IDEAS, average minds discuss EVENTS, small minds discuss people acha kupotosha...... we r still discussing an idea of english incompetence
 
  • Thanks
Reactions: Gut
Back
Top Bottom