Zito Zuberi Kabwe nakuita mara tatu

Zito Zuberi Kabwe nakuita mara tatu

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,844
Reaction score
19,527
X(twitter) ya Zito Kabwe imepoaa mara tu baada ya Rais Samia kuapishwa urais wa nchi yetu.

Kipindi Magufuli akiwa Rais (2016 -2021) twitter ya Zito Kabwe ilikuwa moto wa kuotea mbali ,alikosoa kila kitu cha Magufuli kuanzia tembea yake ,ongea yake, miradi, tumbua yake na hata unywele wa Magufuli ukitikisika alikosoa

Siku Magufuli anamtumbua January Makamba kwenye uwaziri wa muungano na mazingira aliibuka Zito Kabwe na andiko refu kwenye mitandao ya kijamii akiita kitendo hicho ni udikteta usiokubalika mbele ya macho ya Mungu.

Mara paap akaapishwa Rais Samia akamtumbua spika wa bunge ambaye ni muhimili unaojitegemea lakini Zito Kabwe kimya,

Rais Samia akamtumbua January Makamba lakini Zito Kabwe kimya!

Rais Samia ametumbua hadi makamu wa Rais Dk Nchimbi ambaye ni the second strongest man in the country lakini Zito Kabwe yupo kimyaaa!

Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere umenifundisha kwamba si kila ushauri unaotoka kwa msomi ni wa kusikiliza hata kama huyo msomi ni profesa, kabla hujasikiliza ushauri wake muulize kwanza amesomea nini?
Ujenzi wa bwawa hili ulipingwa na wasomi, hamna darasa la saba hata mmoja aliyepinga mradi huu.
Wasomi kama Prof Muhongo, Nape, Zito Kabwe walipinga kwa kuandaa pepa ndefu na tafiti mbalimbali kuonyesha mradi haufai kabisa na utasababisha uchumi wa mikoa ya kusini kusinyaa!
Sasa hivi mradi umekamilika wamekaa kimya bila kutuonyesha hayo madhara.
Wewe Prof Muhongo na Nape tunawauliza uchumi wa mikoa ya kusini umesinyaa sababu ya bwawa la umeme?
Vipi kama Magufuli angefuata ushauri wa wasomi hawa?
 
x
X(twitter) ya Zito Kabwe imepoaa mara tu baada ya Rais Samia kuapishwa urais wa nchi yetu.

Kipindi Magufuli akiwa Rais (2016 -2021) twitter ya Zito Kabwe ilikuwa moto wa kuotea mbali ,alikosoa kila kitu cha Magufuli kuanzia tembea yake ,ongea yake, miradi, tumbua yake na hata unywele wa Magufuli ukitikisika alikosoa

Siku Magufuli anamtumbua January Makamba kwenye uwaziri wa muungano na mazingira aliibuka Zito Kabwe na andiko refu kwenye mitandao ya kijamii akiita kitendo hicho ni udikteta usiokubalika mbele ya macho ya Mungu.

Mara paap akaapishwa Rais Samia akamtumbua spika wa bunge ambaye ni muhimili unaojitegemea lakini Zito Kabwe kimya,

Rais Samia akamtumbua January Makamba lakini Zito Kabwe kimya!

Rais Samia ametumbua hadi makamu wa Rais Dk Nchimbi ambaye ni the second strongest man in the country lakini Zito Kabwe yupo kimyaaa!

Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere umenifundisha kwamba si kila ushauri unaotoka kwa msomi ni wa kusikiliza hata kama huyo msomi ni profesa, kabla hujasikiliza ushauri wake muulize kwanza amesomea nini?
Ujenzi wa bwawa hili ulipingwa na wasomi, hamna darasa la saba hata mmoja aliyepinga mradi huu.
Wasomi kama Prof Muhongo, Nape, Zito Kabwe walipinga kwa kuandaa pepa ndefu na tafiti mbalimbali kuonyesha mradi haufai kabisa na utasababisha uchumi wa mikoa ya kusini kusinyaa!
Sasa hivi mradi umekamilika wamekaa kimya bila kutuonyesha hayo madhara.
Wewe Prof Muhongo na Nape tunawauliza uchumi wa mikoa ya kusini umesinyaa sababu ya bwawa la umeme?
Vipi kama Magufuli angefuata ushauri wa wasomi hawa?
Zitto asikupotezee muda boss!

kama Taifa tujiandae na hukumu ya mchongo ya kesi ya mchongo pale H.C, na tuchukue hatua accordingly ! tuamke waTanganyika
 

Attachments

  • Screenshot_20260903-090450.jpg
    Screenshot_20260903-090450.jpg
    108.9 KB · Views: 3
X(twitter) ya Zito Kabwe imepoaa mara tu baada ya Rais Samia kuapishwa urais wa nchi yetu.

Kipindi Magufuli akiwa Rais (2016 -2021) twitter ya Zito Kabwe ilikuwa moto wa kuotea mbali ,alikosoa kila kitu cha Magufuli kuanzia tembea yake ,ongea yake, miradi, tumbua yake na hata unywele wa Magufuli ukitikisika alikosoa

Siku Magufuli anamtumbua January Makamba kwenye uwaziri wa muungano na mazingira aliibuka Zito Kabwe na andiko refu kwenye mitandao ya kijamii akiita kitendo hicho ni udikteta usiokubalika mbele ya macho ya Mungu.

Mara paap akaapishwa Rais Samia akamtumbua spika wa bunge ambaye ni muhimili unaojitegemea lakini Zito Kabwe kimya,

Rais Samia akamtumbua January Makamba lakini Zito Kabwe kimya!

Rais Samia ametumbua hadi makamu wa Rais Dk Nchimbi ambaye ni the second strongest man in the country lakini Zito Kabwe yupo kimyaaa!

Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere umenifundisha kwamba si kila ushauri unaotoka kwa msomi ni wa kusikiliza hata kama huyo msomi ni profesa, kabla hujasikiliza ushauri wake muulize kwanza amesomea nini?
Ujenzi wa bwawa hili ulipingwa na wasomi, hamna darasa la saba hata mmoja aliyepinga mradi huu.
Wasomi kama Prof Muhongo, Nape, Zito Kabwe walipinga kwa kuandaa pepa ndefu na tafiti mbalimbali kuonyesha mradi haufai kabisa na utasababisha uchumi wa mikoa ya kusini kusinyaa!
Sasa hivi mradi umekamilika wamekaa kimya bila kutuonyesha hayo madhara.
Wewe Prof Muhongo na Nape tunawauliza uchumi wa mikoa ya kusini umesinyaa sababu ya bwawa la umeme?
Vipi kama Magufuli angefuata ushauri wa wasomi hawa?
Ama kweli 'Nyani haoni kundule'
We Mjane wa shetani lenu la Chato hujioni hata wewe ulivyopiga U-turn kweli!!
Utapata tabu sn Mjane, kama vp mfate Chato
 
It's all about itikadi haya mambo mboni yako wazi,kwa uelewa wangu wa kuishi na jamii mbalimbali hakuna Muha,Mndengereko,Mmakonde,Mzaramo,Mmanyema mwenye akili hata awe amesoma kiasi gani linapokuja suala la itikadi ya kidini

Ukweli ni huo mje hapa mnipopoe.
 
It's all about itikadi haya mambo mboni yako wazi,kwa uelewa wangu wa kuishi na jamii mbalimbali hakuna Muha,Mndengereko,Mmakonde,Mzaramo,Mmanyema mwenye akili hata awe amesoma kiasi gani linapokuja suala la itikadi ya kidini

Ukweli ni huo mje hapa mnipopoe.
Hapo umenena kweli
 
X(twitter) ya Zito Kabwe imepoaa mara tu baada ya Rais Samia kuapishwa urais wa nchi yetu.

Kipindi Magufuli akiwa Rais (2016 -2021) twitter ya Zito Kabwe ilikuwa moto wa kuotea mbali ,alikosoa kila kitu cha Magufuli kuanzia tembea yake ,ongea yake, miradi, tumbua yake na hata unywele wa Magufuli ukitikisika alikosoa

Siku Magufuli anamtumbua January Makamba kwenye uwaziri wa muungano na mazingira aliibuka Zito Kabwe na andiko refu kwenye mitandao ya kijamii akiita kitendo hicho ni udikteta usiokubalika mbele ya macho ya Mungu.

Mara paap akaapishwa Rais Samia akamtumbua spika wa bunge ambaye ni muhimili unaojitegemea lakini Zito Kabwe kimya,

Rais Samia akamtumbua January Makamba lakini Zito Kabwe kimya!

Rais Samia ametumbua hadi makamu wa Rais Dk Nchimbi ambaye ni the second strongest man in the country lakini Zito Kabwe yupo kimyaaa!

Ujenzi wa bwawa la umeme la Nyerere umenifundisha kwamba si kila ushauri unaotoka kwa msomi ni wa kusikiliza hata kama huyo msomi ni profesa, kabla hujasikiliza ushauri wake muulize kwanza amesomea nini?
Ujenzi wa bwawa hili ulipingwa na wasomi, hamna darasa la saba hata mmoja aliyepinga mradi huu.
Wasomi kama Prof Muhongo, Nape, Zito Kabwe walipinga kwa kuandaa pepa ndefu na tafiti mbalimbali kuonyesha mradi haufai kabisa na utasababisha uchumi wa mikoa ya kusini kusinyaa!
Sasa hivi mradi umekamilika wamekaa kimya bila kutuonyesha hayo madhara.
Wewe Prof Muhongo na Nape tunawauliza uchumi wa mikoa ya kusini umesinyaa sababu ya bwawa la umeme?
Vipi kama Magufuli angefuata ushauri wa wasomi hawa?
Ww mbona unajifanya kuchukia utekaji wa Samia hali ya kuwa ulikuwa ukiushangilia kipindi cha magufuri?
Ww mbona unajifanya kuchukia ufisadi wa Samia hali ya kuwa ulishangilia baada ya pro Asad kuondolewa ofisini kihuni na Magu baada ya kufichua wizi wa 1.5 trion,mbona ulishangilia pesa za uma kutumiwa kununua wapinzani ili wajiunge ccm?
Mbona Sasa hivi unajifanya kusikitika lisu kuwa jera Hali ya kuwa ulishangilia lisu kupingwa lisasi na magufuri Kwa kisingizio kuwa ni msariti?

Kiufupi tabia ya zito anayo ionesha Sasa anawakilisha %98 ya watz ,kawaida watanzania huwa hawahukumu vitendo Bali huwa wanahukimu Kwa kuangalia ni nani aliye vitenda.
 
Zitto ni mfia dini ivyo hawezi kukosoa utawala wa kiongozi muislam. Sio yeye tu yupo pia Fatma Karume, same Og.

Unaporuhusu ukweli utawaliwe na kupindishwa na dini yako, elimu yako inakuwa ni ya bure. Watu kama Hawa ndio wanafanya dunia ya wenye akili waone uislam ni dini ya lowest IQ people.

Inaaminika kwa wenye akili kuwa muislam ata awe na degree 10 elimu haiwezi kumbadilisha aendane na mahitaji ya dunia ya sasa. Muislam ni victim wa Qur'an na wanawake ndio kabisa inawakandamiza na wanashindwa kufikiri Kwa uhuru.
 
MI
Zitto ni mfia dini ivyo hawezi kukosoa utawala wa kiongozi muislam. Sio yeye tu yupo pia Fatma Karume, same Og.

Unaporuhusu ukweli utawaliwe na kupindishwa na dini yako, elimu yako inakuwa ni ya bure. Watu kama Hawa ndio wanafanya dunia ya wenye akili waone uislam ni dini ya lowest IQ people.

Inaaminika kwa wenye akili kuwa muislam ata awe na degree 10 elimu haiwezi kumbadilisha aendane na mahitaji ya dunia ya sasa. Muislam ni victim wa Qur'an na wanawake ndio kabisa inawakandamiza na wanashindwa kufikiri Kwa uhuru.
Ni ujinga sana kusaliti nchi yako kisa dini
 
Back
Top Bottom