Mtu mwenye deni la trillioni 100 ni tajiri kuliko mwenye bilioni 100 kwenye akaunti yake, kuna mtu anabisha?

Sibishi.
tapatalk_1531839507770.jpeg


dodge
 
Mleta mada, fafanua hoja yako kisha ndo tujue tuchangie ktk muelekeo upi.
Vinginevyo hoja yako iliyoishia kwenye heading haina ladha wala mashiko kujadiliwa!!!
 
kama kanizungusha hata chakula ntamnyima.

Haya turudi kwenye mada niliyokubishia.
sasa ulimwamini kwa lipi hadi ukamkopesha milioni 10? si lazima kulikuwa na 'uaminifu' kati yenu, hata kama amevunja uaminifu, bado kuna kitu kilikufanya aaminike hapo awali, na huo ndio utajiri wake..
 
sasa ulimwamini kwa lipi hadi ukamkopesha milioni 10? si lazima kulikuwa na 'uaminifu' kati yenu, hata kama amevunja uaminifu, bado kuna kitu kilikufanya aaminike hapo awali, na huo ndio utajiri wake..
Hili jibu kama ndio linajibu mada uliyoleta basi hakuna mantiki yoyote hapa!.

Umesema mtu mwenye deni la trilioni 100 (wakati huu-present) ni tajiri kuliko mtu mwenye millioni 100 bank (wakati huu-present) halafu unakuja niuliza tena kwanini nilimuamini nikamkopesha (wakati uliopita-past) bila fikiria kwanini wakati huo nilimkopesha!?..

Nakuuliza hilo hilo swali:
Mtu mwenye deni la 100T akija kukukopa na mtu mwenye akiba ya 100M akija kukukopa nani utamkopesha kwanza!?
 
Hili jibu kama ndio linajibu mada uliyoleta basi hakuna mantiki yoyote hapa!.

Umesema mtu mwenye deni la trilioni 100 (wakati huu-present) ni tajiri kuliko mtu mwenye millioni 100 bank (wakati huu-present) halafu unakuja niuliza tena kwanini nilimuamini nikamkopesha (wakati uliopita-past) bila fikiria kwanini wakati huo nilimkopesha!?..

Nakuuliza hilo hilo swali:
Mtu mwenye deni la 100T akija kukukopa na mtu mwenye akiba ya 100M akija kukukopa nani utamkopesha kwanza!?
Kati ya bakkressa na Serikali ya Tanzania nani ana deni kubwa? Na je, si kweli kwamba kuna wakati serikali huwa inakosa hata senti kwenye akaunti yake baada ya kulipa mishahara ya watumishi?
 
Utajiri unapimwa kwa assets(mali) ulizonazo, kwa ufupi kabisa ASSETS = LIABILITIES + EQUITY....... Yaaani Mali(asset)zako ni jumla madeni yako(liability) + mtaji wako(Equity)

Mkopo ni LIABILITY lakini sio mbaya kama unavyodhani, ntaeleza hapa.

Kukopa kiTAJIRI ni pale unakopa then unaconvert part kubwa ya mkopo kuwa assets(mali) mf: biashara, mitambo, ardhi, majengo, hatimiliki etc. na sehem ndogo kuwa matumizi ya kawaida.

Kukopa kiMASKINI ni pale unapokopa then unaconvert part kubwa ya mkopo kuwa matumizi ya kawaida(expenses) mf: matanuzi na bata, kutoa misaada, safari za gharama, manunuzi ya vitu vinavyokwisha thamani haraka etc. na sehem ndogo kuwa mali.

So kujibu swali lako, mwenye deni la Trillioni 100 ni tajiri kuliko mwenye cash Billioni 100 kama alikopa kiTAJIRI kwa sababu atakuwa na mali zenye thamani kubwa kuliko mwenye cash ya Bil.100.

Ukitaka kuelewa hili, chunguza vitabu vya mahesabu vya makampuni makubwa na matajiri wote unaowajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampuni ya Apple in Cash in reserve ya $250B.

Ila inakopa kufinance shughuli zake.

Beberu anatumia hela ya mwingine kutengeneza faida.

Sawa na benki wanavyotumia deposits zako kukopesha mwingine ili wao wapate faida.

Madeni yatalipwa kwa cashflows zinazotokana na shughuli zake.

Hata kwenye financial markets kuna kitu kinaitwa Leverage. Unakuwa na hela ila unakopa kutengeneza hela zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya bakkressa na Serikali ya Tanzania nani ana deni kubwa? Na je, si kweli kwamba kuna wakati serikali huwa inakosa hata senti kwenye akaunti yake baada ya kulipa mishahara ya watumishi?
Mifano yako hailingani na mada husika kabisa!.

Yani unamlinganisha Bakhressa (Mtu binafsi) anayeweza firisika muda wowote watu wakamgawana mali zake na Serikali (Taasisi) isiyoweza firisika ikagawanwa mali zake!..

Hebu nikuulize swali tena
ushawahi sikia Serikali imefirisika!?. Ushawahi sikia Serikali imefirika wananchi wakagana mali zake!?..

Serikali ni TAASISI HAIWEZI FIRISIKA lakini Bakhressa ni MTU BINAFSI muda wowote ANAFIRISIKA ile kampuni ikauzwa kwa highest bidder!..
 
Mifano yako hailingani na mada husika kabisa!.

Yani unamlinganisha Bakhressa (Mtu binafsi) anayeweza firisika muda wowote watu wakamgawana mali zake na Serikali (Taasisi) isiyoweza firisika ikagawanwa mali zake!..

Hebu nikuulize swali tena
ushawahi sikia Serikali imefirisika!?. Ushawahi sikia Serikali imefirika wananchi wakagana mali zake!?..

Serikali ni TAASISI HAIWEZI FIRISIKA lakini Bakhressa ni MTU BINAFSI muda wowote ANAFIRISIKA ile kampuni ikauzwa kwa highest bidder!..
Hivi wewe ni Mtanzania kweli.....au ulikwepa shule...neno Firisika ndio kiswahili cha wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom