Mtu kukopa pesa mtandaoni na kukuweka kama mdhamini bila ridhaa yako ni sawa?

Huko PesaX ukitaka kukopa unajaza form.

Miongoni mwa vipengele ni kile kinachohitaji taarifa za mtu wako wa karibu, ikiwemo namba ya simu.

Sas pindi ukishindwa kulipa, mtu yule wa karibu anabadilishwa cheo na kuwa mdhamini.

Hapo ndipo timbwiri linaanzia sasa mdhamini kuanza kupigiwa simu na kutishiwa kuletewa polisi.

Pengine iwapo mwanzo kabisa wangedai kuwa wanamuhitaji mdhamini mtu angeweza kujipanga; shida ni kwamba wanakuambia wanamuhitaji mtu wa karibu.
 
1) Mtu anakopa pesa mtandano kisha anaandika namba yako kama mtu wake wa karibu bila ridhaa yako

2) Anaposhindwa kulipa, wale waliomkopesha wanaanza kukupigia simu eti uwasaidie kumfikishia taarifa kwamba alipe deni

3) Baada ya hapo anaposhindwa kulipa deni, eti wanatishia kukuchukulia hatua z akisheria wewe kama mdhamini.

Sasa najiuliza, hawa watu wamechanganyikiwa? Wakati anakopa sikushirikishwa wala kuambiwa lolote, ila ghafla bin vuu unaitwa mdhamini, hivi kuwa na ukaribu na mtu inamaanisha automatically weww ni mdhamini, hii imekaaje kaaje?

Yes Sir, kuwa na ukaribu na mtu inamaanisha by default wewe nu mdhamini
 
Kilinikuta last month wakawa wananitumia message as vitisho ETI watanishitaki Kwa kosa la kushirikiana kutapeli Na Uyo mkopaji Mimi juju sijui chochote .....niliwatumia message nikawauliza mna nyaraka zenye Saini yangu zinazothothibitisha nlidhamini,,,wakati mnpeana pesa mlinishirikisha nikawaambia Mimi ndo nitaenda kuwashitak wao Kwa kunishutumu uongo Na vitisho.....wakaomba samahani wamekosea namba

 
Huko PesaX ukitaka kukopa unajaza form.

Miongoni mwa vipengele ni kile kinachohitaji taarifa za mtu wako wa karibu, ikiwemo namba ya simu.

Sas pindi ukishindwa kulipa, mtu yule wa karibu anabadilishwa cheo na kuwa mdhamini.

Hapo ndipo timbwiri linaanzia sasa mdhamini kuanza kupigiwa simu na kutishiwa kuletewa polisi.

Pengine iwapo mwanzo kabisa wangedai kuwa wanamuhitaji mdhamini mtu angeweza kujipanga; shida ni kwamba wanakuambia wanamuhitaji mtu wa karibu.
Mdhamini hawi mdhamini bila kuridhia, haijalishi wanampa jina gani, so as long as hawakumshirikisha wakati wa kukopa, hawajibiki kwao kwa lolote, dawa ni kuwashtaki kwa ‘Harrasment’
 
Nimeshapigiwa simu kama mara 4 hivi, na wanatumia namba tofauti, na ni wakali hasa! Kwa kweli wananifanyia harassment mimi wakijua kwamba siwezi kuzima simu yangu, maana yule aliyekopa kawazimia simu, ni kweli namfahamu, lakini mimi sikushirikishwa lolote wakati anakopa.

Inabidi nianze mkakati wa kuwashtaki washenzy hawa, eti wananitishia kuepeleka taarifa zangu TCRA na kuanza kunikata moja kwa moja kwenye akaunti yangu ya pesa hadi deni liishe. Nasubiri watie mkono wachukue hata mia waone moto wake.

TCRA
Sasa mie kuna mtu alinipigia ananiambia nimwambie bwana Omari alipe deni sababu mie ni mdhamini wake. Kiukweli sijui mtu anayeitwa Omari na sijawwhi kumdhamini mtu akope pesa popote pale.

Nilipomuelezea yule mwanamke aliyepiga simu akaanza kuwa mkali kwangi,kwakweli matusi yaliyonitoka alikata simu yeye mwenyewe. Shenzi kabisa.
 
Sasa mie kuna mtu alinipigia ananiambia nimwambie bwana Omari alipe deni sababu mie ni mdhamini wake. Kiukweli sijui mtu anayeitwa Omari na sijawwhi kumdhamini mtu akope pesa popote pale.

Nilipomuelezea yule mwanamke aliyepiga simu akaanza kuwa mkali kwangi,kwakweli matusi yaliyonitoka alikata simu yeye mwenyewe. Shenzi kabisa.
Safi sana, hata kama ungekuwa unamjua huyo Bwana Omary, So as long as hawakukushirikisha wakati anakopa, huwajibiki kwao kwnalolote lile!
 
Hawa wapuuzi tu,Wapuuze!, Sasa wakati jamaa anawapa no.yako Kwanini wasikupigie hapo hapo wakuulize kama unakubali au Vipi? Jamaa aliposhindwa kulipa ndio wanaanza kukusunbua
 
1B2D5639-E769-448A-BBE5-A1E236276E35.jpeg


Hapo kwenye brown wanakiri kabisa kwamba wanakupa usumbufu kwa makusudi kabisa kwa jambo ambalo hukushirikishwa, hii itakuwa ni point nzuri sana kwenye judicial proceedings.
 
1) Mtu anakopa pesa mtandano kisha anaandika namba yako kama mtu wake wa karibu bila ridhaa yako

2) Anaposhindwa kulipa, wale waliomkopesha wanaanza kukupigia simu eti uwasaidie kumfikishia taarifa kwamba alipe deni

3) Baada ya hapo anaposhindwa kulipa deni, eti wanatishia kukuchukulia hatua z akisheria wewe kama mdhamini.

Sasa najiuliza, hawa watu wamechanganyikiwa? Wakati anakopa sikushirikishwa wala kuambiwa lolote, ila ghafla bin vuu unaitwa mdhamini, hivi kuwa na ukaribu na mtu inamaanisha automatically weww ni mdhamini, hii imekaaje kaaje? 😂😂🤣🤣🤣

===========================
View attachment 2902362
Hapo kwenye brown wanakiri kabisa kwamba wanakupa usumbufu kwa makusudi kabisa kwa jambo hambalo hukushirikishwa, hii itakuwa ni point nzuri sana kwenye judicial proceedings.

Sasa mimi nataka nikope elfu 10 halafu niweke namba ya Nape Nnauye kama mdhamini, maana ninayo, halafu silipi, na yeye aanze kufaidi matunda ya sheria zake...
Sio sawa, washitaki wao na aliekuweka kuwa mdhamini bila kushauriana na wewe kwanza.

Inatakiwa hao wakupigie wewe kuhakikisha kabla hawajampa mkopo.

Ukishindwa kuwashitaki ina maana unaelewa unachokifanya na unatuzuga tu JF.
 
Kilinikuta last month wakawa wananitumia message as vitisho ETI watanishitaki Kwa kosa la kushirikiana kutapeli Na Uyo mkopaji Mimi juju sijui chochote .....niliwatumia message nikawauliza mna nyaraka zenye Saini yangu zinazothothibitisha nlidhamini,,,wakati mnpeana pesa mlinishirikisha nikawaambia Mimi ndo nitaenda kuwashitak wao Kwa kunishutumu uongo Na vitisho.....wakaomba samahani wamekosea namba
Walikuja moto, wakarudi baridi!
 
Hawa jamaa hata mtu asipo kuweka mdhamini, unapodownload app yao kuna kipengele cha kuwapa access ya contacts na SMS, kwahiyo wanauwezo wa kuangalia majina na namba unazo wasiliananazo mara kwa mara, binafsi niliwahi kopa 30k siku moja kabla ya muda wa marejesho nikiwa nimeenda shambani maeneo flani network chenga nikawa sipatikani kurudi jioni nakuta wamempigia wife, mother na bro hao wote sikuwaweka kama wadhamini Wangu, walivyokuja kunipigia mimi nikawaambia kwa jinsi mlivyonichoresha siwalipi hiyo hela huu mwezi wa 6 sasa, inshort nikwamba jamaa wanatumia vibaya taarifa za wateja/wakopaji kinyume na sheria. n.b wengi wanaokopa huwa wanaweka namba na majina ya wadhamini ya kubumba.
 
Hawa jamaa hata mtu asipo kuweka mdhamini, unapodownload app yao kuna kipengele cha kuwapa access ya contacts na SMS, kwahiyo wanauwezo wa kuangalia majina na namba unazo wasiliananazo mara kwa mara, binafsi niliwahi kopa 30k siku moja kabla ya muda wa marejesho nikiwa nimeenda shambani maeneo flani network chenga nikawa sipatikani kurudi jioni nakuta wamempigia wife, mother na bro hao wote sikuwaweka kama wadhamini Wangu, walivyokuja kunipigia mimi nikawaambia kwa jinsi mlivyonichoresha siwalipi hiyo hela huu mwezi wa 6 sasa, inshort nikwamba jamaa wanatumia vibaya taarifa za wateja/wakopaji kinyume na sheria. n.b wengi wanaokopa huwa wanaweka namba na majina ya wadhamini ya kubumba.
Kumbe ndio uhuni wanaofanya huo?! Kisha wanaharass watu ambao hata hawakuhusika wakati wa kukopa, watapata kesi moja tamu sana, ngoja waendelee kuleta uwendawazimu wao..
 
Back
Top Bottom