Mtu kama Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?

Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?

Nimemsikia muda mrefu kwenye migogoro ya mpira mara aibukie TFF mara aibukie Simba hadi akafungiwa..

Ni aina ya wale 'watafuta fursa 'popote..

Kaanzia kwenye mpira ambako hakuna achievement yoyote inayoweza kumhusisha zaidi ya migogoro hadi kama kaenda jaribu bahati kwenye Ubunge akashinda Kwa mbeleko za chama
Now eti ni Waziri halafu wizara nyeti Sana..

Wizara ya Utalii huyu mtu hafai hata ukatibu kata Kwa maoni yangu.

Anapewaje dhamana ya vitalu vyote vya uwindaji?.. dhamana ya kutangaza nchi na kutuletea watalii?

Tayari keshaanza kutia shaka..
Je, maamuzi yake Yana 'Green light' kutoka hata Kwa waziri Mkuu?

Mara asimamishe watu kazi mbele ya media mara awape vitalu waliowahi nyang'anywa.

Ile 'lack of coordination ' aliyosema Rais Samia naiona waziwazi Kwa huyu.

Maamuzi yake Yana 'go ahead' kutoka wapi?
Bodi ya utalii?
Idara ya wanayama pori?
Ofisi ya Waziri Mkuu?

Huyu Mtu amefikaje hapo Wizara ya Utalii? Ndo kusema mtu yeyote akiwa mbunge anaweza pewa wizara yoyote?
Amepewa wizara ya malia asili na utalii na utalii umeshakufa siku nyingi. Katiba yetu pia CCM inasema ni nzuri,kujua kusoma na kuandika, unalamba ubunge then uwaziri. Watanzania we zangu,wizara ya fedha,wizara ya madini, wizara ya malia asili na utalii,wizara ya elimu,wizara ya afya na wizara ya sheria na katiba ni wizara muhimu sana na zinahitaji watu mahiri na waadilifu.ila kwa tanzania ni opposite
 
Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?

Nimemsikia muda mrefu kwenye migogoro ya mpira mara aibukie TFF mara aibukie Simba hadi akafungiwa..

Ni aina ya wale 'watafuta fursa 'popote..

Kaanzia kwenye mpira ambako hakuna achievement yoyote inayoweza kumhusisha zaidi ya migogoro hadi kama kaenda jaribu bahati kwenye Ubunge akashinda Kwa mbeleko za chama
Now eti ni Waziri halafu wizara nyeti Sana..

Wizara ya Utalii huyu mtu hafai hata ukatibu kata Kwa maoni yangu.

Anapewaje dhamana ya vitalu vyote vya uwindaji?.. dhamana ya kutangaza nchi na kutuletea watalii?

Tayari keshaanza kutia shaka..
Je, maamuzi yake Yana 'Green light' kutoka hata Kwa waziri Mkuu?

Mara asimamishe watu kazi mbele ya media mara awape vitalu waliowahi nyang'anywa.

Ile 'lack of coordination ' aliyosema Rais Samia naiona waziwazi Kwa huyu.

Maamuzi yake Yana 'go ahead' kutoka wapi?
Bodi ya utalii?
Idara ya wanayama pori?
Ofisi ya Waziri Mkuu?

Huyu Mtu amefikaje hapo Wizara ya Utalii? Ndo kusema mtu yeyote akiwa mbunge anaweza pewa wizara yoyote?

Ni mmoja wa ile timu ilioenda kukomboa ndege zetu sauzi
 
Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?

Nimemsikia muda mrefu kwenye migogoro ya mpira mara aibukie TFF mara aibukie Simba hadi akafungiwa..

Ni aina ya wale 'watafuta fursa 'popote..

Kaanzia kwenye mpira ambako hakuna achievement yoyote inayoweza kumhusisha zaidi ya migogoro hadi kama kaenda jaribu bahati kwenye Ubunge akashinda Kwa mbeleko za chama
Now eti ni Waziri halafu wizara nyeti Sana..

Wizara ya Utalii huyu mtu hafai hata ukatibu kata Kwa maoni yangu.

Anapewaje dhamana ya vitalu vyote vya uwindaji?.. dhamana ya kutangaza nchi na kutuletea watalii?

Tayari keshaanza kutia shaka..
Je, maamuzi yake Yana 'Green light' kutoka hata Kwa waziri Mkuu?

Mara asimamishe watu kazi mbele ya media mara awape vitalu waliowahi nyang'anywa.

Ile 'lack of coordination ' aliyosema Rais Samia naiona waziwazi Kwa huyu.

Maamuzi yake Yana 'go ahead' kutoka wapi?
Bodi ya utalii?
Idara ya wanayama pori?
Ofisi ya Waziri Mkuu?

Huyu Mtu amefikaje hapo Wizara ya Utalii? Ndo kusema mtu yeyote akiwa mbunge anaweza pewa wizara yoyote?
Siku moja usishangae Mh Musukuma akawa waziri wa Fedha na Naibu waziri wake akawa Mh Lusinde, kwa sababu sifa pekee ya kuwa waziri, ni kuwa Mbunge, na sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika vizuri lugha ya Kiswahili, basi. Hawa niliowataja wote ni wabunge, hivyo wanazo sifa za kuteuliwa kuwa Mawaziri, time will tell.

Hii ndiyo Tanzania zaidi ya unavyoijua. Tiba ya vitu kama hivi vya aibu ni Rasimu ya Katiba ya Warioba, basi.
 
Anaweza akawa hana sifa kweli ila kwenye mpira kuna fitna nyingi ni kama siasa tuu Blatter alianzisha hiyo wakikuona utaleta changamoto kwenye kugombea uongozi unafungiwa maisha ni Kama huyo mwakalebela Yanga ilikua daraja tuu anataka kurudi TFF hao wakina karia wamemchugulia wamemfungia miaka mitano wanajua wanachokifanya mpira ni zaidi ya mnavyofikiri yupo kiongozi wa Arusha mkoa alikua anampinga sana karia nae kafungiwa sijui Kama kifungo kiliisha...

Huyu alifungiwa enzi ya jamal malinzi
 
Hao bodi ya utalii alisimamisha mkurugenzi wa kwa ushauri wa kipuuzi kutoka kwa CAG. Hicho kitalu hata PM hawezi kuweka ulimi wake. Wenye nchi wamerudi wanarejesha wanyama wao kibindoni. Tulieni sindano ziwaingie. Mtamkumbuka JPM muda si mrefu.
Hii inaitwa ni lack of brain consistent! Haiwezekan utuaminishe 1.CAG hajui kaz yake 2. Issue ya hicho kitalu unacholalamikia ni vyema ungeleta documents ndizo zitaonyesha uhalali wa umiliki ni wa nan 3. Kuhusu shutuma za watu kumiliki wanyama wao mbugani, ni vyema kama ungeleta ushahid kua kuna ambao so called wenye NCHI wanataka kurudi kweny pilika mbugani 4. Ujinga wa eti bila flan mamb hayaend ni akili za mbung'o kbs biashara ya mtamkumbuka flan hizi ni akili za kutojiamin na kutowaamin wengine. Over
 
Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?

Nimemsikia muda mrefu kwenye migogoro ya mpira mara aibukie TFF mara aibukie Simba hadi akafungiwa..

Ni aina ya wale 'watafuta fursa 'popote..

Kaanzia kwenye mpira ambako hakuna achievement yoyote inayoweza kumhusisha zaidi ya migogoro hadi kama kaenda jaribu bahati kwenye Ubunge akashinda Kwa mbeleko za chama
Now eti ni Waziri halafu wizara nyeti Sana..

Wizara ya Utalii huyu mtu hafai hata ukatibu kata Kwa maoni yangu.

Anapewaje dhamana ya vitalu vyote vya uwindaji?.. dhamana ya kutangaza nchi na kutuletea watalii?

Tayari keshaanza kutia shaka..
Je, maamuzi yake Yana 'Green light' kutoka hata Kwa waziri Mkuu?

Mara asimamishe watu kazi mbele ya media mara awape vitalu waliowahi nyang'anywa.

Ile 'lack of coordination ' aliyosema Rais Samia naiona waziwazi Kwa huyu.

Maamuzi yake Yana 'go ahead' kutoka wapi?
Bodi ya utalii?
Idara ya wanayama pori?
Ofisi ya Waziri Mkuu?

Huyu Mtu amefikaje hapo Wizara ya Utalii? Ndo kusema mtu yeyote akiwa mbunge anaweza pewa wizara yoyote?
Ufisadi unarudi kwa kasi kila sehemu hapa Tanzania , ujambazi pia yaani inasikitisha ni matukio kila kukicha:-
- Green miles wamerudi tena kujitwalia vitalu vya uwindaji
  • Majambazi nao wanarudi kwa kasi
  • wafanyabiashara kodi hawatoi risiti
-Makampuni ya mafuta hayaweki vinasaba kukwepa kodi
 
Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?

Nimemsikia muda mrefu kwenye migogoro ya mpira mara aibukie TFF mara aibukie Simba hadi akafungiwa..

Ni aina ya wale 'watafuta fursa 'popote..

Kaanzia kwenye mpira ambako hakuna achievement yoyote inayoweza kumhusisha zaidi ya migogoro hadi kama kaenda jaribu bahati kwenye Ubunge akashinda Kwa mbeleko za chama
Now eti ni Waziri halafu wizara nyeti Sana..

Wizara ya Utalii huyu mtu hafai hata ukatibu kata Kwa maoni yangu.

Anapewaje dhamana ya vitalu vyote vya uwindaji?.. dhamana ya kutangaza nchi na kutuletea watalii?

Tayari keshaanza kutia shaka..
Je, maamuzi yake Yana 'Green light' kutoka hata Kwa waziri Mkuu?

Mara asimamishe watu kazi mbele ya media mara awape vitalu waliowahi nyang'anywa.

Ile 'lack of coordination ' aliyosema Rais Samia naiona waziwazi Kwa huyu.

Maamuzi yake Yana 'go ahead' kutoka wapi?
Bodi ya utalii?
Idara ya wanayama pori?
Ofisi ya Waziri Mkuu?

Huyu Mtu amefikaje hapo Wizara ya Utalii? Ndo kusema mtu yeyote akiwa mbunge anaweza pewa wizara yoyote?
Hii imeandikwa na Kigwangala. Kwani waziri hana mamlaka ya kutengua maamuzi kandamizi?
Mbona hamhoji maamuzi anayo fanya Mh. Ummi kuwa adabisha wakurugenzi ambao ni wateule wa Rais??
Hebu acheni wasaidizi wa Rais wafanye kazi zao.
Kama Kigwangala ulibugi, avha wenzako wanyooshe mipaka.
 
Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?

Nimemsikia muda mrefu kwenye migogoro ya mpira mara aibukie TFF mara aibukie Simba hadi akafungiwa..

Ni aina ya wale 'watafuta fursa 'popote..

Kaanzia kwenye mpira ambako hakuna achievement yoyote inayoweza kumhusisha zaidi ya migogoro hadi kama kaenda jaribu bahati kwenye Ubunge akashinda Kwa mbeleko za chama
Now eti ni Waziri halafu wizara nyeti Sana..

Wizara ya Utalii huyu mtu hafai hata ukatibu kata Kwa maoni yangu.

Anapewaje dhamana ya vitalu vyote vya uwindaji?.. dhamana ya kutangaza nchi na kutuletea watalii?

Tayari keshaanza kutia shaka..
Je, maamuzi yake Yana 'Green light' kutoka hata Kwa waziri Mkuu?

Mara asimamishe watu kazi mbele ya media mara awape vitalu waliowahi nyang'anywa.

Ile 'lack of coordination ' aliyosema Rais Samia naiona waziwazi Kwa huyu.

Maamuzi yake Yana 'go ahead' kutoka wapi?
Bodi ya utalii?
Idara ya wanayama pori?
Ofisi ya Waziri Mkuu?

Huyu Mtu amefikaje hapo Wizara ya Utalii? Ndo kusema mtu yeyote akiwa mbunge anaweza pewa wizara yoyote?
Tunaposema UTAWALA wa Magufuli haukufuata Sheria Utamteuaje mtu wa Aina ya Ndumbaro?
 
Mimi namshauri mume wangu apige hela hapo alipo kwa sasa maana hicho cheo hatakaa nacho milele anasema hataki yy anafuata uadilifu na maadili ya kazi unaona sasa kina Ndumbaro wanapigaa. Watu waliosoma Seminari jamani bora wangekua mapadre tuu wakapige madhabaunin
 
Baada ya CCM kumuondoa Lowasa kwenye uwaziri mkuu, wakamkata jina kwenye urais kwa tuhuma za ufisadi.... tena wakishirikiana vizuri kabisa na upinzani kule bungeni

Kisha Chadema wakamchukua, Tundu na Mbowe wakapambana kumsafisha na kumkabidhi bendera ya chama agombee urais NILIWAAMINI CCM na KUWADHARAU SANA WAPINZANI

Eti yule waliyemwita fisadipapa sasa ni mtu safi hadi kuamua kumpoteza Dr Slaa
Kama ni ugonjwa Chadema wana cancer ya moyo. Waongo sana na hawaamini kamwe
Mbona uneishia njiani? Kisha ccm wakaMchukua tena baada ya kumuita mgonjwa, anayejinyea, hamuwezi kumpa Ikulu mgonjwa! Mbona haya hujayasema? Au bado Lowasa yuko Chadema? Balance story yako
 
labda aliyempendekeza* na sio aliyemteua

si kama tu yule aliyeteuliwa tume ya TCRA mpaka akaitwa Dom!

these kind of behaviors i have seen not that long ago!
 
Siamini kabisa kama vetting inafanyika maana kuna mtu namfahamu amepewa nafasi ya ujumbe kwenye sekta nyeti ambayo kwa kiasi kikubwa alifanya dhuluma na ufisadi mkubwa na aliondolewa tena kwa aibu - leo tena anarudishwa hukohuko kama mjumbe….
Mtaje hapa, usiuonee aibu ufisadi.
 
Back
Top Bottom