Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,513
- 283,989
Kwanini alifungiwa maisha kujihusisha na soka na TFFAcha uongo!! Kwanini wewe kiumbe ni muongo na mzandiki?!!!
Kwanini alifungiwa maisha kujihusisha na soka na TFFAcha uongo!! Kwanini wewe kiumbe ni muongo na mzandiki?!!!
Dah Longido boy naona umeshapandisha mori.Kwanini uadress mtanzania mwenzako kwa kabila lake punguza Ukabila ndugu.
Huyu Jaji mstaafu inawezekana ndio chanzo cha matatizo ya mtendaji mkuu!! Huyu Jaji mstaafu historia yake ya huko nyuma akifanya kazi chini ya Jaji mkuu Nyalali haipendezi na alipewa vyeo na Mwendazake kwa kujuana tu!!!Nachofahamu yule Mwenyekiti nadhani ni rtd. Thomas Mihayo.J, labda kuna mambo anayajua atamwambia Mkulu
Ni kweli ana kashfa fulani fulaniHuyu Jaji mstaafu inawezekana ndio chanzo cha matatizo ya mtendaji mkuu!! Huyu Jaji mstaafu historia yake ya huko nyuma akifanya kazi chini ya Jaji mkuu Nyalali haipendezi na alipewa vyeo na Mwendazake kwa kujuana tu!!!
Eti mtu kama huyo kafanyiwa hadi the so called "vetting"
Sasa unataka ayaamini hayo machadema ya Mbowe?Usiwaamini CCM
CCM ni genge la ajabu sana, mtu wa namna hiyo anapataje kuwa Waziri?Alifungiwa kujihusisha na soka maisha kwa utapeli
Kwa CCM sio Jambo la kushangaa kabisa, kama hela ya EPA walisema sio ya serikali Ina wenyewe, halafu hata wenyewe waliolipwa sio hao wenyewe waliopaswa kulipwa unatarajia nini😃😃 na bado jamaa wanadunda tu akina Mzindakaya walivuta mihela pale na kampuni yao ya Kagoda Investment.CCM ni genge la ajabu sana, mtu wa namna hiyo anapataje kuwa Waziri?
Jina linafanana na elimu ya watu wazima, ‘ngumbaro!’Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?
Nimemsikia muda mrefu kwenye migogoro ya mpira mara aibukie TFF mara aibukie Simba hadi akafungiwa..
Ni aina ya wale 'watafuta fursa 'popote..
Kaanzia kwenye mpira ambako hakuna achievement yoyote inayoweza kumhusisha zaidi ya migogoro hadi kama kaenda jaribu bahati kwenye Ubunge akashinda Kwa mbeleko za chama
Now eti ni Waziri halafu wizara nyeti Sana..
Wizara ya Utalii huyu mtu hafai hata ukatibu kata Kwa maoni yangu.
Anapewaje dhamana ya vitalu vyote vya uwindaji?.. dhamana ya kutangaza nchi na kutuletea watalii?
Tayari keshaanza kutia shaka..
Je, maamuzi yake Yana 'Green light' kutoka hata Kwa waziri Mkuu?
Mara asimamishe watu kazi mbele ya media mara awape vitalu waliowahi nyang'anywa.
Ile 'lack of coordination ' aliyosema Rais Samia naiona waziwazi Kwa huyu.
Maamuzi yake Yana 'go ahead' kutoka wapi?
Bodi ya utalii?
Idara ya wanayama pori?
Ofisi ya Waziri Mkuu?
Huyu Mtu amefikaje hapo Wizara ya Utalii? Ndo kusema mtu yeyote akiwa mbunge anaweza pewa wizara yoyote?
Unadharau wanawake wakati mmoja wao ndo boss wetu sote?!Hivi mwanaume kabisa mtu mzima!!unapataje ujasiri wa kumtuhumu mtu bila kuonyesha ushaidi,zaidi ya maneno matupu?!!
Ninavyojua hizo ni tabia za wanawake ndio wenye hulka hio.
Kwanini uadress mtanzania mwenzako kwa kabila lake punguza Ukabila ndugu.
Huyu ndiyo alisema Chato ni kitovu cha utalii huko kanda ya ziwaNdumbaro ni dalali!
Aibu hiiKuna vitanzania fulani hivi vilazaliwa na mapungufu kibao na vinaishi ishi tu kwasababu ya haki ya kuishi,, hivyo ndivyo vinavyofaa kuongoza nchi hii.
Sisi Watanzania wengine tubaki kuwa wakosoaji na walipa kodi na wapiga kura tu.
Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?
Nimemsikia muda mrefu kwenye migogoro ya mpira mara aibukie TFF mara aibukie Simba hadi akafungiwa..
Ni aina ya wale 'watafuta fursa 'popote..
Kaanzia kwenye mpira ambako hakuna achievement yoyote inayoweza kumhusisha zaidi ya migogoro hadi kama kaenda jaribu bahati kwenye Ubunge akashinda Kwa mbeleko za chama
Now eti ni Waziri halafu wizara nyeti Sana..
Wizara ya Utalii huyu mtu hafai hata ukatibu kata Kwa maoni yangu.
Anapewaje dhamana ya vitalu vyote vya uwindaji?.. dhamana ya kutangaza nchi na kutuletea watalii?
Tayari keshaanza kutia shaka..
Je, maamuzi yake Yana 'Green light' kutoka hata Kwa waziri Mkuu?
Mara asimamishe watu kazi mbele ya media mara awape vitalu waliowahi nyang'anywa.
Ile 'lack of coordination ' aliyosema Rais Samia naiona waziwazi Kwa huyu.
Maamuzi yake Yana 'go ahead' kutoka wapi?
Bodi ya utalii?
Idara ya wanayama pori?
Ofisi ya Waziri Mkuu?
Huyu Mtu amefikaje hapo Wizara ya Utalii? Ndo kusema mtu yeyote akiwa mbunge anaweza pewa wizara yoyote?
Watz mara nyingi,tatizo kubwa la kulia na kuwa na gubu, inatokea mtu au kundi kunyang'anywa tonge alozoea mdomoni, na hivyo kupelekea vita kama unavyoona... kaazikweli kweli.Wewe unaonekana ni mswahili ulie jaa hila na fitna!!unamuandika mtu kwa taarifa za uongo.
Unamtolea mtu tuhuma bila kuonyesha ushaidi wowote wa hizo tuhuma ulizoziweka hapa!! Unasikiliza maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa ndio unaleta hapa jukwaani.
Hatimaye Ndumbalo mwenyewe aja juu kama moto wa kifuuWewe unaonekana ni mswahili ulie jaa hila na fitna!!unamuandika mtu kwa taarifa za uongo.
Unamtolea mtu tuhuma bila kuonyesha ushaidi wowote wa hizo tuhuma ulizoziweka hapa!! Unasikiliza maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa ndio unaleta hapa jukwaani.
Nilikuwa natamani sana kujua Unashabikia Timu ipi kati ya Giants Wawili Tanzania na leo angalau naweza Kuhisi Timu unayoshabikia kutokana tu na Maelezo yako katika Aya za mwanzo.Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?
Nimemsikia muda mrefu kwenye migogoro ya mpira mara aibukie TFF mara aibukie Simba hadi akafungiwa..
Ni aina ya wale 'watafuta fursa 'popote..
Kaanzia kwenye mpira ambako hakuna achievement yoyote inayoweza kumhusisha zaidi ya migogoro hadi kama kaenda jaribu bahati kwenye Ubunge akashinda Kwa mbeleko za chama
Now eti ni Waziri halafu wizara nyeti Sana..
Wizara ya Utalii huyu mtu hafai hata ukatibu kata Kwa maoni yangu.
Anapewaje dhamana ya vitalu vyote vya uwindaji?.. dhamana ya kutangaza nchi na kutuletea watalii?
Tayari keshaanza kutia shaka..
Je, maamuzi yake Yana 'Green light' kutoka hata Kwa waziri Mkuu?
Mara asimamishe watu kazi mbele ya media mara awape vitalu waliowahi nyang'anywa.
Ile 'lack of coordination ' aliyosema Rais Samia naiona waziwazi Kwa huyu.
Maamuzi yake Yana 'go ahead' kutoka wapi?
Bodi ya utalii?
Idara ya wanayama pori?
Ofisi ya Waziri Mkuu?
Huyu Mtu amefikaje hapo Wizara ya Utalii? Ndo kusema mtu yeyote akiwa mbunge anaweza pewa wizara yoyote?
Nilikuwa natamani sana kujua Unashabikia Timu ipi kati ya Giants Wawili Tanzania na leo angalau naweza Kuhisi Timu unayoshabikia kutokana tu na Maelezo yako katika Aya za mwanzo.
Hayo mengine ya Kiutendaji nakuachia Wewe na Mheshimiwa Rais Mama Samia, ila ninachojua tu ni kwamba mpaka Kateuliwa Yeye basi Vigezo vingi vilizingatiwa vya 'Kumchakata' na ndiyo maana akapewa Yeye hiyo Dhamana ya 'Docket' hiyo na ama hukupewa Wewe au hawakupewa hao uliodhani ( unaodhani ) wako competent Kumzidi Dkt. Damas Ndumbaro ( Mwana Simba SC Mwenzangu )
Muacheni tu afanye Kazi yake anaiweza.
Ndumbaro ni dalali!