change formula
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 694
- 1,459
Wewe maskini!! Acha uchawi fanya kazi upate ndururu zako,utaishia kunywa gahawa na kulaumu wenzako mpaka lini?!!Mpiga dili tu wewe. Tangu ulipokuwa Tazara! Kuna mtu asiye kufahamu wewe?
Kama Mh.Ndumbaro ni fisadi ebu ainisha ufisadi wake hapa, ili watu wajue na sio porojo zako za kibako.