Mtu kama Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?

Mtu kama Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?

Mimi ni Simba kuliko unavyo dhani..
Nimeishi mtaa mmoja na Hassan Afif..
Super sub ..kocha mchezaji..
Na nilikuwepo uwanjani siku hiyo wanaipigia SC Villa ya Uganda 3-0..wanachukua ubingwa wa Africa Mashariki...
Safi sana Mkuu. Je, uliiona Siku ile Kazi ya Jamhuri Kihwelo Julio Mrema alivyomuweka Mfukoni kabisa Mshambuliaji Hatari wa SC Villa Magid Musisi?

Bora Wewe uliingia Kihalali Mechi ile ila Mimi niliingilia Ukutani huku usawa wa ilipo Petrol Station ya Mgulani tena kwa kutumia Kamba halafu Hela inaiweka Mdomoni na ukifika kule Juu yule mwenye Kamba ( Askari ) anaanza kuinyofoa Pesa Mdomoni kisha anakuruhusu uzame Uwanjani.

Nimefurahi tu kujua Wewe ni Simba SC.
 
Anaweza akawa hana sifa kweli ila kwenye mpira kuna fitna nyingi ni kama siasa tuu Blatter alianzisha hiyo wakikuona utaleta changamoto kwenye kugombea uongozi unafungiwa maisha ni Kama huyo mwakalebela Yanga ilikua daraja tuu anataka kurudi TFF hao wakina karia wamemchugulia wamemfungia miaka mitano wanajua wanachokifanya mpira ni zaidi ya mnavyofikiri yupo kiongozi wa Arusha mkoa alikua anampinga sana karia nae kafungiwa sijui Kama kifungo kiliisha...
 
Huyu Jaji mstaafu inawezekana ndio chanzo cha matatizo ya mtendaji mkuu!! Huyu Jaji mstaafu historia yake ya huko nyuma akifanya kazi chini ya Jaji mkuu Nyalali haipendezi na alipewa vyeo na Mwendazake kwa kujuana tu!!!

Umeandika mpaka nikafikiri ni mie niliandika halafu nikawa nimesahau kuwa niliandika, kwa tunaomjua huyo bwana bora tuishie kukaa kimya
 
Huyu mheshimiwa hata alipokwenda Tazara alionyesha ufanisi chini ya kiwango. Hakuna jipya alilolibuni kuisaidia Tazara.Siasa huwa nyakati zingine inaleta uchaguzi wa kikanda kama anatokea Songea basi si mbaya sana.
 
Hivi huyu ndo alitangaza chato kua kitovu cha utalii akiwa katikati ya shamba la mahindi?
 
Huyu Mtu amefikaje hapo Wizara ya Utalii? Ndo kusema mtu yeyote akiwa mbunge anaweza pewa wizara yoyote?
Nahisi Kama unafanya shambulio binafsi
Ndumbaro ni mwanasheria nguli mwenye PhD,alifungiwa na Malinzi baada ya kuhisi anautaka urais wa Tff
Ukiangalia Sheria uwindaji waziri Ana nguvu kubwa sana inayopelekea manung'uniko toka upande utakaoumizwa
Kwa Kagasheki,Maghembe,Nyalandu na kigwangala Mambo yalikua Kama haya
Nafikiri ungeishambulia Sheria tu ya uwindaji
 
Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?

Nimemsikia muda mrefu kwenye migogoro ya mpira mara aibukie TFF mara aibukie Simba hadi akafungiwa..

Ni aina ya wale 'watafuta fursa 'popote..

Kaanzia kwenye mpira ambako hakuna achievement yoyote inayoweza kumhusisha zaidi ya migogoro hadi kama kaenda jaribu bahati kwenye Ubunge akashinda Kwa mbeleko za chama
Now eti ni Waziri halafu wizara nyeti Sana..

Wizara ya Utalii huyu mtu hafai hata ukatibu kata Kwa maoni yangu.

Anapewaje dhamana ya vitalu vyote vya uwindaji?.. dhamana ya kutangaza nchi na kutuletea watalii?

Tayari keshaanza kutia shaka..
Je, maamuzi yake Yana 'Green light' kutoka hata Kwa waziri Mkuu?

Mara asimamishe watu kazi mbele ya media mara awape vitalu waliowahi nyang'anywa.

Ile 'lack of coordination ' aliyosema Rais Samia naiona waziwazi Kwa huyu.

Maamuzi yake Yana 'go ahead' kutoka wapi?
Bodi ya utalii?
Idara ya wanayama pori?
Ofisi ya Waziri Mkuu?

Huyu Mtu amefikaje hapo Wizara ya Utalii? Ndo kusema mtu yeyote akiwa mbunge anaweza pewa wizara yoyote?
Mhhhhh!
So obvious!
Why is this so obvious jamani?
Kwa vile haikuwa wewe ndo unamwandika mwenzio hivo?

Ndumbaro is not that person you are trying to mould...

He has integrity and knows his way....

At least he is not as Corrupt...!
 
Nilikuwa natamani sana kujua Unashabikia Timu ipi kati ya Giants Wawili Tanzania na leo angalau naweza Kuhisi Timu unayoshabikia kutokana tu na Maelezo yako katika Aya za mwanzo.

Hayo mengine ya Kiutendaji nakuachia Wewe na Mheshimiwa Rais Mama Samia, ila ninachojua tu ni kwamba mpaka Kateuliwa Yeye basi Vigezo vingi vilizingatiwa vya 'Kumchakata' na ndiyo maana akapewa Yeye hiyo Dhamana ya 'Docket' hiyo na ama hukupewa Wewe au hawakupewa hao uliodhani ( unaodhani ) wako competent Kumzidi Dkt. Damas Ndumbaro ( Mwana Simba SC Mwenzangu )

Muacheni tu afanye Kazi yake anaiweza.
Wewe ni moja kati ya watu wapuuzi sana humu jukwaani
 
Mimi ni Simba kuliko unavyo dhani..
Nimeishi mtaa mmoja na Hassan Afif..
Super sub ..kocha mchezaji..
Na nilikuwepo uwanjani siku hiyo wanaipigia SC Villa ya Uganda 3-0..wanachukua ubingwa wa Africa Mashariki...
Tell her
 
Safi sana Mkuu. Je, uliiona Siku ile Kazi ya Jamhuri Kihwelo Julio Mrema alivyomuweka Mfukoni kabisa Mshambuliaji Hatari wa SC Villa Magid Musisi?

Bora Wewe uliingia Kihalali Mechi ile ila Mimi niliingilia Ukutani huku usawa wa ilipo Petrol Station ya Mgulani tena kwa kutumia Kamba halafu Hela inaiweka Mdomoni na ukifika kule Juu yule mwenye Kamba ( Askari ) anaanza kuinyofoa Pesa Mdomoni kisha anakuruhusu uzame Uwanjani.

Nimefurahi tu kujua Wewe ni Simba SC.
kwa izo slope za kuingia bure utakuja kutatuliwa
 
Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?

Nimemsikia muda mrefu kwenye migogoro ya mpira mara aibukie TFF mara aibukie Simba hadi akafungiwa..

Ni aina ya wale 'watafuta fursa 'popote..

Kaanzia kwenye mpira ambako hakuna achievement yoyote inayoweza kumhusisha zaidi ya migogoro hadi kama kaenda jaribu bahati kwenye Ubunge akashinda Kwa mbeleko za chama
Now eti ni Waziri halafu wizara nyeti Sana..

Wizara ya Utalii huyu mtu hafai hata ukatibu kata Kwa maoni yangu.

Anapewaje dhamana ya vitalu vyote vya uwindaji?.. dhamana ya kutangaza nchi na kutuletea watalii?

Tayari keshaanza kutia shaka..
Je, maamuzi yake Yana 'Green light' kutoka hata Kwa waziri Mkuu?

Mara asimamishe watu kazi mbele ya media mara awape vitalu waliowahi nyang'anywa.

Ile 'lack of coordination ' aliyosema Rais Samia naiona waziwazi Kwa huyu.

Maamuzi yake Yana 'go ahead' kutoka wapi?
Bodi ya utalii?
Idara ya wanayama pori?
Ofisi ya Waziri Mkuu?

Huyu Mtu amefikaje hapo Wizara ya Utalii? Ndo kusema mtu yeyote akiwa mbunge anaweza pewa wizara yoyote?
Marehemu dikteta alikuwa anajiteulia tu.bila kupokea ushauri wa mtu yeyote, vichaa ndiyo walivyo
 
Safi sana Mkuu. Je, uliiona Siku ile Kazi ya Jamhuri Kihwelo Julio Mrema alivyomuweka Mfukoni kabisa Mshambuliaji Hatari wa SC Villa Magid Musisi?

Bora Wewe uliingia Kihalali Mechi ile ila Mimi niliingilia Ukutani huku usawa wa ilipo Petrol Station ya Mgulani tena kwa kutumia Kamba halafu Hela inaiweka Mdomoni na ukifika kule Juu yule mwenye Kamba ( Askari ) anaanza kuinyofoa Pesa Mdomoni kisha anakuruhusu uzame Uwanjani.

Nimefurahi tu kujua Wewe ni Simba SC.
Magid Musisi alifarika December 2005

Enzi za akina Issa Sekatawa, Haruna Muburi, Geofrey Mutyaba, George Samugerere ilikuwa balaa

Ile Kombe la Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati haikuwa Mchezo

Tanzania
1. Simba na Yanga
Zanzibar
2. Shanghani/ Mlandege/ Small Simba/Malindi
3. Kenya
Gor Mahia na AFC Leopards/ Nzoia Sugar/ Bandari
4. Uganda
SC Villa na Express
5. Rwanda
APR
6. Burundi
Kiyovu
7. Ethiopia
St. George
Etc


Enzi hizo pira linapigwa
Timu za Uganda zinakomaa hatari

Sasa hivi hakuna lolote
HAKUNA
 
Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?

Nimemsikia muda mrefu kwenye migogoro ya mpira mara aibukie TFF mara aibukie Simba hadi akafungiwa..

Ni aina ya wale 'watafuta fursa 'popote..

Kaanzia kwenye mpira ambako hakuna achievement yoyote inayoweza kumhusisha zaidi ya migogoro hadi kama kaenda jaribu bahati kwenye Ubunge akashinda Kwa mbeleko za chama
Now eti ni Waziri halafu wizara nyeti Sana..

Wizara ya Utalii huyu mtu hafai hata ukatibu kata Kwa maoni yangu.

Anapewaje dhamana ya vitalu vyote vya uwindaji?.. dhamana ya kutangaza nchi na kutuletea watalii?

Tayari keshaanza kutia shaka..
Je, maamuzi yake Yana 'Green light' kutoka hata Kwa waziri Mkuu?

Mara asimamishe watu kazi mbele ya media mara awape vitalu waliowahi nyang'anywa.

Ile 'lack of coordination ' aliyosema Rais Samia naiona waziwazi Kwa huyu.

Maamuzi yake Yana 'go ahead' kutoka wapi?
Bodi ya utalii?
Idara ya wanayama pori?
Ofisi ya Waziri Mkuu?

Huyu Mtu amefikaje hapo Wizara ya Utalii? Ndo kusema mtu yeyote akiwa mbunge anaweza pewa wizara yoyote?
Jamaa alitia aibu taifa kwa kwenda kumpokea youtuber airport,jamaa zero kabisa
 
Damas Ndumbaro anakuwaje Waziri?

Nimemsikia muda mrefu kwenye migogoro ya mpira mara aibukie TFF mara aibukie Simba hadi akafungiwa..

Ni aina ya wale 'watafuta fursa 'popote..

Kaanzia kwenye mpira ambako hakuna achievement yoyote inayoweza kumhusisha zaidi ya migogoro hadi kama kaenda jaribu bahati kwenye Ubunge akashinda Kwa mbeleko za chama
Now eti ni Waziri halafu wizara nyeti Sana..

Wizara ya Utalii huyu mtu hafai hata ukatibu kata Kwa maoni yangu.

Anapewaje dhamana ya vitalu vyote vya uwindaji?.. dhamana ya kutangaza nchi na kutuletea watalii?

Tayari keshaanza kutia shaka..
Je, maamuzi yake Yana 'Green light' kutoka hata Kwa waziri Mkuu?

Mara asimamishe watu kazi mbele ya media mara awape vitalu waliowahi nyang'anywa.

Ile 'lack of coordination ' aliyosema Rais Samia naiona waziwazi Kwa huyu.

Maamuzi yake Yana 'go ahead' kutoka wapi?
Bodi ya utalii?
Idara ya wanayama pori?
Ofisi ya Waziri Mkuu?

Huyu Mtu amefikaje hapo Wizara ya Utalii? Ndo kusema mtu yeyote akiwa mbunge anaweza pewa wizara yoyote?
Hizo ndio type za watu wa jiwe aliokuwa anataka

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Hao bodi ya utalii alisimamisha mkurugenzi wa kwa ushauri wa kipuuzi kutoka kwa CAG. Hicho kitalu hata PM hawezi kuweka ulimi wake. Wenye nchi wamerudi wanarejesha wanyama wao kibindoni. Tulieni sindano ziwaingie. Mtamkumbuka JPM muda si mrefu.
Huyo atakumbukwa kwa kuua watu

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Usiwaamini CCM

Baada ya CCM kumuondoa Lowasa kwenye uwaziri mkuu, wakamkata jina kwenye urais kwa tuhuma za ufisadi.... tena wakishirikiana vizuri kabisa na upinzani kule bungeni

Kisha Chadema wakamchukua, Tundu na Mbowe wakapambana kumsafisha na kumkabidhi bendera ya chama agombee urais NILIWAAMINI CCM na KUWADHARAU SANA WAPINZANI

Eti yule waliyemwita fisadipapa sasa ni mtu safi hadi kuamua kumpoteza Dr Slaa
Kama ni ugonjwa Chadema wana cancer ya moyo. Waongo sana na hawaamini kamwe
 
Back
Top Bottom