Mtu apimwe kwa utendaji siyo makaratasi

Mtu apimwe kwa utendaji siyo makaratasi

Kama ndivyo hivyo kwa nini yule aliyeunda helicopter kule Tunduma asiwe waziri wa sayansi na teknolojia? Mawazo mengine yanahitaji maombezi mfululizo.
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Hizo ACTIONS unamaanisha kuwa mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe hata kama ni kuingia mstuni?
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
So unataka kuaminisha watu kuwa haina maana ya kujiendeleza kielimu?
 
Ina maana kiongozi hata akifanya kosa lolote la jinai tumwache tu kwa kuwa ni mchapa kazi
???

Hakuna aliyesema kuwa hafanyi kazi. Tunachauliza ni lile kosa la kughushi vyeti.
 
Aibuuuuuuu tupu tutee watu wote siyo mmoja ,wakat JPM ameanza vita ya vyetu Feki wote mlisema safi mkakataa kusema aache tuangalie utendaji leo David Bushite mnamtetea eti tuangalie utendaji,Acheni double standard
 
Hapa kasi tu, weka mziki hatutaki maneno. Wenye vyeti kama ndo wanaoharibu akitokea mmoja hana cheti lakini akaonesha kutuvusha itabidi tukubali atuvushe. Kuna wakati wa knowledge na kuna wakati wa wisdom, ni vitu viwili tofauti na vinakidhi mahitaji mawili tofauti.

Alfajiri njema!
Watani zangu wanafahamika sana kwa kupenda kusoma, lkn ukimkuta Mhaya mjinga, basi huwa ni mjinga kweli kweli...hata asome mpk wapi ujinga huwa haumtoki.

Rweyemamu, unajua maana ya neno WISDOM? Kama unajua maana yake, hebu nidadavulie ni aina gani ya WISDOM iliyotumika kuwataja watuhumiwa hadharani kiasi wanapata mwanya wa kuficha ushahidi na baadaye tunabakiwa na malumbano tu na bado tunaambiwa tupige makofi na kusifu?

Itafute elimu ili mwili wako usidhalilike.
 
Hayo ni maneno ya mtu ambaye hajasoma chochote, sawa na maneno ya maskini kukaa anajifariji kua wote kaburi ni moja huku ukweli uko wazi.

Mtu yeyote aliyeenda shule akachukukia serious elimu yake anajua umuhimu wa mambo yanayofundishwa shuleni. Ukienda kwa kukurupuka utaishia kuingia loss, una deal na watu smart utafunguliwa kesi uishie kulipa mabilioni kwa move moja tu ya kijinga. Mnajifanya hamuoni swala la IPTL watu wanalipwa 300million kila siku?

Usicheze na watu wanaotumia ubongo na wewe unatumia moyo, utafeli tu, chukulieni na mfano wa Zimbabwe, yule mzee anajifanya akisema yanatekelezwa bila pingamizi, oneni hali yao sasa, kununua mkate kwa bilioni. Watu ambao hamjasoma tafadhali msiwe mnatoa comment kuhusu elimu maana hamkuipata hamjui umuhimu wake zaidi ya story za vijiwezi mlizolishwa. Hakuna kitu kitaiokoa Tanzania kama elimu.
Hata ktk ufundi unakuta mtu anakipaji cha ufundi lakini hajasoma matokeo yake a nafanya makosa yakutokusoma anaacha mambo muhimu kwasababu hajui ni kwanini yanafanyika ELIMU ni muhimu sana. Usimwache ELIMU aende. Kama elimu haina umuhimu usighushi.
 
Kunavitu watu wanaongea kama sijui wanatumia akili za usiku.Leo tupime mtu kwa utendaji na sio CV kunasababu gani za kuwa na vyeti? Ni ujinga kutetea hili kwani unapozungumzia CV za mtu zinahusisha na utendaji ndani yake lakini tutampimaje mtu kwa maneno yake tu? Maana hata hayo matendo mengi mtu wameshindwa kuyatekeleza.hakuna namna nyingine ya kufanya Leo mtu asie na elimu akawa bora mbele ya watu wenye elimu.
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Uko sahihi kabisa..... hatupigi kelele eti kisa bashite alipata zero.....kupata zero sio kosa kisheria....wala kuwa mkuu mkoa mwenye zero sio kosa kisheria.....kosa kisheria ni kughushi nyaraka za elimu yako ambazo umetumia kudanganya taasisi tofauti tofauti mpaka kufika hapo ulipo.....yaani mtuhumiwa angekuwa hajasoma kabisa na akapewa ukuu wa mkoa wala tusingehangaika naye.....bt kutumia cheti na jina la mtu mwingine that does it!!!!!
 
Makonda is a HERO.Nchi inahitaji watu wa calibre hii wengi. The laws were in limbo sleeping.Yeye ameziamsha to proect the public. Wenye ma-degree walikuwepo. Lakini hawakufanya kitu. Walijisahau hata kukumbusha kuwa kuna sheria. I salute Makonda. He is a GREAT HERO of this nation. We need people who are CREATIVE,PROACTIVE,EFFECTIVE as well.Katika ishu hii vyeti vimeprove failure. But the bold decisions and actions of Makonda have shaken the nation, without leaving any stone unturned. The nation has been in advent for such long time waiting for people of this calibre. Matters of certificate can not overtake the precious acts done by the said person. If you have concrete facts, hard evidence as well take the matter to the corridors of courts. He who alleges must prove. Otherwise these allegations of certificates are mere speculations,frevolous, peddled by the victims. We are tired of hearing the same fake stories expecting different results. As it stands, Makonda is a HERO. I HEREBY declare my interest that I support his style of leadership.Things must be pushed around for them to roll.
 
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.

Hizi akili sijui mnazitoaga wapi... In ushabiki au Mapenzi kwa mtuhumiwa???!?

Mbona haya hatukuyasikia wakati wa uhakiki na hao waliofukuzwa walikuwa wanafanya kazi!?!?

Mtu atapimwaje utendaji na utendaji bila elimu na CV!?!? Ivi tunaelekea wapi jamani!?!?!

TUACHE USHABIKI WA KIJINGA....
 
Kwahiyo wewe unapinga juhudi za mtukufu rais wetu mtakatifu Yohana ma drinks youssuph padlocks ya kuhakiki vyeti? Unataka kutwambia alikurupuka?hakutafakari? Kwahiyo hata PhD yake hauithamini? Ngoja niweke vocha nimpigie Daud na sirus waje wakuite muonane katikati ndo utajua
Yohana Padlock ahahaaaa
 
Kukuu wa mkoa unasomewa wapi ?Cheo cha RC ni taaluma au nafasi ya kisiasa?wanasiasa wote kwanzia mwk/mtaa,diwani,mbunge,DC & RC wanapaswa kuwa na taaluma ipi?je kusoma na kuandika haitoshelezi kukidhi majukumu Yao?
Elimu inamuwezesha mtu kuwa na upeo mkubwa wa kuchambua mambo na kufanya maamuzi sahihi. Upeo shallow ndiyo matokeo ya kukurupuka nakutajataja majina ya waharifu bila kujiuliza athari zake, na kuwaweka watu ndani kwa amri.
 
Back
Top Bottom