samtz1
JF-Expert Member
- Nov 8, 2015
- 1,197
- 1,372
Sijawahi kuwaonaKwamba hujui Kuna Majini mnaswali nayo Msikitini?
Sijawahi kuwaonaKwamba hujui Kuna Majini mnaswali nayo Msikitini?
Katika Qur'an Maandiko yaliyoshusha ni kwamba Dhambi ambayo husamehewi ni Shirki maana yakeni ushirikina inajumuisha Waganga, wapiga ramli na uchawi wote, Ni dhambi kubwa sana. Ila kama ataacha na kutubu labda kwa Rehema zake Mwenyezi Mungu sabab Nako Kuna Maandiko aliyoyashusha kwamba Atamrehemu amtakae, sasa labda anaweza akaponea humo, kwa matakwa ya muumba mwenyewe.Kuumbe,na ndio maana sijawahi kuona muislam akimsupport hata sheikh yahaya...
However,sio uislam wala ukristo unaoruhusu ushirikina,kupiga ramli wala uganga.
Haimaanishi kuwa hawapo, wenyewe huwa mnasema Majini wema huwa wanaswali pia, kwamba wakisikia adhana nao hutii Na kwenda msikitini, Leo unawaruka!Sijawahi kuwaona
Wewe uliesema tunaswali nao una ushahidi katika hiloHaimaanishi kuwa hawapo, wenyewe huwa mnasema Majini wema huwa wanaswali pia, kwamba wakisikia adhana nao hutii Na kwenda msikitini, Leo unawaruka!
Hivi vitu Ni Kama uchawi Tu, kutoviona haiondoi ukweli, Mimi Ni mhanga WA matatizo haya, najua nnachozungumza, Kama wewe hujui basi wenzio wanajua, kwani unajua kuwa Kuna majini wema Na wabaya?? (Kwa mujibu wenu)Wewe uliesema tunaswali nao una ushahidi katika hilo
Na wale mnaowatoa makanisani wanatoka wapiHivi vitu Ni Kama uchawi Tu, kutoviona haiondoi ukweli, Mimi Ni mhanga WA matatizo haya, najua nnachozungumza, Kama wewe hujui basi wenzio wanajua, kwani unajua kuwa Kuna majini wema Na wabaya?? (Kwa mujibu wenu)
Mimimmm... acha uongo! yesu ni kiarabu au kiswahili? ungesema Issa wa Mariam hapo t
Mh!! Neno "Kukumbwa" maana yake nini bibie?= Majinni
Labda Yesu hakuguswa na shetani utotoni lakini alikumbwa na shetani kwa siku arubaini, sijui ilikuwa ukubwani au utotoni? Jibu wewe.
Kumbuka hilo.
Mungu hana mfano hawez fananishwa na yeyote Mungu hazaliwi..Na kabla ya kuumbwa sisi kulishakua na Adam na Eva..Ameeen.
Mungu mzuri sana huyu wa kuzaliwa mazizini, ni Mfano wa mwanadamu hakika. Ndio maana tumeumbwa kwa mgano wake
We unapoambiwa Pepo toka kanisan ulishawah kumuuliza kwann pepo uliniingilia ??Thnk big na kua na uhakika unachosema.Kwamba hujui Kuna Majini mnaswali nayo Msikitini?
Huyo ni mungu wako. Mimi niliumbwa kwa mfano wa MUNGU WANGU. Kwani wewe Mungu wako ANAITWA JEHOVA?Mungu hana mfano hawez fananishwa na yeyote Mungu hazaliwi..Na kabla ya kuumbwa sisi kulishakua na Adam na Eva..
Asiye na mwana aelekee jiwe....Huyo ni mungu wako. Mimi niliumbwa kwa mfano wa MUNGU WANGU. Kwani wewe Mungu wako ANAITWA JEHOVA?
Pepo huwa haji kusali kanisani.We unapoambiwa Pepo toka kanisan ulishawah kumuuliza kwann pepo uliniingilia ??Thnk big na kua na uhakika unachosema.
Asa wanafika vipi kanisani had mzee wa upako anawaambia Pepo tokaaaa mi msikitini cjawah kuwaona ila kanisani nshasikia wakikemewa.....P
Pepo huwa haji kusali kanisani.
Sasa Msikitini ndo kwao watafukuzwa vipi?Asa wanafika vipi kanisani had mzee wa upako anawaambia Pepo tokaaaa mi msikitini cjawah kuwaona ila kanisani nshasikia wakikemewa.....
Kama msikitin ndo kwao basi wakristo ndugu zao wanaenda nao hadi kwa mzee wa Upako...Sasa Msikitini ndo kwao watafukuzwa vipi?
Can you imagine !??Alafu alikufa msalabani ,nani anaendesha DUNIA kwa sasa?