Mtoto wa Shekhe Yahaya akiongelea Majini

Mtoto wa Shekhe Yahaya akiongelea Majini

Hakuna kitu nachukia hapa duniani kama unafki kwenye mambo ya Ki Mungu/Imani. Mtu anajikuta wa kiroho/dini sanaaa Yesu mwenyewe anasubiri alaf maisha na mwenendo wake sasa ndio utachoka kabsa....
Complete Blasphemy.
 
Katika Quran jina la Mohammad limeandikwa Mara NNE(4) tu,lakini jina la Yesu limeandikwa takribani mara ISHIRINI NA TANO(25)


Tumia jina la YESU kukemea Majini!
mmm... acha uongo! yesu ni kiarabu au kiswahili? ungesema Issa wa Mariam hapo t
 
Hakuna kitu nachukia hapa duniani kama unafki kwenye mambo ya Ki Mungu/Imani. Mtu anajikuta wa kiroho/dini sanaaa Yesu mwenyewe anasubiri alaf maisha na mwenendo wake sasa ndio utachoka kabsa....
Complete Blasphemy.
Mkuu wasanii wapo kila kona, Hasa Bongo yetu kila kitu usanii.
 
Mkuu wasanii wapo kila kona, Hasa Bongo yetu kila kitu usanii.

Yan ni kinyaa nakwambia....hayo mambo yapo kwenye imani zote. Kuna watu flan kanisani kwetu huwa nikiwaangalia wanavyo jinadi ni watu wa kiroho and that wanamjua Mungu.....nikilinganisha na matendo na itikadi zao, my blood boils. I really dislike that, honestly speaking. Mtu kama wamoto kua wamoto, kama wa baridi kua wa baridi tu. Tujue moja.
Kama kuna watu wataongoza msafara Jehanam, siku ya mwisho nahisi ni these soo called walokole iwe Uislam au Ukristo. Mtu malaya tunamjua fika alaf anakuja anataka kuniombea. F*ck outta here !!!!
 
Utaaminije mambo ya binadamu mwenzako eti anatabiri kitakachotokea. Yeye amekuwa msemaji Mungu?
 
Mwenye kujua la kesho ni mungu pekee, nashangaa waty wanmwamini sana TbJoshua wakati hata yeye mwenyewe kashindwa kujitabiria kuhusu ajali ya kuporoma kwa kanisa lake.
 
Yupo katika shughuli ya kusaka pesa kwa ku exploit ujinga wa wengi

Alipotabiri kwamba rais ajae atakuwa January Makamba mlimsifia na kumwona mungu. Hizi double standards hizi!!!!
 
Yan ni kinyaa nakwambia....hayo mambo yapo kwenye imani zote. Kuna watu flan kanisani kwetu huwa nikiwaangalia wanavyo jinadi ni watu wa kiroho and that wanamjua Mungu.....nikilinganisha na matendo na itikadi zao, my blood boils. I really dislike that, honestly speaking. Mtu kama wamoto kua wamoto, kama wa baridi kua wa baridi tu. Tujue moja.
Kama kuna watu wataongoza msafara Jehanam, siku ya mwisho nahisi ni these soo called walokole iwe Uislam au Ukristo. Mtu malaya tunamjua fika alaf anakuja anataka kuniombea. F*ck outta here !!!!
Pole sana Mkuu, Haya mambo yapo sana, kuna mdada alikuwa ameokoooka, akapata mchumba mlokole saana.
Basi Mchumba akajua amepata mchumba mwema kanisani,Kumbe kuna jamaa pembeni alikuwa anamgaragaza yule demu hakuna mfano.Hatimaye demu akapata mimba, ikawa kazi hapo, Demu akajitahidi kila njia kwenda kwa mchumba ili kumtegeshea. Yule Mchumba alikuwa wa kiroho kweli kweli, Hakufanikiwa! Baadaye aliamua kuitoa mimba. Mpaka sasa inaenda miaka mitano demu hajazaa.
 
Pole sana Mkuu, Haya mambo yapo sana, kuna mdada alikuwa ameokoooka, akapata mchumba mlokole saana.
Basi Mchumba akajua amepata mchumba mwema kanisani,Kumbe kuna jamaa pembeni alikuwa anamgaragaza yule demu hakuna mfano.Hatimaye demu akapata mimba, ikawa kazi hapo, Demu akajitahidi kila njia kwenda kwa mchumba ili kumtegeshea. Yule Mchumba alikuwa wa kiroho kweli kweli, Hakufanikiwa! Baadaye aliamua kuitoa mimba. Mpaka sasa inaenda miaka mitano demu hajazaa.

Duuuh, balaa sanaaa. Watu wanategeshewa sanaa, ukikaa vibaya inakula kwako. Nachoamini ukimuomba Mungu kweli anasikia na anajibu. Imagine jamaa asingebutuka hyo aibu yake. Hata sijui ningefanyaje...Daah
 
Duuuh, balaa sanaaa. Watu wanategeshewa sanaa, ukikaa vibaya inakula kwako. Nachoamini ukimuomba Mungu kweli anasikia na anajibu. Imagine jamaa asingebutuka hyo aibu yake. Hata sijui ningefanyaje...Daah
Ni kweli kaka ukisimama na Mungu kwa uaminifu hakuachi hata siku moja.
 
Utaaminije mambo ya binadamu mwenzako eti anatabiri kitakachotokea. Yeye amekuwa msemaji Mungu?

Za kuambiwa changanya na zako! cha kushangaza huyu jamaa kwanini asiwape watoto wake utajiri ili atuongezee Mabilioner hapa Tanzania!
 
Za kuambiwa changanya na zako! cha kushangaza huyu jamaa kwanini asiwape watoto wake utajiri ili atuongezee Mabilioner hapa Tanzania!

Hilo swali watu wangekuwa wanajiuliza! Waganga wengi ni choka mbaya halafu eti wanaonyesha watu njia za kupata utajiri ...Utasikia mizimu hairuhusu inataka tusaidie watu!
 
Mwenye kujua la kesho ni mungu pekee, nashangaa waty wanmwamini sana TbJoshua wakati hata yeye mwenyewe kashindwa kujitabiria kuhusu ajali ya kuporoma kwa kanisa lake.


kushindwa kujitabiria sio kigezo cha watu kutomwamini.
 
sir chief bila ya shaka utakuwa muumini wake tu, narudia kusema tena mwenye uwezo wa kujua la kesho ni MUNGU peke yake period!
 
Last edited by a moderator:
Ili aweze kuwataka hata wakristo waende kwake kupigiwa ramli lazima aseme hivyo. Ni sawasawa na Mzee wa upako anavyosema kuwa yeye anatoa huduma kwa dini zote..... Hivi hawa channel 10 mbona wanapenda sana kutangaza habari za waganga wa kienyeji huku serikali inawasaka kwa mauaji ya albino wao wanawapa platform na muda wa hewani kuwadanganya watanzania?
 
Mwenye kujua la kesho ni mungu pekee, nashangaa waty wanmwamini sana TbJoshua wakati hata yeye mwenyewe kashindwa kujitabiria kuhusu ajali ya kuporoma kwa kanisa lake.

nabii wa uongo huyo kifua kikuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom