Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,557
Huyo ni Mshenzi tu kama yule TB Joshua wa Nigeria ila tofauti yao yule amekuwa ni mtu wa kuwalia Kondoo hela zake. Uislam hauruhusu ujinga huu hata kidogo ni ameingia katika "SHIRKI"
Naona nyie mnayatoa hapa ! chongchungUchawi ni majini na uislamu unapromote majini kwenye Qur'an kuna aya special dedicated kwa waislam inayohusu majini na wanasali nayo na wanaposali popote huyakalia mabegani ndivyo Qur'an inavyosema sasa kuja hapa na kusema hamtambui hayo mapepo maimuna maruhan zainab na mapepo mengine mnashangaza wakati mpaka mnashare majina.
Mtakubalije shehe yahaya na mwanae waongoze ibada yenu na kutambulika na uongozi wa juu kama hamumuungi mkono eti mnampinga wakati anawaongozeni.
Me nijuavyo mganga wa kienyeji ni shehe aliyeiva sababu waganga wengi ni waislam tena mashehe sijawahi kumuona mganga wa kienyeji mchungaji au askofu.
heee....heee....heee ! Wareno wanamwita Deus ! .... Wazungu wanamuita Jesus.Yesu SIO Issa
Kila ulimi utamkiri kuwa YESU ni BwanaSi kawaida yangu kuangalia kipindi cha nyota kinachoendeshwa na mtoto wa Marehemu Shekhe Yahaya channel ten. Lakini juzi nilivutiwa na alivyokuwa akielezea majini, jinsi wanavyoweza kukuletea pesa, jinsi ya kuwaita nk.
Lakini alipokuja kwenye mbinu ya Kuwafukuza alisema, Majini yanaweza kuuawa au kufukuzwa kwa Kuyakemea huku ukitaja jina la Yesu. Pia akasema binadamu wote wanapozaliwa huwa wanaguswa na Shetani, lakini mtoto pekee ambae hakuguswa na Shetani ni mtoto Yesu.
Utofauti huku yanatolewa, kule yanaingia kuswali!Kama haya yanayoingia Kanisani !?? Powder View attachment 337657
Unajua kusoma kiswahili ! Ujui kuandika kiswahili !![emoji40]Can you imagine !??
View attachment 337651
Ni kweli kabisa ndugu yao kuwasaliti na hawataki kukubaliNi vizuri amekiri kuwa yesu ni mfalme.Haya wafia dini mtoleeni povu ndugu yenu amewasaliti!
Nenda kwa Shehe wako kamwambie akufafanulieIngekuwa poa kama ungetoa ushahidi wa hayo unayosema nngekuona wa maana sana
Una hakika ni Mungu ndio anajua ya kesho? Unafahamu kuwa Mungu anatambua nguvu alizonazo shetani juu yetu?sir chief bila ya shaka utakuwa muumini wake tu, narudia kusema tena mwenye uwezo wa kujua la kesho ni MUNGU peke yake period!
Si kwa sababu ndo mtoto pekee ambaye hajaguswa na shetani moto wake si mchezoHakwenda mbali zaidi kusema kwa nini iwe Yesu tu!?
Katika Quran jina la Mohammad limeandikwa Mara NNE(4) tu,lakini jina la Yesu limeandikwa takribani mara ISHIRINI NA TANO(25)
Ni kweli
Tumia jina la YESU kukemea Majini!
Ramli isiyomzuru mtu ni moja ya dini zetu za jadi ambazo zilikemea uchawi.Mbona waislamu wana albadili lakini hamuipingi?
Think critically.
Huwezi kuyatoa mpaka yakuinUtofauti huku yanatolewa, kule yanaingia kuswali!
Na ISIS nao Quran inasemaje?Quran imekataza kupiga ramli, au kuangalia nyota kwa waganga, huyo na babayake wote wanafanya kazi ya shetani