Mtoto wa Shekhe Yahaya akiongelea Majini

Mtoto wa Shekhe Yahaya akiongelea Majini

Sheikh yahaya ndo nan au ndo yule mshirikina na mpiga dili(muuza dawa za popobawa)
 
...hawa jamaa wanazuga, eti hawajui majini ni ndugu zao?!, wamefanana nao kila kitu,kuanzia majina,kuishi nayo nyumba moja,n.k,
umewahi kuona au kusikia wapi muislam akakemea pepo?!,utawezaje kumfukuza ndugu yako nyumbani!!
Fikiri!
Qur-an:suratul jinn
11:"Na hakika katika sisi wako wema na wengine katika sisi ni kinyume cha hayo:tumekuwa njia mbalimbali.

14:Nasi wamo miongoni mwetu waliosilimu na wamo miongoni mwetu wanaokengeuka.Waliosilimu hao ndo waliotafuta uwongofu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom