Mtoto wa Shekhe Yahaya akiongelea Majini

Mtoto wa Shekhe Yahaya akiongelea Majini

Gambamala

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2014
Posts
1,045
Reaction score
766
Si kawaida yangu kuangalia kipindi cha nyota kinachoendeshwa na mtoto wa Marehemu Shekhe Yahaya channel ten. Lakini juzi nilivutiwa na alivyokuwa akielezea majini, jinsi wanavyoweza kukuletea pesa, jinsi ya kuwaita nk.

Lakini alipokuja kwenye mbinu ya Kuwafukuza alisema, Majini yanaweza kuuawa au kufukuzwa kwa Kuyakemea huku ukitaja jina la Yesu. Pia akasema binadamu wote wanapozaliwa huwa wanaguswa na Shetani, lakini mtoto pekee ambae hakuguswa na Shetani ni mtoto Yesu.
 
Hakwenda mbali zaidi kusema kwa nini iwe Yesu tu!?
 
Halafu unakuta serikali serikali inawapenda sana mashekh wapiga ramli, ikitokea shekh anapinga waziwazi ataitwa majina mabaya, mara answari suna, siasa kali nk, lakini kiukweli ramli ni dhambi kubwa sana na ni dhambi ambayo haisemeheki kama umekufa kabla ya kutubu
 
Katika Quran jina la Mohammad limeandikwa Mara NNE(4) tu,lakini jina la Yesu limeandikwa takribani mara ISHIRINI NA TANO(25)


Tumia jina la YESU kukemea Majini!
 
Kama majini ni mazuri kwanini uyafukuze

Mshirikina tu huyo jamaa na yeye ni shetani kama mashetani wengini
 
sasa kwa nn asiyaambie hayo majini yamletee hela kuliko kuwaibia watu kwa kuwatabiria
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom