Mtoto wa Shekhe Yahaya akiongelea Majini

Mtoto wa Shekhe Yahaya akiongelea Majini

Mwenye kujua la kesho ni mungu pekee, nashangaa waty wanmwamini sana TbJoshua wakati hata yeye mwenyewe kashindwa kujitabiria kuhusu ajali ya kuporoma kwa kanisa lake.
Mwemyezi mungu alimdhalilisha ili ajue na tujue ya kwamba sio nabii ila watu bado wanamuamini.
 
Kwanini mlimzika kiislamu mtu ambaye mna uhakika ametenda kazi za shetani na ataenda jehanam?
Mwenye kuhukumu ni mwenyezi mungu pekee na siwanadamu sisi kazi yetu ni kukumbushanaambo asiyo taka mwenyezi mungu ma mtume wetu.
 
Uchawi ni majini na uislamu unapromote majini kwenye Qur'an kuna aya special dedicated kwa waislam inayohusu majini na wanasali nayo na wanaposali popote huyakalia mabegani ndivyo Qur'an inavyosema sasa kuja hapa na kusema hamtambui hayo mapepo maimuna maruhan zainab na mapepo mengine mnashangaza wakati mpaka mnashare majina.

Mtakubalije shehe yahaya na mwanae waongoze ibada yenu na kutambulika na uongozi wa juu kama hamumuungi mkono eti mnampinga wakati anawaongozeni.

Me nijuavyo mganga wa kienyeji ni shehe aliyeiva sababu waganga wengi ni waislam tena mashehe sijawahi kumuona mganga wa kienyeji mchungaji au askofu.
Wanajiita manabii wanaponya na kupunga mapepo na kutajiri watu kwa jina la Yesu, na lazima utoe pesa. Wako wanao lishwa nyasi. kupigwa vifuti, kukanyangwa, kupigwa vibao nk ! Kule Mwanza kuna Nabii Bilionea !
 
Kwanini mlimzika kiislamu mtu ambaye mna uhakika ametenda kazi za shetani na ataenda jehanam?
Mazishi ni kumsitiri mfu, ila hukumu anatoa Mungu.

Ukimshirikisha Mungu kwa jambo (shirk) ni dhambi isiyosameheka mpaka umrudie Mola wako na kutubu kwa DHATI
 
Yesu ninayemuamini na kumkiri ameketi kuume kwa Mungu Baba, na toka huko atakuja kuwahukumu wazima wa wafu (siku ya hukumu).

Na kwake yeye (Yesu), kila goti litapigwa. Na hautaweza kwenda mbinguni pasipo kumkiri kama Yesu ndiye Bwana na Mwokozi.

Mtoto wa Sheikh Yahaya yupo sahihi pale aliposema, ukitaka majini/mapepo yamtoke mtu, taja jina la Yesu.
 
Katika Quran jina la Mohammad limeandikwa Mara NNE(4) tu,lakini jina la Yesu limeandikwa takribani mara ISHIRINI NA TANO(25)


Tumia jina la YESU kukemea Majini!


mweeee
 
Uchawi ni majini na uislamu unapromote majini kwenye Qur'an kuna aya special dedicated kwa waislam inayohusu majini na wanasali nayo na wanaposali popote huyakalia mabegani ndivyo Qur'an inavyosema sasa kuja hapa na kusema hamtambui hayo mapepo maimuna maruhan zainab na mapepo mengine mnashangaza wakati mpaka mnashare majina.

Mtakubalije shehe yahaya na mwanae waongoze ibada yenu na kutambulika na uongozi wa juu kama hamumuungi mkono eti mnampinga wakati anawaongozeni.

Me nijuavyo mganga wa kienyeji ni shehe aliyeiva sababu waganga wengi ni waislam tena mashehe sijawahi kumuona mganga wa kienyeji mchungaji au askofu.
Ingekuwa poa kama ungetoa ushahidi wa hayo unayosema nngekuona wa maana sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom