Mtoto wa Shekhe Yahaya akiongelea Majini

Mtoto wa Shekhe Yahaya akiongelea Majini

= Majinni

Labda Yesu hakuguswa na shetani utotoni lakini alikumbwa na shetani kwa siku arubaini, sijui ilikuwa ukubwani au utotoni? Jibu wewe.

Kumbuka hilo.

Duh, wewe ndio Muislamu wa kwanza kukubali kuwa Majini ni Mashetwani, Waislamu wengi hawaamini hilo, hongera mama, hauko mbali sana na Ufalme wa Mungu.
 
Mwenye kujua la kesho ni mungu pekee, nashangaa waty wanmwamini sana TbJoshua wakati hata yeye mwenyewe kashindwa kujitabiria kuhusu ajali ya kuporoma kwa kanisa lake.
Mmumi?!!?
Habari za Newala mkuu
 
= Majinni

Labda Yesu hakuguswa na shetani utotoni lakini alikumbwa na shetani kwa siku arubaini, sijui ilikuwa ukubwani au utotoni? Jibu wewe.

Kumbuka hilo.
Dada Faiza haifai kwa Muislam kusema Maneno mabaya dhidi ya Yesu kwa sababu huyu ni Mtume wa Allah lete Isting'ifari kwa uliyo yasema wao hata kama watamtukana Mtume Swallallahu Alayh Wassallam wew chunga ulimi wako dhidi ya Issa Bin Maryam Alayh Swallatu Wassallam
 
ni kweli hata kila mkristo anamiliki mapepo
Hapana Hakuna Dini ambayo IPO Mbali na Shaytwaan kuliko Uislam Muislam akitaka kusoma Qur'an anafundishwa kwanza Ajikinge dhidi ya Shaytwaan na akitaka kwenda Msalan anambiwa Ajikinge na Majini ya Kishaytwaan Kwaiyo sio kweli Uislam na Majini ni vitu viwili tofauti havikai sehemu moja
 
kupiga ramli au kuangalia nyota hio ni shirki maana unamtegea mtu au majini ili mambo yako yakuendee huu ni ujinga mtupu eti huwezi toka nje siku hiyo kisa nyota yako inasema utapata tatizo..huyu anajiita sheikh yuko kimaslahi zaidi tena hicho cheo cha sheikh anakitumia vibaya kwasababu yeye ni mushrik mkubwa na tapeli tu kama matapeli wengine....!
 
Jina la Yesu ni moto ulao. Majini, mapepo, na shetani wakisikia jina la Yesu wanakimbia mbio.

Ulitajapo jina la Yesu, hata kama una pepo mwilini mwako, linatafuta pa kutokea.
 
Yan ni kinyaa nakwambia....hayo mambo yapo kwenye imani zote. Kuna watu flan kanisani kwetu huwa nikiwaangalia wanavyo jinadi ni watu wa kiroho and that wanamjua Mungu.....nikilinganisha na matendo na itikadi zao, my blood boils. I really dislike that, honestly speaking. Mtu kama wamoto kua wamoto, kama wa baridi kua wa baridi tu. Tujue moja.
Kama kuna watu wataongoza msafara Jehanam, siku ya mwisho nahisi ni these soo called walokole iwe Uislam au Ukristo. Mtu malaya tunamjua fika alaf anakuja anataka kuniombea. F*ck outta here !!!!
Imeandikwa kwenye Biblia, "Imani bila matendo, ni sawa na hakuna kitu"

Kwa hiyo yakupasa kuwa na imani iliyo thabiti juu ya Yesu (umkiri Yesu kama Bwana na mwokozi) na pia uwe na matendo yenye kumpendeza na ya haki mbele ya macho ya Mungu.
 
Dada Faiza haifai kwa Muislam kusema Maneno mabaya dhidi ya Yesu kwa sababu huyu ni Mtume wa Allah lete Isting'ifari kwa uliyo yasema wao hata kama watamtukana Mtume Swallallahu Alayh Wassallam wew chunga ulimi wako dhidi ya Issa Bin Maryam Alayh Swallatu Wassallam

Ndugu yangu katika Uislam. Nnakuelewa unachosema lakini nilichoandika mimi ni kwa mujibu wa Biblia yao.

Huwa sikisii.
 
Kwani ni wapi ng'ombe aliwaambia wahindu kuwa mimi ni mungu?
Usitake nimuamini huyo mungu wako, kila mtu ashike imani yake.
Halafu FaizaFoxy hivi mshana jr ndio mungu wako? Maana unamuabudu, unamsujudia na kumtolea sadaka za like.
Post zako zinajieleza

Hayo jiulize wewe, wapi ng'ombe alisema "Mimi Mungu"?, wapi Yesu alisema "Mimi Mungu"?

Pata darsa dogo ili utuelewe msimamo wetu:

BISMILLA.GIF


KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
109_1.GIF


1. Sema: Enyi makafiri!
109_2.GIF


2. Siabudu mnacho kiabudu;
109_3.GIF


3. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
109_4.GIF


4. Wala sitaabudu mnacho abudu.
109_5.GIF


5. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu
109_6.GIF


6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.





 
Hayo jiulize wewe, wapi ng'ombe alisema "Mimi Mungu"?, wapi Yesu alisema "Mimi Mungu"?

Pata darsa dogo ili utuelewe msimamo wetu:

BISMILLA.GIF


KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
109_1.GIF


1. Sema: Enyi makafiri!
109_2.GIF


2. Siabudu mnacho kiabudu;
109_3.GIF


3. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
109_4.GIF


4. Wala sitaabudu mnacho abudu.
109_5.GIF


5. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu
109_6.GIF


6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.





Ninani anayesema KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU ?
 
Hayo jiulize wewe, wapi ng'ombe alisema "Mimi Mungu"?, wapi Yesu alisema "Mimi Mungu"?

Pata darsa dogo ili utuelewe msimamo wetu:

BISMILLA.GIF


KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
109_1.GIF


1. Sema: Enyi makafiri!
109_2.GIF


2. Siabudu mnacho kiabudu;
109_3.GIF


3. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
109_4.GIF


4. Wala sitaabudu mnacho abudu.
109_5.GIF


5. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu
109_6.GIF


6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.





Kila mtu aabudu anachoabudu bila ya kuulizwa.
Hata mtu akisema jiwe ni mungu asiulizwe wapi jiwe lilisema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom