BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,120
James Shimba, Daktari Bingwa wa Macho kutoka Hospitali ya Rufaa Bugando amesema uchunguzi wao umebaini kuwa magonjwa ya Mtoto wa Jicho na Kisukari ndio chanzo kikuu cha Upofu kwa kwa Mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Shimba ameeleza kuwa Hospitali hiyo kwa mwezi inapokea Wagonjwa wa Macho zaidi ya 1000 wakiwemo watoto ambapo idadi ya watoto wenye tatizo la Macho wanaoonwa na Daktari kwa siku imefikia 70.
Aidha ametaja sababu nyingine ya ongezeko la wagonjwa macho na tatizo la Upofu kuwa ni watu kupuuza matumizi ya Miwani wanapoagizwa na watalaam wa Macho.
Shimba ameeleza kuwa Hospitali hiyo kwa mwezi inapokea Wagonjwa wa Macho zaidi ya 1000 wakiwemo watoto ambapo idadi ya watoto wenye tatizo la Macho wanaoonwa na Daktari kwa siku imefikia 70.
Aidha ametaja sababu nyingine ya ongezeko la wagonjwa macho na tatizo la Upofu kuwa ni watu kupuuza matumizi ya Miwani wanapoagizwa na watalaam wa Macho.