R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,138
Unapozungumzia Kanda ya ziwa ndiko wasomi wengi wanakotoka
Kagera
Mwanza (Hususan kisiwa cha ukerewe)
Mara
Mwanza ndio makao makuu ya mikoa ya kanda ya ziwa, Watu wa Kagera na Mara ni rahisi kufikia hapa lakini jiji hili la pili kwa ukubwa hapa nchini halina chuo kikuu, kwanini ?
Dar kuna UDSM na mkoa wa karibu Morogoro kuna chuo cha Mzumbe na Sokoine
Dodoma kuna UDOM
Mbeya kuna MUST na tawi la Mzumbe
Kwanini Mwanza hakuna chuo kikuu ?
Kagera
Mwanza (Hususan kisiwa cha ukerewe)
Mara
Mwanza ndio makao makuu ya mikoa ya kanda ya ziwa, Watu wa Kagera na Mara ni rahisi kufikia hapa lakini jiji hili la pili kwa ukubwa hapa nchini halina chuo kikuu, kwanini ?
Dar kuna UDSM na mkoa wa karibu Morogoro kuna chuo cha Mzumbe na Sokoine
Dodoma kuna UDOM
Mbeya kuna MUST na tawi la Mzumbe
Kwanini Mwanza hakuna chuo kikuu ?