Mtoto anapogoma kulala

Mtoto anapogoma kulala

Hahaha mariabaa
Sasa kama kasumbufu tufanyeje?
Hapo ukute mbaba wa watu hata hajagegeda

Hahahahaaa....mamito spare my libs pliiz....na usumbufu wote huo hamu ya kugegeda inatoka wapi
 
Hahahahaaa....walah umenifanya niangue kicheko mbele ya watu. Kwani jirani ndo hagegedi
Khantwe unadhani naongopa? Tena Usiwe unamdekeza haya utaniambia
 
Last edited by a moderator:
Bora kukupiga kanakutoboa macho na kidole...ili kaone jicho likifunguka au kanakukalia kichwani

Hapo bado hajataka kule pua na sikio lako.anakujaza udenda usoni aiseee watoto ni mungu tu anatupaga ujasiri ili kuna mda unatamani hatavkulia
 
Kuwa na mtoto ambaye anaamka usiku wa manane anataka kucheza huku wewe una usingizi balaa.

Kuna mtu nafanya nae kazi, ukimuacha kidogo tu bila story au kufanya kazi unamkuta anasinzia, ukimuliza anasema anamtoto mchanga, ivi kumbe hulali kabisa?
 
Back
Top Bottom