Mtoto anapogoma kulala

Mtoto anapogoma kulala

Jamaa hawezi hata kumuimbia mtoto alale?

Ama kweli ya ngoswe mwachie ngoswe
 
Mwingine analazimisha mcheze utajuta... Daawa yake unampa mbege ha.ha.ha
 
Hahaha mariabaa
Sasa kama kasumbufu tufanyeje?
Hapo ukute mbaba wa watu hata hajagegeda

Kwikwikwi sijampeleka kwa jirani nasubiri nini? Ukimdekeza utakaa mwaka hujagegeda
 
Hahahah am a kweli mgegedo hatari kwa afya yani umtelekeze mwanao kwa jirani ?

Madoktoor wanasema mara mbili au tatu kwa week...haya gawanya mwenyeo hapo
 
Back
Top Bottom