Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 524
- 498
CCM haiwezi kulala, Rais wa nchi asingekuwa anakaa kwenye vikao vya kawaida vya shina kusikiliza wanachama. Chama kinatuma ujumbe mkubwa kwa wanaodhani chama kimepoteza mwelekeo.
well done mwenyekiti wa CCM taifa Dr.Samia Suluhu Hassan,CCM haiwezi kulala, Rais wa nchi asingekuwa anakaa kwenye vikao vya kawaida vya shina kusikiliza wanachama. Chama kinatuma ujumbe mkubwa kwa wanaodhani chama kimepoteza mwelekeo.View attachment 3586009
Chama Cha MazezetaCCM haiwezi kulala, Rais wa nchi asingekuwa anakaa kwenye vikao vya kawaida vya shina kusikiliza wanachama. Chama kinatuma ujumbe mkubwa kwa wanaodhani chama kimepoteza mwelekeo.View attachment 3586009
Hivi unakwenda kuzungumza na vijana, eti kwa kusema "never again ". Wakati huo huo kuna kijana anazikwa kiwiliwili. Ameuawa kikatili kwa kukatwa kichwa kisha kutokomea nacho kusikojulikana. Upumbavu uliopitiliza.Cccm hii ya samuya inaishi kisanii sana...jana nilikuwa dom naona boda2 wamekusanywa jirani na airport wamevishwa tshirt 'never again' samuya akaja kuwahutubia hahahaa
Naye akasema vijana wamempa ujasiri sana kwa kauli mbiu yao hiyo...yaani igizo lilikuwa vijana wamejioganize kuja kumuona mama kabla hajasepa kupanda ndege!
Futuhi!
CCM haiwezi kulala, Rais wa nchi asingekuwa anakaa kwenye vikao vya kawaida vya shina kusikiliza wanachama. Chama kinatuma ujumbe mkubwa kwa wanaodhani chama kimepoteza mwelekeo.View attachment 3586009
Akili kama hizi za kipumbavu zina patikana zaidi kwa waisiharamu tuCCM haiwezi kulala, Rais wa nchi asingekuwa anakaa kwenye vikao vya kawaida vya shina kusikiliza wanachama. Chama kinatuma ujumbe mkubwa kwa wanaodhani chama kimepoteza mwelekeo.View attachment 3586009