Mtoto anapogoma kulala

Mtoto anapogoma kulala

Eti mamafacebook mtoto wa umri huo anakumbuka chochote kweli...



Aaah nkwela..watajuaje sasa...! Mnapiga moja nzuri mnarudi kumbembeleza...

Anajua tena akikua anaweza kukumbusha ""baba siku ile usiku unakumbuka? Eti ulikua unafanya nini na mama?""
 
Last edited by a moderator:
Makelele mnayachukulia kama background music...

Talk of: Geuza changamoto kuwa fursa.

Apo mnapiga mikelele yenu ya mahaba bila wasiwasi...sauti yake ina cover yenu!!!
Mentor huyu hana analojua kwa umri huo
 
Last edited by a moderator:
mtoto alie we ujitie kumfanya mziki labda km mlimuokota

Kwa kweli ni kitu ambacho hakiwezekan hata kama MNA kutu na ukame Wa MWAKA.labda kama unavyosema mdau muwe mmemuokota na nyie ni wavuta bangi. Otherwise u cnt do that!!mtoto akilia kuna hisia Kali kama mzazi unazipata hata uwe na usingiz Wa uchovu Wa aina gan utaamka tu!
 
Hahahaaa ampe ile "SIGARA KUBWA" atalala wiki nzima... me mpitaji tu!
 
Watoto wanaelewa asikwambie mtu,
kuna siku mwanangu alikaa macho mpaka saa sita ananiangalia anacheka tu,nikifumba macho ananifinya usoni,
nikamwangalia usoni nikamwambia mwanangu lala mama yako nimechoka nipumzike,
hakuchukua dakika mbili akalala palepale,
 
Baba kachoka, kabembeleza hadi basi.

Watoto kuna wakati wana makusudi wewe unapotaka kulala wao hata dalili hawana
 
Back
Top Bottom