Mtoto anapogoma kulala

Mtoto anapogoma kulala

Yani nitafanya all means hata km kukiziba mdomo ili kisitoe sauti ya kilio.......lol

Katoto ka umri huo mkikieka kwenye kitanda chake kama hicho mkaendelea kufurahia maisha..kinaelewa nini kwani!??
 
quote_icon.png
By Mamaafacebook

Hapo ni CYBERTEQ na mwanawe wa mwisho

hapo wewe mama yake uko pande zipi?

Muda huo atakuwa anamwaga umbea facebook. Kwa kukesha hao ni balaa!...
 
Makelele mnayachukulia kama background music...

Talk of: Geuza changamoto kuwa fursa.

Apo mnapiga mikelele yenu ya mahaba bila wasiwasi...sauti yake ina cover yenu!!!

Hatakaa asahau
 
Makelele mnayachukulia kama background music...

Talk of: Geuza changamoto kuwa fursa.

Apo mnapiga mikelele yenu ya mahaba bila wasiwasi...sauti yake ina cover yenu!!!

Mmmh haiwezekani bhana....na majirani watajua kwamba mmeamua kugegedana badala ya kubembeleza mtoto....aibu kweli
 
Hatakaa asahau

Eti mamafacebook mtoto wa umri huo anakumbuka chochote kweli...

Mmmh haiwezekani bhana....na majirani watajua kwamba mmeamua kugegedana badala ya kubembeleza mtoto....aibu kweli

Aaah nkwela..watajuaje sasa...! Mnapiga moja nzuri mnarudi kumbembeleza...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom