Mtizamo: Let love lead the way

Mtizamo: Let love lead the way

Orait hommie hapo well said

Ila hapo kwen bold unataka shemeji yako aje without kweli?:gossip:
Hommie hata wewe?........ hebu kaongee vizuri na shem kule atakuambia nilivyo mwema kwake.

Hahahaha unacheza na ODM eh?
Khaa! Hommie ushasahau mi ni joka la Kibisa kwa shem wangu?

Aisee..'come to think of it' ndo maana hommie nimeona kabisa nimtahadharishe kuwa hilo HALIKUBALIKI kwen katina na wala popote pale....

Shemeji...kigeu geu
ODM kigeu geu....
Hapo sasa ndipo hommie unapotakiwa kuntaka radhi, kabla sijakusemea.
 
Hahahaaa, ndio hivo sitoi chance ya penzi kushuka, sababu simuudhi, simfatiliifatilii ambayo wanaume wengi hawapendi, atakuwa anatoka kuiba lakini roho yake yote inakuwa kwangu tu, kama alivosema babu baiolojia inaruhusu lakini si kwa mapenzi, ila ikitokea mjanja kaniwahi huko itabidi niwe mpole niachie ngazi, as naamini navumilia pale tu penzi linapokuwepo, ndio maana nalilinda kwa gharama sana...kwa kweli nitaguna mpaka koo lichubuke

Aisee ODM..... hebu mpatia BB ile katiba yetu, naona ameshalipa kabisa na kiingilio!
 
Kujituma kitandani, kuhakikisha nakuwa msafi masaa yote, kumaintain mwili alioupenda mwanzo aliponiona, kumlisha ashibe, kumheshim, kuna wengine wakiona wamependwa baaasi anajibweteka, wewe unafikiri wale wamama wa nyumbani wanaopewa kila kitu na waume zao wamejiachia ukirudi unakuta mtoto kamkojolea wala hajali, kitanda hajatandika tangu kumekucha , nywele kama kichaka cha kitintale,ndio wanapendwa lakini wanajisahau kwa dhana waachie tu mapenzi yajiendeshe, hakuna jitihada zozote, leo ngoja niwe mjukuu mkorofi kwa kumbishia babu, kwangu mie penzi nalienzi sanasana, nahakikisha nabana engo zote, na ndio maana unakuta sijawahi achwa mie ndio mwamuzi, hahahaha ndio hivyo najua umeguna

mmmh....

hahaha BB bana

Hapa hayo ulozungumza mwanzoni nimeyapenda sana..kitu kimoja tu kwamba hayo yote (na ndo hoja ya msingi hapa) yanakuja panapokuwa na mapenzi..kwamba unafanya ivo kwa sababu unampenda yule uliye naye, na the opposite ni kwamba hao wamama unaoona hawajali wakiwa nyumbani 'wamebweteka' kwa theory yetu hapa ni kwamba mapenzi pia yamepungua....ingeweza kuwa ni kutoka kwa mume/mke lakini ukweli ni kwua mapenzi hapo yanakuwa yamepungua.

Ndio msingi wa hoja hapa

Sasa kwa mtizamo wako huo, wa kwamba lazima 'uwe ngangari' kupalilia/kulinda penzi...ina maana hata pale ambapo penzi limeisha utakuwa unafanya hivyo..na believe me maji yakishamwagika huwa hayazoleki...sijui na wewe utaguna ama vipi lol
Hommie hivi kale kadude ka senksi katarudishwa lini?

Na mimi kwa kumuongezea tu......
Kujituma kitandani? ......Sex has nothing to do with Love.
Ukijituma kitandani, mabaamedi na machangu nao wanajituma mbaya, wanafunzi wanatoa na visivyotolewa
Kumaintain mwili? Nani alikudanganya watu wanapenda miili? Hujaona mamodo wanasota mitaani na minyama uzembe wanaolewa kila kukicha?
Kumlisha ashibe? Kabla hajakupata alikuwa hali akashiba? Au hoteli zimefungwa? Akienda nyumba ndogo halishwi akashiba?
Kumheshimu?.... Dada zake hawamheshimu?........Stuka!

BB mpenzi, penzi ni zaidi ya vitendo, penzi latoka moyoni.
Sijui kwanini hamtaki kumwelewa ODM?
 
Aisee ODM..... hebu mpatia BB ile katiba yetu, naona ameshalipa kabisa na kiingilio!
Ngoja nicheki na katibu.... where the hell is RR? ....Anyway......Unogaji we pweza,ni vile hana miba!
 
Ngoja nicheki na katibu.... where the hell is RR? ....Anyway......Unogaji we pweza,ni vile hana miba!

Sijui ameitwa kwenda kupima ajali ya MV Islands huko Nungwi...manake uingeneer mwenegine huu...BB anatakiwa arekodiwe fasta na kadi apewe...
 
Hii kitu inaitwa chauro imeingia usugu.............
hataikisoma haitaki elewa inahitaji darasa maalumu sasa

Chauro, kama ni hiyo kitu inaitwa chauro, MJ1 angekusaidiaje sasa....u see ulikuwa unaenda kwa the wrong DR....funguka!
 
Hommie tunakoelekea naona kuna haja ya kufanya maandamano na mgomo kususia MMU hadi kale kadude karejeshwe bana....post zingine lazima zitendewe haki yake kabisa! dah
Na PM ziboreshwe, mwanachama akiwasiliana na kiumbe kimaslahi, viongozi wakuu tunatumiwa nakala......
 
Chauro, kama ni hiyo kitu inaitwa chauro, MJ1 angekusaidiaje sasa....u see ulikuwa unaenda kwa the wrong DR....funguka!
Tatizo Chauro anaenda kutibiwa na manesi wakati madaktari wamejaa tele.........
 
chauro mi ctaki uchokozi aliyekwambia mie mafuta ya griss nani?? aku lol
pole mpenzi naelewa bana.
 
Hommie hivi kale kadude ka senksi katarudishwa lini?

Na mimi kwa kumuongezea tu......
Kujituma kitandani? ......Sex has nothing to do with Love.
Ukijituma kitandani, mabaamedi na machangu nao wanajituma mbaya, wanafunzi wanatoa na visivyotolewa
Kumaintain mwili? Nani alikudanganya watu wanapenda miili? Hujaona mamodo wanasota mitaani na minyama uzembe wanaolewa kila kukicha?
Kumlisha ashibe? Kabla hajakupata alikuwa hali akashiba? Au hoteli zimefungwa? Akienda nyumba ndogo halishwi akashiba?
Kumheshimu?.... Dada zake hawamheshimu?........Stuka!

BB mpenzi, penzi ni zaidi ya vitendo, penzi latoka moyoni.
Sijui kwanini hamtaki kumwelewa ODM?
babu bwana, mbona unanibana hivo, mie ndio prinsipo yangu na haijaniangisha kabisa
 
Umeona eh AshaDii?! Hiyo Love to lead the way, hiyooo ndiyo inayogomba nashindwa kuelewa kwa nini hawataki kukubali ukweli hawa. Love lead the way wanadhani mapenzi ya leo ni yale ya akina Adam na Eva!! Yale ambayo mtu anaoteshwa mke/mumeo atakuwa flani, anaenda oa/olewa na kama ujuavyo ndoto haijirudii unless ufunge kwa maombi. Otherwise ukishaoteshwa basi ni wako daima and the love lead the way.

Mapenzi na mahusiano ya siku hizi ni kuyapalilia bana.........na wasitake kutudanganya hapa kuwa kupalilia ni kutimiza wajibu wa mapenzi, mbona wao hawayatekelezagi hayo majukumu?? Labda kama watanambia kuwa love leads the way kwa mwanaume kuwa akishapenda, basi kapendwa na ni jukumu la mwanamke kujiwajibisha kutekeleza wajibu wa mapenzi. But kwa mwanamke!! ni tofauti, ukitunukiwa kupendwa huna budi kulilinda penzi hilo kwa kuyatenda yote unayohisi yatamfanya mwenzi wako azidi kuvutika nawe, afurahie kuwa nawe, asifikirie kukuacha na kuoa mwingine kwa kuwa penzi lake bado liko kwako.



Baelezee BB, baelezee.( Afu ulikuwa wapi tangu mwanzo maana leo Babu yako kasimamia vidole gumba kwa ubishi!! )
nakwambia mj1 mie lazima nifatilize navofanya miaka yote, na amini nakwambia havijaniangusha
 
Hommie hivi kale kadude ka senksi katarudishwa lini?

Na mimi kwa kumuongezea tu......
Kujituma kitandani? ......Sex has nothing to do with Love.
Ukijituma kitandani, mabaamedi na machangu nao wanajituma mbaya, wanafunzi wanatoa na visivyotolewa
Kumaintain mwili? Nani alikudanganya watu wanapenda miili? Hujaona mamodo wanasota mitaani na minyama uzembe wanaolewa kila kukicha?
Kumlisha ashibe? Kabla hajakupata alikuwa hali akashiba? Au hoteli zimefungwa? Akienda nyumba ndogo halishwi akashiba?
Kumheshimu?.... Dada zake hawamheshimu?........Stuka!

BB mpenzi, penzi ni zaidi ya vitendo, penzi latoka moyoni.
Sijui kwanini hamtaki kumwelewa ODM?

Prinsipoz huwa haziangushagi, kinachoangusha ni matumizi ya hizo prinsipo yanapokiuka kanuni.......... kwa kawaida time inatell.

...the user mbu says thank to Aspirin for this useful posts,..impressive.

ODM, mwj1, kaizer, AshaDii, teamo, Blackberry na wachangiaji wengineo wengi kwenye m
sredi hii mnazungumza lugha moja, kinachogomba ni tafsiri ya muonekano wa bilauri tu..
277823-half-full-beer-mug-black-back-lit.jpg
...a mug is half empty and half full...!
 
Ngoja nicheki na katibu.... where the hell is RR? ....Anyway......<font size="4"><b><i><font color="green">Unogaji we pweza,ni vile hana miba!</font></i></b></font>

Ex St. RR he damn busy...au hamjui kafungua gereji spesho kwa 'rejeta' mbovu nyumaa ya RGV Hotel palepale Shekilango.?

Back to the topic:
Michango yenu n very useful, as kwa mm ambaye ni anda 18 inanijenga na kunkomaza baraaaabaraaaaa! Asante Babu kwa niaba.
 
Back
Top Bottom