Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,434
- 7,094
Kwamba kuimarisha ulinzi dhidi ya wageni?!Sasa naanza kuelewa kuanzishwa kwa hifadhi ya BURIGI CHATO
Kwamba kuimarisha ulinzi dhidi ya wageni?!Sasa naanza kuelewa kuanzishwa kwa hifadhi ya BURIGI CHATO
Ukafanyeje?????Hii thread nilikua naitafuta Sana Leo nimekutananayo
KITUTSIkitusi
Haya mambo ukiwa na upeo wa kawaida ni ngumu kuyaelewa, wanataka wapewe mkoa wao yaani mkoa wa chato. Wahaya wakisema, wanaambiwa misifa. Hawa watu wana long plans for conquering our territory.Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!!
Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa katika sensa huku wakiendelea kuwatesa Raia!
Ni Ujinga mkubwa kuona kwamba Wanyarwanda wengi wameshaghushi Vyeti vya uraia na wengine wameanzisha makanisa kama alivyo Askofu Mulileghe Mkombo Kutoka DRC lakini Serikali badala ya kushughulika na Watu hao , inageuka na kuwatesa viongozi wa dini wanao pinga ufisadi ndani CCM na kuwakumbatia watu kama Mkombo ati kwa sababu anaombea viongozi wa Kitaifa!!!
Suala la kujiuliza ni Watanzania wangapi wanaweza kwenda Rwanda na kushika madaraka ra Serikali ya Rwanda na kuingiza mifugo huku wakitukana serikali ya Kagame???
Kama Wahutu wenye uraia wa Rwanda wamenyongwa kwa kuanzisha vyama vya upinzani sembuse Watanzania kuishi Rwanda???
Serikali itazame jambo hili kwa makini ikifikia Kagame na Joyce Banda wakaungana tunaweza kupata matatizo Makubwa!!!
Soma Waraka Wake Hapa:
kirefu cha PK ndio Papii Kocha eehHuyu mwamba angekuwa hai huu utawala ungepata shida sana Nyerere alikuwa anamjua hata Mkapa anamjua kwa matimbwili yake hata kifo chake inasemekana PK ni muhusika
Halaf hili jambo la chato hili mhhhhHaya mambo ukiwa na upeo wa kawaida ni ngumu kuyaelewa, wanataka wapewe mkoa wao yaani mkoa wa chato. Wahaya wakisema, wanaambiwa misifa. Hawa watu wana long plans for conquering our territory.
Hili jambo la chato hiliHaya mambo ukiwa na upeo wa kawaida ni ngumu kuyaelewa, wanataka wapewe mkoa wao yaani mkoa wa chato. Wahaya wakisema, wanaambiwa misifa. Hawa watu wana long plans for conquering our territory.
MKE WA KOLOMIJE NAYE SI ANATOKA RWANDA???????
JF...!
Shalom wakuu! Nimejaribu kupitia article ya mch.Mtikila inayoonesha mbinu chafu za Rais Paul Kagame wa Rwanda dhidi ya Taifa letu, Lakini nimeshangaa kusoma kuwa Mhe.Peter Serukamba wa Kigoma Mjini(CCM) kuwa si mtanzania bali ni Jasusi la kinyarwanda aliyepandikizwa na Rais Kagame kwa kazi maalumu ya ushushushu na kuvujisha siri na nyaraka za nchi kwa kutumia mgongo wa cheo chake kama mbunge na uenyekiti wa kamati ya bunge ya manunuzi.
My outlook:
kama ni kweli je Idara ya usalama inasubiri nini kuchunguza madai haya?
Hatari sana hii, je khali ikoje kwa sasa au hakukua na uhalisia?Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!!
Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa katika sensa huku wakiendelea kuwatesa Raia!
Ni Ujinga mkubwa kuona kwamba Wanyarwanda wengi wameshaghushi Vyeti vya uraia na wengine wameanzisha makanisa kama alivyo Askofu Mulileghe Mkombo Kutoka DRC lakini Serikali badala ya kushughulika na Watu hao , inageuka na kuwatesa viongozi wa dini wanao pinga ufisadi ndani CCM na kuwakumbatia watu kama Mkombo ati kwa sababu anaombea viongozi wa Kitaifa!!!
Suala la kujiuliza ni Watanzania wangapi wanaweza kwenda Rwanda na kushika madaraka ra Serikali ya Rwanda na kuingiza mifugo huku wakitukana serikali ya Kagame???
Kama Wahutu wenye uraia wa Rwanda wamenyongwa kwa kuanzisha vyama vya upinzani sembuse Watanzania kuishi Rwanda???
Serikali itazame jambo hili kwa makini ikifikia Kagame na Joyce Banda wakaungana tunaweza kupata matatizo Makubwa!!!
Soma Waraka Wake Hapa:
PaKakirefu cha PK ndio Papii Kocha eeh
Ukipitia wapi ukafikia hapa MkuuKaaaaazi kweli kweli
huwenda wamerudi tena kwa wingi zaidi katika ya mwaka 2016 mpaka 2021.wameondolewa kwa kusikitisha daah afadhali hawapo tena tunashukuru, maamuzi magumu wangine walikimbia saa kumi usiku hongera JK na Lowasa umeacha legacy kubwa mno
Ujio wake hapa bongo juzi kati ghafla bwana Bernard anakufa, wajeda kadhaa wanafutwa kazi huko Rwanda na DP WORLD inashika hatamu... Kumbe DP WORLD ilikuwepo Rwanda kitambo Sana. Tukiunganisha doti kama Kuna jambo flan hivi.... Anyway ngoja wajuzi waje kuchimbua zaidiSUALA LA DP WORLD NA BANDARI ZETU LIMENIFANYA NITAFUTE UZI HUU NA NIJIKUMBUSHE NONDO ZILIZOMWAGWA NA MTIKILA, R.I.P.