zabron k
JF-Expert Member
- Nov 11, 2015
- 917
- 1,043
Hizo kesi kwake zilikuwaga za kawaida sana na anashindaMtikila angekuwepo lzm angepewa uhujumu uchumi ili kumnyamazisha
Thus angepewa uhujumu uchumi ili akose dhamana akae ndani au yangemkuta ya LissuHizo kesi kwake zilikuwaga za kawaida sana na anashinda
Huyu mwamba angekuwa hai huu utawala ungepata shida sana Nyerere alikuwa anamjua hata Mkapa anamjua kwa matimbwili yake hata kifo chake inasemekana PK ni muhusikaThus angepewa uhujumu uchumi ili akose dhamana akae ndani au yangemkuta ya Lissu
What a combo!!
Could be...Could be not.Duh! Sasa hapo ndiopo utata unakuja, au na yy alikua ni Mtusi?- joking
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna tofauti kiasili wote ni nirothics wahamiti not bantu na ni wafugaji
At personal levels?Marehemu Rev. Mtikila alikuwa member wa JF.
Kuna mengi aliyajua na kifo chake bado naamini kilikuwa engineered Kigali.
Sijui authorities za Tanzania intelijensia ikoje.
Kuna maswali mengi kuliko majibu.
Tahadhari tu: Simu atakayoenda nayo Samia akirudi asiitumie tena wala simcard yake isihamishiwe kwenye handset mpya.
Some of us have dealt with Kagame at personal levels
Kitabu gani hicho mkuuNikitabi fln HV nimesoma kuanzisha tano sa usku mpk saa sab cjamaliza