Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!!

Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa katika sensa huku wakiendelea kuwatesa Raia!

Ni Ujinga mkubwa kuona kwamba Wanyarwanda wengi wameshaghushi Vyeti vya uraia na wengine wameanzisha makanisa kama alivyo Askofu Mulileghe Mkombo Kutoka DRC lakini Serikali badala ya kushughulika na Watu hao , inageuka na kuwatesa viongozi wa dini wanao pinga ufisadi ndani CCM na kuwakumbatia watu kama Mkombo ati kwa sababu anaombea viongozi wa Kitaifa!!!

Suala la kujiuliza ni Watanzania wangapi wanaweza kwenda Rwanda na kushika madaraka ra Serikali ya Rwanda na kuingiza mifugo huku wakitukana serikali ya Kagame???
Kama Wahutu wenye uraia wa Rwanda wamenyongwa kwa kuanzisha vyama vya upinzani sembuse Watanzania kuishi Rwanda???

Serikali itazame jambo hili kwa makini ikifikia Kagame na Joyce Banda wakaungana tunaweza kupata matatizo Makubwa!!!
Soma Waraka Wake Hapa:
Ndiyo naisoma hii kitu leo . Naamini PK alikuwa na mkono kwenye kifo cha Rev. Mtikila
 
Andiko la Mtikila (R.I.P) ni kama unabii , miaka 10 baadae CDF analizungumza Tena mbele CIC , hii ni hatari sana

Waraka wa Mtikila ulikuwa mchungu sana na tuhuma zake zilimhusisha Nyerere pia kama Mfadhili wa PK na M7 , hivyo ni ngumu Kusema Kagame alihusika peke yake au hakuhusika kabisa ila akabebeshwa zigo au Alihusika

Hili ni fumbo
 
Miaka 10 baadae unafikiri wamezaliana wangapi?
Na wamo sehemu ngapi naona mpaka pilot wa viongozi wanaweza kuwa wao na wamewekwa na wao
 
Hawa jamaa ni noma,hapa Tz wamo Jeshini,Polisi,Magereza,TRA,TCRA,TANESCO,PCCB,MUHAS,EWURA,DAWASCO,TISS,mpaka Task Force,wanaangalia saa tu siku moja mkuu wa majeshi atakuwa na Tutsi origin,TISS HIVYOHIVYO,PCCB NA SERIKALINI KOTE.Wameingiza watu mpaka wamefikia ngazi za ukurugenzi na ukuu wa idara.
Acha kuwapa sifa ambazo hawastahili naona vijana mnavyodanganyana humu mara ooh sijui watusi wapo kila sehem na wapo sehem nyeti nani kawadanganya nyie kwamba mambo ni rahisi rahisi kama mnavyofikiria acheni kujidanganya anaweza akawa yupo serikalin na ni mtusi lakin asijue lolote wala asifanye lolote na wala asijue chochote acheni kuleta propaganda za kipumbavu mnafikir nchi inaendeshwa ovyo ovyo
 
Acha kuwapa sifa ambazo hawastahili naona vijana mnavyodanganyana humu mara ooh sijui watusi wapo kila sehem na wapo sehem nyeti nani kawadanganya nyie kwamba mambo ni rahisi rahisi kama mnavyofikiria acheni kujidanganya anaweza akawa yupo serikalin na ni mtusi lakin asijue lolote wala asifanye lolote na wala asijue chochote acheni kuleta propaganda za kipumbavu mnafikir nchi inaendeshwa ovyo ovyo
ACHA UJINGA soma mkataba wa lemera jinga sana weewe
 
Back
Top Bottom