christopher mtikila

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ESCORT 1

    Baadhi ya Viongozi waliokufa vifo tata

    1. Dr. Omary Ali Juma Huyu alikuwa ni Makamu wa Rais katika Serikali ya Rais Benjamin Mkapa. Alienda kufungua maonyeshi ya sabasaba akiwa na Rais Kabila wa Kongo, kesho yake tukapata tanzia. 2. Benjamin Mkapa Rais wa awamu ya tatu, jioni moja ya mwezi july mwaka 2020 ikiwa imebaki miezi...
  2. D

    Kweli Marehemu Christopher Mtikila alisema kweli kuhusu 'unyani'

    Marehemu christopher Mtikila alikuwa akilia sana na kuwafananisha viongozi wa Tanganyika wakati ule na viongozi wa Afrika na nyani ambao tunawaona mstuni. Marehemu Mungu ampe pepo ya milele. Mchungaji alienda mbali sana na kusema viongozi wa Afrika wako tayari kuuza ndugu zake, familya yake...
  3. A

    Rev. Mtikila ashida kesi ya kuruhusu mgombea binafsi Mahakama ya Afrika

    Arusha. Mwanasiasa mkongwe nchini Christopher Mtikila ameshinda kesi aliyofungua Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika (AfCHPR) mjini Arusha akidai Tanzania inakiuka demokrasia inapozuia wagombea binafsi. Katika hukumu iliyosomwa leo jioni, mahakama imesisitiza kuwa kwa kulazimisha viongozi...
  4. KING COBRA

    Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

    Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!! Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa...
Back
Top Bottom