Kagame yupo sahihi Rwanda imefika hapa kwa Gharama kubwa lazima ilindwe

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
9,617
15,942
Nimeona watu wengi wakilalamikia kitendo cha baadhi ya raia wanyarwanda wanaopoteza maisha kulalamikiwa kuwa serikali ya Rais kagame inahusika ingawa hakuna ushahidi.

Mimi kwa maoni yangu binafsi kutokana na safari ya maendeleo ya nchi ya rwanda sote tunajua ni damu kiasi gani imemwagika hadi kufikia kuiona rwanda hapa ilipo. Hata mimi ningekua Rais wa rwanda leo nisingekubali mtu yeyote achezee uhuru uliopatikana kwa damu za wanyarwanda.

Rais kagame aachwe aipeleke rwanda "next level " ataondoka watakuja hao wengine ambao hawaelewi nchi imetoka wapi na sasa ipo wapi kwa sasa Kagame ana Haki ya kuitawala rwanda mpaka atakapochoka mwenyewe kwa sababu ameitafuta mwenyewe.
 
Hayo ndo yalikuwa moyoni mwa mwamba Hayati JPM pia. Bahati mbaya akaondoka mapema kabla ya kuiona Tanzania aliyoitamani!
Nimeona watu wengi wakilalamikia kitendo cha baadhi ya raia wanyarwanda wanaopoteza maisha kulalamikiwa kuwa serikali ya Rais kagame inahusika ingawa hakuna ushahidi.

Mimi kwa maoni yangu binafsi kutokana na safari ya maendeleo ya nchi ya rwanda sote tunajua ni damu kiasi gani imemwagika hadi kufikia kuiona rwanda hapa ilipo. Hata mimi ningekua Rais wa rwanda leo nisingekubali mtu yeyote achezee uhuru uliopatikana kwa damu za wanyarwanda.

Rais kagame aachwe aipeleke rwanda "next level " ataondoka watakuja hao wengine ambao hawaelewi nchi imetoka wapi na sasa ipo wapi kwa sasa Kagame ana Haki ya kuitawala rwanda mpaka atakapochoka mwenyewe kwa sababu ameitafuta mweny
 
Nimeona watu wengi wakilalamikia kitendo cha baadhi ya raia wanyarwanda wanaopoteza maisha kulalamikiwa kuwa serikali ya Rais kagame inahusika ingawa hakuna ushahidi.

Mimi kwa maoni yangu binafsi kutokana na safari ya maendeleo ya nchi ya rwanda sote tunajua ni damu kiasi gani imemwagika hadi kufikia kuiona rwanda hapa ilipo. Hata mimi ningekua Rais wa rwanda leo nisingekubali mtu yeyote achezee uhuru uliopatikana kwa damu za wanyarwanda.

Rais kagame aachwe aipeleke rwanda "next level " ataondoka watakuja hao wengine ambao hawaelewi nchi imetoka wapi na sasa ipo wapi kwa sasa Kagame ana Haki ya kuitawala rwanda mpaka atakapochoka mwenyewe kwa sababu ameitafuta mwenyewe.
Tena wanasemaga wanyarwanda wanaringa, waache tu waringe! Nakumbuka miaka ya 90 wanyarwanda wengi walitumika kama vibarua nchini Tanzania kutokana na machafuko yaliyokuwa yakiendelea Rwanda.
 
Tena wanasemaga wanyarwanda wanaringa, waache tu waringe! Nakumbuka miaka ya 90 wanyarwanda wengi walitumika kama vibarua nchini Tanzania kutokana na machafuko yaliyokuwa yakiendelea Rwanda.
Kabisa ile nchi ilikua nyuma sana kimaendeleo mpaka miaka ya 2000 hapa ndio tunaona kwa muda wa miaka 20 tuu nchi imepiga hatua kubwa sana.
 
Wanyarwanda mmeamua kufungua Uzi wenu kumpongeza PK.Kumbuka wahenga walinena ivumayo haidumu, maana yake nyakati zake zikipita atakuja mwingine atakayelipa kisasa Kwa upande wa PK akidai anajenga Nchi,Kwa ufupi visasi havitaisha vizazi na vizazi.
 
The Butcherer of Kigali with unquenchable thirsty for blood.

Tunatakiwa kujenga taasisi, watu hupita, hata Kagame atapita, je anaacha taasisi nyuma yake? Binafsi sioni taasisi imara, hata jeshi, kila siku anafunga na kufukuza majenerali wake.

Hii ni tofauti na nchi nyingine, kwa upande wa Rwanda, walioko magerezani na makaburini ni watu ambao walikuwa na maoni yao na walitaka wasikilizwe tu, hata kama baada ya kusikilizwa, waliyosema yasingefanyiwa kazi.
 
The Butcherer of Kigali with unquenchable thirsty for blood.

Tunatakiwa kujenga taasisi, watu hupita, hata Kagame atapita, je anaacha taasisi nyuma yake? Binafsi sioni taasisi imara, hata jeshi, kila siku anafunga na kufukuza majenerali wake.

Hii ni tofauti na nchi nyingine, kwa upande wa Rwanda, walioko magerezani na makaburini ni watu ambao walikuwa na maoni yao na walitaka wasikilizwe tu, hata kama baada ya kusikilizwa, waliyosema yasingefanyiwa kazi.
Rwanda ya sasa ni tofauti na miaka 20 iliyopita.
 
Nimeona watu wengi wakilalamikia kitendo cha baadhi ya raia wanyarwanda wanaopoteza maisha kulalamikiwa kuwa serikali ya Rais kagame inahusika ingawa hakuna ushahidi.

Mimi kwa maoni yangu binafsi kutokana na safari ya maendeleo ya nchi ya rwanda sote tunajua ni damu kiasi gani imemwagika hadi kufikia kuiona rwanda hapa ilipo. Hata mimi ningekua Rais wa rwanda leo nisingekubali mtu yeyote achezee uhuru uliopatikana kwa damu za wanyarwanda.

Rais kagame aachwe aipeleke rwanda "next level " ataondoka watakuja hao wengine ambao hawaelewi nchi imetoka wapi na sasa ipo wapi kwa sasa Kagame ana Haki ya kuitawala rwanda mpaka atakapochoka mwenyewe kwa sababu ameitafuta mwenyewe.
Ngoja nilitag popoma la mapopoma GENTAMYCINE lije likuunge mkono kwenye thread hii, na kupunguza ushuzi wake kichwani.
 
Tatizo waafrika wakiwa madarakani hujiona kwamba wenyewe ni indispensables na kwamba bila wao hakuna nchi kitu ambacho ni upumbavu mtupu kwani mwisho wa siku wanaondoka na maisha yanaendelea kama kawaida.

Mfano ni hawa madikteta kama akina Kagame, Museveni, Nguema nk ambao wanajimilikisha nchi wanazozitawala.

Hata wachezaji mastaa huondoka na mwisho wanakuja wanapatikana mastaa wengine tena. Hii dhana ya kuabudu watu ipo zaidi Afrika lakini haijawasaidia chochote maanake Afrika ndio bado bara lenye watu maskini kupita mabara yote duniani.
 
Nimeona watu wengi wakilalamikia kitendo cha baadhi ya raia wanyarwanda wanaopoteza maisha kulalamikiwa kuwa serikali ya Rais kagame inahusika ingawa hakuna ushahidi.

Mimi kwa maoni yangu binafsi kutokana na safari ya maendeleo ya nchi ya rwanda sote tunajua ni damu kiasi gani imemwagika hadi kufikia kuiona rwanda hapa ilipo. Hata mimi ningekua Rais wa rwanda leo nisingekubali mtu yeyote achezee uhuru uliopatikana kwa damu za wanyarwanda.

Rais kagame aachwe aipeleke rwanda "next level " ataondoka watakuja hao wengine ambao hawaelewi nchi imetoka wapi na sasa ipo wapi kwa sasa Kagame ana Haki ya kuitawala rwanda mpaka atakapochoka mwenyewe kwa sababu ameitafuta mwenyewe.
Ameitafuta kutoka wapi?
Kwa nini kila inapogusiwa RPF kuhusika pia ku trigger na kuhusika kwenye genocide anakuwa mkali??
 
Nimeona watu wengi wakilalamikia kitendo cha baadhi ya raia wanyarwanda wanaopoteza maisha kulalamikiwa kuwa serikali ya Rais kagame inahusika ingawa hakuna ushahidi.

Mimi kwa maoni yangu binafsi kutokana na safari ya maendeleo ya nchi ya rwanda sote tunajua ni damu kiasi gani imemwagika hadi kufikia kuiona rwanda hapa ilipo. Hata mimi ningekua Rais wa rwanda leo nisingekubali mtu yeyote achezee uhuru uliopatikana kwa damu za wanyarwanda.

Rais kagame aachwe aipeleke rwanda "next level " ataondoka watakuja hao wengine ambao hawaelewi nchi imetoka wapi na sasa ipo wapi kwa sasa Kagame ana Haki ya kuitawala rwanda mpaka atakapochoka mwenyewe kwa sababu ameitafuta mwenyewe.
Kwahiyo ni sahihi kuendelea kumwaga damu za Wanyarwanda kwa maendeleo ya Rwanda!!? Utakuwa Kobaz wewe.

Inaitwa Rwanda Kwa sababu Kuna Wanyarwanda.... Sasa ukiwaua Wanyarwanda unabaki na kitu gani?
 
Nchi ni ya wananchi wote hakuna mtu moja mwenye haki kuliko mwingine. Ghadafi aliitawala Libya akafiri ni mali yake aliishia wapi. Ongoza kwa mujibu wa sheria pisha wengine. Huoni aibu kumtaja mtu kma Magu aliivunja nchi, Tanzania aliyoitaka ni ya kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Chato wakati hauhitaji, hakuna wa kumzidi mwl. Nyerere ktk kuipenda hii nchi. Magu lilikuwa libaguzi, liuaji
Wezi wa enzi za Magufuli mmetoka mashimoni Sasa!! Kutwa matusi!!
 
Nimeona watu wengi wakilalamikia kitendo cha baadhi ya raia wanyarwanda wanaopoteza maisha kulalamikiwa kuwa serikali ya Rais kagame inahusika ingawa hakuna ushahidi.

Mimi kwa maoni yangu binafsi kutokana na safari ya maendeleo ya nchi ya rwanda sote tunajua ni damu kiasi gani imemwagika hadi kufikia kuiona rwanda hapa ilipo. Hata mimi ningekua Rais wa rwanda leo nisingekubali mtu yeyote achezee uhuru uliopatikana kwa damu za wanyarwanda.

Rais kagame aachwe aipeleke rwanda "next level " ataondoka watakuja hao wengine ambao hawaelewi nchi imetoka wapi na sasa ipo wapi kwa sasa Kagame ana Haki ya kuitawala rwanda mpaka atakapochoka mwenyewe kwa sababu ameitafuta mwenyewe.
Maendeleo gani!?..alimuua rais wa Rwanda na burundi kwa kutungua ndege waliyokuwemo
 
Ni kweli kabisa, Rwanda ya miaka 20 iliyopita ilikuwa na genocide, lakini Rwanda ya sasa ndio inafanya genocide CongoDr na inaua raia wake kwa kuwawinda dunia nzima.
Wasaliti hawana nafasi ya kuishi popote pale.
 
Back
Top Bottom